Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Serikali itaendelea kutenga fedha kwa ajili ya kuimarisha mawasiliano katika maeneo yenye uchumi mkubwa lakini yana changamoto za kimawasiliano-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba 📍Bungeni-Dodoma 🗓️...
0 Reactions
0 Replies
22 Views
Siku mbili baada ya Dk Emmanuel Nchimbi kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais, hatimaye CCM imemfukuza uanachama. Taarifa ya kufukuzwa kwa Dk Nchimbi ilitolewa saa 4:30 usiku wa Agosti 26, 2026 na...
0 Reactions
3 Replies
107 Views
Pongezi za Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kwa Mheshimiwa Deogratius Ndejembi kwa kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Soma Deogratius Ndejembi ateuliwa kuwa Makamu...
1 Reactions
1 Replies
104 Views
Wanabodi Mungu na Shetani Hiii ni moja ya Mada zangu abstract zinazotumia holistic approach ya dhana dhanifu ya Mungu na shetani。 Leo tena naendelea na zile makala zangu za malaika na shetani...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Kama mnakipenda chama chenu na nchi hii sehemu pekee iliyobaki ni hapa. Mtumieni salamu ajuwe hamjapendezwa na kitendo alichokifanya. Huwezi kumfukuza mtu uanachama eti kwa sababu anataka tupate...
15 Reactions
83 Replies
1K Views
Dk. Emmanuel Nchimbi amefukuzwa rasmi uanachama wa CCM, uamuzi uliotangazwa usiku wa Jumatano, Agosti 26, 2026, na Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, baada ya maazimio ya Kamati Kuu na NEC...
0 Reactions
19 Replies
426 Views
Mwenyekiti wa Kamati ya Haki za Binadamu ya Bunge la Marekani, Chris Smith, amekemea vikali vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu na mateso dhidi ya waumini wa dini mbalimbali duniani. Katika...
20 Reactions
42 Replies
1K Views
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akijibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge Bungeni jijini Dodoma. Agosti, 27 2026.
0 Reactions
0 Replies
27 Views
Mwenyekiti wa Kamati ya Haki za Binadamu ya Bunge la Marekani, Chris Smith, amekemea vikali vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu na mateso dhidi ya waumini wa dini mbalimbali duniani. Katika...
8 Reactions
13 Replies
527 Views
Kuna mambo yanafurahisa sana. Kuachwa kunauma hatari Mwamba alikuwa sawa kuleak ile barua hiyo jana vinginevyo leo wangemdhalilisha kwa kumfuta umakamu na kumtimua uanachama.
15 Reactions
25 Replies
543 Views
Ndio, bwana Emanuel Nchimbi ameondoka madarakani kwa kujiuzulu na Katiba inampa haki ya kufanya hivyo na kustahili heshima, mafao na stahili zote kama VP mstaafu. Hayo ya kufukuzana CCM mtajua...
4 Reactions
23 Replies
342 Views
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba alifanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala, ambapo alitembelea baadhi ya wodi za mama na mtoto. Siku kadhaa baadae timu ya...
0 Reactions
1 Replies
32 Views
📌 Taarifa ya Kamati itaiwezesha Serikali kuchukua hatua ili tatizo hilo lisijitokeze tena. Waziri wa Nishati, Deogratius J. Ndejembi (Mb.), amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati...
2 Reactions
30 Replies
915 Views
Salaam, ama baada ya salaam naomba kusema haya kwa DKt. Nchimbi: Kiongozi yeyote mwenye busara hawezi kukaa kwenye msuguano usio na faida kwa Taifa, unapoona wenzio wanakengeuka na hawakuelewi ni...
1 Reactions
6 Replies
111 Views
Pale Madagasca Bwana Rajolina alichaguliwa, akaapa, akateua Waziri Mkuu na baraza lake la mawaziri. Kabla hata mwaka haujaisha akafukuza Waziri Mkuu wake na kuteua mwanajeshi kuwa Waziri Mkuu...
5 Reactions
9 Replies
266 Views
Maisha bhana! Leo Tulia Ackson ni wa kujificha kweli! Hakuna hafla yoyote ya enzi za Uspika wake hakuhudhuria, hata za uzinduzi wa mwenge hakuwahi kukosa, Alikuwa kinara wa matamasha ya kijinga...
27 Reactions
75 Replies
3K Views
Siungi mkono na sijawahi kuipenda CCM.. Lakini yapo machache ya kujifunza toka kwao... Wanailinda taasisi yao kwa nguvu sana bila kujali kwa kufanya hivyo wanakuwa sahihi au la... Wamekula...
6 Reactions
15 Replies
242 Views
Ukiangalia sura za Viongozi na wafanya Maamuzi,utadhani ni wacha Mungu na wenye kutanguliza watu wengine na utu! Kumbe ni Manyang'au Mtu amewaachia Mavyeo,mna haja gani kuendeleza ajenda...
2 Reactions
5 Replies
105 Views
  • Featured
Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, akizungumza leo Julai 23, 2026 katika Mkutano wa Wanachama wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) unaofanyika Jijini Dar es Salaam...
52 Reactions
254 Replies
6K Views
Back
Top Bottom