Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Je, ni nani aliyeharibu CHADEMA kati ya Mbowe aliyepeleka wanachama Bungeni na Lissu aliyeondoa wanachama Bungeni? HIi ni hoja nzito sana na sii ya kuchukuliwa kirahisi Ili Chama cha Siasa kikue...
1 Reactions
157 Replies
1K Views
  • Featured
Kampeni zimeisha na tayari Serikali imepatikana. Huu si muda wa ofisi za umma kuendelea kutumika kufanya propaganda, kama vile kucheza sauti zenye jumbe za kiitikadi kana kwamba bado tupo katika...
13 Reactions
9 Replies
563 Views
Ngoma bado NZITO, ahahahaa Pascally Mayalla na mwenzake kupitia jambo Tv wako liveeeee! Pascally asema anawaheshimu viongozi wa serikali ila hawaogopi, asema uhuru wake aliopewa na katiba ibara...
20 Reactions
52 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu madai haya tuliyadai ndani ya chama nikiwa mwenyekiti wa chama na hatukufanikiwa kisawasawa, na tukaona kwa sasa ni kuyaleta kwenye vyombo vya sheria na mahakama ambapo tukaona...
0 Reactions
14 Replies
327 Views
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amesisitiza kuwa dhana ya haki na amani haziwezi kutenganishwa katika ujenzi wa taifa imara, akizitaja kuwa ni pande mbili za sarafu moja. Akizungumza jana...
0 Reactions
3 Replies
162 Views
NB: Picha kutoka mtandaoni Lilikuwa ni wazo jema sana kuanzisha kampuni za uzoaji taka kwenye Jiji na hata kwenye maeneo ya makazi ya watu ili kuweka Jiji safi na kuondoa taka mitaani ili kuuweka...
0 Reactions
3 Replies
124 Views
Tamisemi imesema , kwa sasa hakutakuwa na kuhama kituo mara baada ya kuajiriwa.. Katika taarifa hiyo hawajaeleza kama sheria imebadirishwa kuzuia watumishi kuhama kutokana na ssbabu mbalimbali...
4 Reactions
45 Replies
3K Views
Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Said Issa Mohamed akiongea na Waandishi wa Habari, leo Machi 5 ameeleza kukishtaki chama mahakamani kwenda kukiua...
0 Reactions
2 Replies
196 Views
  • Featured
Kufuatia madai ya aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Mohamed, kwamba amefungua kesi kwa niaba ya chama hicho kuhusu mgawanyo wa mali, CHADEMA Zanzibar imesema kesi hiyo ni...
10 Reactions
18 Replies
797 Views
Wanabodi, Hii ni makala ya Jumapili hii Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Siku ya Mei 3 kila mwaka ni Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa...
11 Reactions
30 Replies
2K Views
GT CCM Hali mbaya sana hawajui wafanye nini Mjidaganya. 1. Mmetuma Mwigulu akafokefoke eti wananchi tutamwelewa? 2. Kwani Mwigulu anapambana na majizi na mafisadi.yapi ambayo hatuoni...
10 Reactions
35 Replies
555 Views
  • Redirect
Huyu mzee anatumika au anawatumikia wahuni tumkatae na kumnyanyapaa. Rais anaesema tunae alichaguliwa na wakina nani? Kikundi cha wahuni waliopola power kujipachika madarakani tena kwa kumwaga...
6 Reactions
Replies
Views
"Na nikamsikia jana mheshimiwa Waziri Mkuu akisema mimi sibabaiki mambo ya kupendwa na kushangiliwa, mimi sifanyi vitu ili nishangiliwe...yaani hiyo maana yake kwa sisi wanasaikolojia ina maana...
20 Reactions
37 Replies
1K Views
Linganisha idadi ya vifo katika vita hii kali kabisa halaf linganisha na mauaji waliyofanya CCM na Polisi ndani ya siku moja tu(siku moja tu), ili Samia awe Rais: Muhtasari wa Makadirio ya Idadi...
4 Reactions
21 Replies
521 Views
  • Featured
Bodi ya Ithibati ya waandishi wa habari haikuona Majaliwa akishangiliwa? --- Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Tanzania ( Jounalist Accreditation Board) imempa muda wa masaa 24 Mwandishi wa...
32 Reactions
122 Replies
3K Views
Mwandishi Pascal Mayalla akihojiwa na mwandishi wa DW amesema kuwa Kiongozi akisemwa kitu ambacho hajakipenda anatakiwa kulalamika yeye na si mamlaka za udhibiti, kwani kufanya hivyo inakuwa kama...
14 Reactions
10 Replies
369 Views
Akizungumza leo Novemba 26, 2025, katika ufunguzi rasmi wa wiki ya usafiri endelevu ardhini, uliofanyika kwenye ukumbi wa kimataifa wa JNICC jijini Dar es Salaam, Waziri mkuu wa Tanzania Dkt...
11 Reactions
44 Replies
1K Views
Habari za Usiku huu; Kama Unavyoona sa hivi ni usiku wa manane. Nimeamka usingizini, nimechukua chombo changu cha kazi na nimeingi kazini. Hili ni andiko la kwanza katika Mtiririko wa Simulizi...
2 Reactions
4 Replies
239 Views
Tarehe 25 Februari 2026, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, aliandaa futari maalum kwa watumishi wa Wizara jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya kuimarisha...
1 Reactions
5 Replies
136 Views
https://www.instagram.com/reel/DVeoMXsjKC4/?igsh=a3BlaXY5bmptdWZu
1 Reactions
1 Replies
175 Views
Back
Top Bottom