Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama na sisi tunaweza kumfanya makamu wa Rais ajiuzulu kwa amani kabisa ni dalili kuwa na sisi tumepevuka. Mambo kama haya hayapatikani sana nchi za Afrika bali Ulaya, NKorea, Japan na nchi...
0 Reactions
1 Replies
36 Views
Chama kikongwe kinaogopa majadiliano. Katika vikao vyao kazi kubwa ni kupitisha anachokitaka mwenyekiti wao. Hakuna nafasi ya mawazo mbadala, kutokubaliana na mwenyekiti ni uasi usiovumilika. Je...
0 Reactions
0 Replies
25 Views
CCM inaendeshwa na wahuni aliwahi kusema Polepole kwamba Samia kuna kikundi kimemweka mateka kinapambania maslahi yao tunaona kwa Nchimbi kosa lake nini...
0 Reactions
0 Replies
66 Views
ACT Wazalendo imesikitishwa na taarifa na kauli za Serikali zinazotolewa kupitia vyombo vya habari, majukwaa mbalimbali na Bungeni kuhusu mwenendo wa ugharamiaji wa huduma za afya nchini, hususan...
0 Reactions
0 Replies
39 Views
Wanabodi, Kiukweli kitendo cha VP Bal Dr. Emmanuel Nchimbi kufutwa uanachama CCM, kimenipiga shock na kunikata usingizi, ukijumlisha na kujiuzulu, this is double tragedy, sijui kama kuna mtu...
9 Reactions
11 Replies
328 Views
Hapa imetokea misunderstanding. Mwanachama( Nchimbi) amesema maneno ambayo hayakuwapendeza wanachama wengi(ne). Anaitwa kwenye kikao cha nidhamu anakataa kwenda. Anaondolewa kwenye wadhifa wake...
3 Reactions
5 Replies
219 Views
Ikiwa Nchimbi amefukuzwa kama nguruwe kwenye shamba la mihogo, hebu piga picha machawa wa humu jf na kwingineko namna watakavyofukuzwa.
0 Reactions
0 Replies
40 Views
Msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, David Jumbe, anasimulia kwa kina matukio yaliyomkuta kabla na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025, akidai kuwa alipokea vitisho, alifuatwa nyumbani...
1 Reactions
0 Replies
94 Views
Kwa jinsi hali ilivyo na upepo wa siasa unavyovuma wasingemfukuza Emanuel Nchimbi Kwa kusema hana nidhamu. Kwanza waliotakiwa kujua siasa ya nchi yetu imekuwa ngumu sana hasa Kwa ccm kuliko...
4 Reactions
6 Replies
226 Views
Kwa nchi za kiafrika Tanzania haikuwa kwenye kundi la hovyo kiasi hiki. Usalama wetu ulilindwa kistaarabu kabisa na siyo kwa kutisha raia. Sababu kubwa ilikuwa ni uongozi usiokuwa na tamaa ya mali...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Nchimbi yuko wapi msije kua mmemweka kizuizini huyu jamaa tunaomba ujitokeze wananchi wanataka kujua nini kimetokea mpaka umejiuzulu. Je hiyo barua umeandika wewe maswali ni mengi sana tunaomba...
7 Reactions
10 Replies
209 Views
Kila mpenda haki hapa Tanzania achangie angalau Tsh 500/= Itakuwa nia aibu Mwenyekiti kukosa dawa wakati watu wanauwezo wa kuchanga mamilioni ya Pesa.
0 Reactions
12 Replies
252 Views
Hongera kwa Deo. Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imependekeza na kupitisha jina la Waziri wa Nishati, Deogratius John Ndejembi, kuwa mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...
33 Reactions
163 Replies
5K Views
Rais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee. Dua...
21 Reactions
161 Replies
14K Views
Kwa nini Nyerere aliwanyamazisha kimabavu Watanganyika walioitaka Tanganyika yao ? Kwanini G55 walionekana sana wakosefu kisa kuidai na kuipigania nchi yao ? Nyerere alikuwa ni nani hasa hapa...
5 Reactions
38 Replies
509 Views
Magufuli alisema tutamkumbuka, nq ni kweli! Sahivi hata uandike malalamiko hakuna wa kuzingatia wala kujali. Viongozi wa KKKT wana kiburi na dharau itafika watanzania watachoma zile taasisi zao...
3 Reactions
7 Replies
156 Views
Kwa nini nimeamua kusema hivi? Kuna mambo matano (5) makuu yananilazimisha kusema kuwa: "Tanzania itatawaliwa kidikteta" Ni vigumu sana kwa mtu asiyeona mbali kunielewa kirahisi na pia ni rahisi...
471 Reactions
1K Replies
204K Views
Nimekaa nikawaza hapa tu lengo la kumvua uanachama Nchimbi ni lipi? Nikiwa sijapata jibu la swali hilo mara gafla akili ikaniambia rejelea Hadidu rejea za Tume ya Jaji Lila, wakuu moja ya hadidu...
0 Reactions
2 Replies
75 Views
Kuna wakati taifa linapofika mahali ambapo siasa inakuwa si tena suala la uwezo, uadilifu na historia ya mtu, bali ni suala la nani yuko karibu na nani na nani anaweza kupewa nafasi gani...
5 Reactions
13 Replies
326 Views
Back
Top Bottom