Kama na sisi tunaweza kumfanya makamu wa Rais ajiuzulu kwa amani kabisa ni dalili kuwa na sisi tumepevuka. Mambo kama haya hayapatikani sana nchi za Afrika bali Ulaya, NKorea, Japan na nchi...
Chama kikongwe kinaogopa majadiliano. Katika vikao vyao kazi kubwa ni kupitisha anachokitaka mwenyekiti wao. Hakuna nafasi ya mawazo mbadala, kutokubaliana na mwenyekiti ni uasi usiovumilika.
Je...
CCM inaendeshwa na wahuni aliwahi kusema Polepole kwamba Samia kuna kikundi kimemweka mateka kinapambania maslahi yao tunaona kwa Nchimbi kosa lake nini...
ACT Wazalendo imesikitishwa na taarifa na kauli za Serikali zinazotolewa kupitia vyombo vya habari, majukwaa mbalimbali na Bungeni kuhusu mwenendo wa ugharamiaji wa huduma za afya nchini, hususan...
Wanabodi,
Kiukweli kitendo cha VP Bal Dr. Emmanuel Nchimbi kufutwa uanachama CCM, kimenipiga shock na kunikata usingizi, ukijumlisha na kujiuzulu, this is double tragedy, sijui kama kuna mtu...
Msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, David Jumbe, anasimulia kwa kina matukio yaliyomkuta kabla na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025, akidai kuwa alipokea vitisho, alifuatwa nyumbani...
Kwa jinsi hali ilivyo na upepo wa siasa unavyovuma wasingemfukuza Emanuel Nchimbi Kwa kusema hana nidhamu. Kwanza waliotakiwa kujua siasa ya nchi yetu imekuwa ngumu sana hasa Kwa ccm kuliko...
Kwa nchi za kiafrika Tanzania haikuwa kwenye kundi la hovyo kiasi hiki. Usalama wetu ulilindwa kistaarabu kabisa na siyo kwa kutisha raia. Sababu kubwa ilikuwa ni uongozi usiokuwa na tamaa ya mali...
Nchimbi yuko wapi msije kua mmemweka kizuizini huyu jamaa tunaomba ujitokeze wananchi wanataka kujua nini kimetokea mpaka umejiuzulu. Je hiyo barua umeandika wewe maswali ni mengi sana tunaomba...
Hongera kwa Deo.
Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imependekeza na kupitisha jina la Waziri wa Nishati, Deogratius John Ndejembi, kuwa mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...
Rais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee.
Dua...
Kwa nini Nyerere aliwanyamazisha kimabavu Watanganyika walioitaka Tanganyika yao ?
Kwanini G55 walionekana sana wakosefu kisa kuidai na kuipigania nchi yao ?
Nyerere alikuwa ni nani hasa hapa...
Magufuli alisema tutamkumbuka, nq ni kweli!
Sahivi hata uandike malalamiko hakuna wa kuzingatia wala kujali. Viongozi wa KKKT wana kiburi na dharau itafika watanzania watachoma zile taasisi zao...
Kwa nini nimeamua kusema hivi? Kuna mambo matano (5) makuu yananilazimisha kusema kuwa:
"Tanzania itatawaliwa kidikteta"
Ni vigumu sana kwa mtu asiyeona mbali kunielewa kirahisi na pia ni rahisi...
Nimekaa nikawaza hapa tu lengo la kumvua uanachama Nchimbi ni lipi?
Nikiwa sijapata jibu la swali hilo mara gafla akili ikaniambia rejelea Hadidu rejea za Tume ya Jaji Lila,
wakuu moja ya hadidu...
Kuna wakati taifa linapofika mahali ambapo siasa inakuwa si tena suala la uwezo, uadilifu na historia ya mtu, bali ni suala la nani yuko karibu na nani na nani anaweza kupewa nafasi gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.