Shishi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,242
- 39
...haya, ukiandika wosia je, ...utamuonyesha jinsi ulivyoigawanya mali?
Interesting...hivi are u supposed to share the details of your will na mkeo? and vice versa? ama kama mke anayo mali iloyoko katika jina lake, mume ana haki gani hapo? ama yatakuwa yale mambo ya surprise za JM na Diana Ross??
mnapoandika will mnashirikiana ama ni kimya kimya tu? jamani haya mahusiano ya usiri mwigngi tu, kama mumeamua till death do us part kwa nini kuwe na usiri???/ mi nashindwa kabisa kuelewa.