Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka vijana nchini kufuata sera ya ustahimilivu ya Rais Samia badala ya kutumia vurugu na uharibifu kudai haki zao...
1 Reactions
6 Replies
134 Views
" Kama unazungumza harakati za Mandela, unazungumza harakati za Mwalimu, unazilinganisha na nani hapa? Hizi harakati hizi za mtu unasema uongo alafu unalipwa, hizo harakati gani? Harakati za kina...
0 Reactions
1 Replies
89 Views
Mimi kuna mda akili hua ina niambia Lissu atuache kutupambania sisi watanzania tulio wengi ni wajinga sana. Tulia nikupe mfano mzuri tu hapa utakumbuka vizur na nahisi utakubaliana na Mimi. Mama...
1 Reactions
3 Replies
182 Views
Huyu Askari Magereza kwenye Senti za Tone Tone Tumfikirie Makamanda. Hili Tabasamu lake sio lakificho kaona cha kufia Nini. Kesho awepo japo najua hatokua kwenye ratiba ila mpeni hio chance...
33 Reactions
40 Replies
1K Views
Mimi sio kitengo na wala sio mwana siasa na wala sina chama chochote, ila mi ni mtu tu ambae nafatilia siasa kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Katika kufatilia zile harakati za...
13 Reactions
40 Replies
1K Views
Kwanini hadi sasa viongozi wa serikali wanatumia mtandao wa x (twitter)?,ikiwa umezuiwa hapa Tanganyika kwa kile kinachosemeka na mtandao uliojaa maudhui ya ngono. Sababu ni ujinga wao,shamba...
3 Reactions
6 Replies
118 Views
UKAWA na CCM walitutia hasara ya mabilioni baada ya kukwamisha mchakato wa kuandika Katiba mpya uliotumia mabilioni yetu ya fedha. UKAWA na Mzee Warioba walitaka Muungano na serikali tatu na CCM...
1 Reactions
4 Replies
124 Views
Mathalani, Mwenyekiti wa chadema taifa ni mtoro kazini na hakuna maelezo yoyote ndani ya chama hicho juu ya utoro huo na kwamba yupo wapi mpaka sasa, na wala hakuna sababu za msingi zilizoelezwa...
3 Reactions
69 Replies
916 Views
Mahakimu dhamiri zenu ziwasute kwa kuhukumu Uongo. "Mtu mwema, mtu mnyofu, mtu wa Mungu amehukumiwa na binadamu, mamlaka ya kibinadamu afe, atoe roho yake. Anashtakiwa kwa kusingiziwa, sio...
11 Reactions
17 Replies
522 Views
Julai 10 Kikundi cha Mawaziri wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth Ministerial Action Group - CMAG) kilitoa mrejesho wa ziara ya mwakilishi wake, Dk Lazarus Chakwera aliyekuja nchini Machi 2026...
19 Reactions
31 Replies
927 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa sasa Unaweza kusema Kuwa CHADEMA wameamka kutoka usingizi wa Pono ,kwa sasa wameanza kuzinduka ,wameanza kuutambua ukweli ,wameanza kujua mbivu na mbichi. Hii ni...
0 Reactions
14 Replies
171 Views
Ili kuweka kumbukumbu sahihi na kuwaeleza vizazi vyetu, jinsi tulivyokosea katika utunzaji na usimamizi wa mali na rasilimali alizotupa Mwenyezi MUNGU ni vizuri kuandika, kutunza na kuweka...
1 Reactions
10 Replies
198 Views
Mpanda,Katavi kuna dhahabu za kutosha na pesa ipo but wamejaa wachina kote huko hata kupata vibali vya kuchimba kama Mzawa ni ngumu.. Wamejenga na Airport yao kabisa,wanasafirisha tani za kutosha...
34 Reactions
90 Replies
2K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema, kati ya jambo ambalo halipaswi kuchezewa ni Muungano ambao unatakiwa kulindwa na kila mmoja...
1 Reactions
0 Replies
43 Views
Kazi ya polisi kiasili ilitakiwa kuwa kazi takatifu. Kazi ya kuwalinda wanadamu wenzako na mali zao, kazi inayokufanya uteseke, usilale, ili wanadamu wenzako na mali zao, viwe salama, hakika ni...
4 Reactions
2 Replies
60 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Juni 27, 2026 akizungumza na wananchi wa Ikungi, Mkoani Singida amesema kuwa Serikali imekamata mtu aliyekuwa anaingia na silaha, tumewakamata wengine...
26 Reactions
154 Replies
3K Views
Tundu Lissu amepelekewa mihogo mikavu Mahakamani kama chakula cha mchana wakati wa kuendelea kusikilizwa kwa shauri linalohusu vikwazo vya kumwona katika Gereza la Ukonga. Shauri hilo limeendelea...
21 Reactions
43 Replies
1K Views
My Take Wale wa Bandari imeuzwa wanaitwa huku waone aibu 😆 😂 👇 👇 https://www.instagram.com/p/DaLFTfECNDK/?igsh=MXR1anR4a3ZpbHF0Zw== Mabadiliko ya ushindani wa bandari katika Afrika Mashariki...
3 Reactions
22 Replies
348 Views
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania amesafiri kuelekea nchini Ghana kwa ajili ya kushiriki katika mkutano mkuu kuhusu Afya nchini GhanaSource: Millardayo
1 Reactions
8 Replies
158 Views
Msuguri na Mahundi wasingeruhusi huu ujinga wa kuiba kura. Hawa Wazalendo wasingekubali hilo.
7 Reactions
24 Replies
286 Views
Back
Top Bottom