Serikali itaendelea kutenga fedha kwa ajili ya kuimarisha mawasiliano katika maeneo yenye uchumi mkubwa lakini yana changamoto za kimawasiliano-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba
📍Bungeni-Dodoma
🗓️...
Siku mbili baada ya Dk Emmanuel Nchimbi kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais, hatimaye CCM imemfukuza uanachama. Taarifa ya kufukuzwa kwa Dk Nchimbi ilitolewa saa 4:30 usiku wa Agosti 26, 2026 na...
Pongezi za Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kwa Mheshimiwa Deogratius Ndejembi kwa kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Soma Deogratius Ndejembi ateuliwa kuwa Makamu...
Wanabodi
Mungu na Shetani
Hiii ni moja ya Mada zangu abstract zinazotumia holistic approach ya dhana dhanifu ya Mungu na shetani。
Leo tena naendelea na zile makala zangu za malaika na shetani...
Kama mnakipenda chama chenu na nchi hii sehemu pekee iliyobaki ni hapa.
Mtumieni salamu ajuwe hamjapendezwa na kitendo alichokifanya.
Huwezi kumfukuza mtu uanachama eti kwa sababu anataka tupate...
Dk. Emmanuel Nchimbi amefukuzwa rasmi uanachama wa CCM, uamuzi uliotangazwa usiku wa Jumatano, Agosti 26, 2026, na Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, baada ya maazimio ya Kamati Kuu na NEC...
Mwenyekiti wa Kamati ya Haki za Binadamu ya Bunge la Marekani, Chris Smith, amekemea vikali vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu na mateso dhidi ya waumini wa dini mbalimbali duniani. Katika...
Mwenyekiti wa Kamati ya Haki za Binadamu ya Bunge la Marekani, Chris Smith, amekemea vikali vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu na mateso dhidi ya waumini wa dini mbalimbali duniani. Katika...
Kuna mambo yanafurahisa sana. Kuachwa kunauma hatari
Mwamba alikuwa sawa kuleak ile barua hiyo jana vinginevyo leo wangemdhalilisha kwa kumfuta umakamu na kumtimua uanachama.
Ndio, bwana Emanuel Nchimbi ameondoka madarakani kwa kujiuzulu na Katiba inampa haki ya kufanya hivyo na kustahili heshima, mafao na stahili zote kama VP mstaafu.
Hayo ya kufukuzana CCM mtajua...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba alifanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala, ambapo alitembelea baadhi ya wodi za mama na mtoto.
Siku kadhaa baadae timu ya...
📌 Taarifa ya Kamati itaiwezesha Serikali kuchukua hatua ili tatizo hilo lisijitokeze tena.
Waziri wa Nishati, Deogratius J. Ndejembi (Mb.), amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati...
Salaam, ama baada ya salaam naomba kusema haya kwa DKt. Nchimbi:
Kiongozi yeyote mwenye busara hawezi kukaa kwenye msuguano usio na faida kwa Taifa, unapoona wenzio wanakengeuka na hawakuelewi ni...
Pale Madagasca Bwana Rajolina alichaguliwa, akaapa, akateua Waziri Mkuu na baraza lake la mawaziri.
Kabla hata mwaka haujaisha akafukuza Waziri Mkuu wake na kuteua mwanajeshi kuwa Waziri Mkuu...
Maisha bhana! Leo Tulia Ackson ni wa kujificha kweli!
Hakuna hafla yoyote ya enzi za Uspika wake hakuhudhuria, hata za uzinduzi wa mwenge hakuwahi kukosa, Alikuwa kinara wa matamasha ya kijinga...
Siungi mkono na sijawahi kuipenda CCM..
Lakini yapo machache ya kujifunza toka kwao...
Wanailinda taasisi yao kwa nguvu sana bila kujali kwa kufanya hivyo wanakuwa sahihi au la...
Wamekula...
Ukiangalia sura za Viongozi na wafanya Maamuzi,utadhani ni wacha Mungu na wenye kutanguliza watu wengine na utu! Kumbe ni Manyang'au
Mtu amewaachia Mavyeo,mna haja gani kuendeleza ajenda...
Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, akizungumza leo Julai 23, 2026 katika Mkutano wa Wanachama wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) unaofanyika Jijini Dar es Salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.