Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Leo Oktoba 29, 2025 Wanaingia katika zoezi la kupiga kura na kutimiza haki yao ya kikatiba kuchagua Madiwani, Wabunge na Rais watakaoongoza kwa kipindi kingine cha miaka 5. Wakati hayo...
2 Reactions
621 Replies
35K Views
Mwigulu Nchemba na Samia Suluhu ni genge moja lilishiriki Mauaji ya 29.10.2025 Nchi Tanzania.. Wananchi walliokuwa wanapinga Uchaguzi kkuyokuwa huru, walliuawa kama Nzi. Hadi Dunia ikashituka...
0 Reactions
0 Replies
62 Views
Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) kimekanusha taarifa zinazomhusisha muuguzi na tukio la kumpasua mgonjwa nyumbani juu ya makochi mkoani Tabora, kikibainisha kuwa mhusika hana sifa wala taaluma...
7 Reactions
20 Replies
456 Views
Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka wasimamizi wa uchaguzi kuhakikisha zoezi la upigaji kura linakuwa la wazi kwa mujibu wa kanuni za...
1 Reactions
11 Replies
428 Views
Habari za wakati huu; Leo ninaendelea na sehemu ya pili ya Simulizi za Mkatekumeni Ni mwendelezo usio na mtiririko wa ndoto mbalimbali ninazoota hasa zinazohusisha viongozi na masuala mbalimbali...
1 Reactions
2 Replies
189 Views
Wanabodi, Tuweke ushabiki pembeni, kati ya watangaza nia watatu kati ya jana na leo, Mwigulu Lameck Nchemba ndiye mgombea who is the most bonafide genuine so far, ukimuangalia huku unamsikiliza...
49 Reactions
494 Replies
48K Views
: Katika hali isiyotarajiwa, viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaweza kujikuta kwenye wakati mgumu baada ya uwepo wa taarifa zinazodai kuwa wamefunguliwa kesi...
3 Reactions
29 Replies
581 Views
Kumbukumbu za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania zitaendelea kudumu katika akili za wengi, si tu kwa matokeo yake, bali kwa "giza la kidigitali" lililotanda nchini kote. Uamuzi wa...
8 Reactions
8 Replies
320 Views
Nguvu iliyotumika kudhibiti Waandamanaji Oktoba 29, 2025 ilikuwa kubwa kuliko uhalisia Katika historia ya Tanzania, suala la matumizi ya nguvu dhidi ya waandamanaji imekuwa ni suala geni na...
1 Reactions
7 Replies
168 Views
Hamjambo wakulungwa! 1. Robert ninapoandika maandiko na makala zangu. Mwanasaikolojia atakuwa na uwezo wa kuchambua Makala na content niliyoandika lakini hataweza kuchambua hisia, mtazamo na...
10 Reactions
108 Replies
1K Views
Kesi ya Ado Shaibu na wenzie 5 kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania yaisha huku Mahakama ya Afrika ikiibana serikali ya Tanzania kutekeleza yafuatayo : 06 March 2026 Arusha Tanzania...
3 Reactions
10 Replies
352 Views
Dereva wa Kenya Nelson Wanjohi Kirika, mkazi wa Kenya nchini Afrika Kusini Edward Mwangi Mwai, na Aziz Hama, raia wa Tanzania (kutoka kushoto kwenda kulia) wamefikishwa rasmi mahakamani leo...
11 Reactions
39 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Said Issa Mohamed akiongea na Waandishi wa Habari, leo Machi 5 akizungumzia mazingira ya kisiasa nchini ameeleza...
2 Reactions
30 Replies
468 Views
  • Redirect
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema nchi jirani hazitashambuliwa tena isipokuwa kama mashambulizi dhidi ya Iran yatatoka katika nchi hizo. Pezeshkian pia ameomba radhi kwa mataifa ya jirani...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Muda huu tumewekewa Mubashara katika hii Television ya TAIFA mashindano ya kusoma Quaran yanafanyika Kondoa Dodoma, wakati Kuna tukio kubwa la KITAIFA NA KIKANDA kinaendelea pale AICC - ARUSHA...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
https://www.instagram.com/p/DVk-6EJAtXu/?img_index=1
0 Reactions
Replies
Views
Kuna kiongozi / viongozi sasa ni zaidi ya miezi anaongea/ wanaongea pumba! Hakuna any meaningful takehome message from his mouth!
4 Reactions
16 Replies
315 Views
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa majibu makali mbele ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikiyashutumu mataifa ya Magharibi na asasi za kimataifa kwa kutoa...
1 Reactions
19 Replies
377 Views
Leo nimesikia tangazo la Samia Land clinic, mradi kwa ajili kutatua matatizo ya ardhi. Kuna Samia cup, Samia Stadium, Samia SGR Station, Samia this Samia that... Kuna mradi mpya utaanzishwa...
4 Reactions
6 Replies
117 Views
Back
Top Bottom