CCM ina Hazina Kubwa ya Vijana wenye kariba ya uongozi
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaendelea kuonesha kuwa kina hazina kubwa ya vijana wenye kariba ya uongozi, uzalendo na uwezo wa kulitumikia...
Hakuna mtu yyte aliyekishikilia chama cha CCM kama unadhani una nguvu ndani ya CCM unajidanganya BURE.
Inshort siasa za CCM ni za kiwango cha ulimwengu mwingine ni siasa zilizojengwa kwenye...
Kutokana na uchambuzi wangu,nafasi hii naona inaenda moja kwa moja kati ya watu hawa 3.
1.Prof.Kilila Mkumbo-70%
2.Prof.Palamgamba Kabudi-10%
3.Prof.Adolf Mkenda-20%
Sababu.
1.Nafasi hiyo...
Bado maswali ni mengi kuliko majibu,
Yeye amejiuzuru mpaka siasa, kabsa alafu nyie mnamfuta UHANACHAMA ili iweje? Yaani ccm Haina Imani na Nchimbi inawaza yakuwa yawezekana baadae akabadilika...
Sisi watumishi wa umma tunatambua mchango mkubwa wa Mh Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kwetu sisi tangu alipoingia madarakani aliongeza mishahara na kupandisha madaraja yaliyokuwa yamesimama kwa...
Salaam!
Inaendelea live,
https://www.youtube.com/live/n-kmeazATjw?si=X3ij2Vo-Q0MJF8hQ
Askofu Gwajima amesema kumekuwa na mlolongo wa matukio ya watu kutekwa pamoja na kupotea hivyo kutokana na...
Inasemekana mawasiliano na Nchimbi hakuna hadi sasa
Ikiwa wamechukua simu yake maana yake huenda wamegushi barua ya kujiuzulu, wakatumia account zake za mitandao ya kijamii pia kutuma.
Nafasi ya...
Mheshimiwa Rais wangu.
Pole na majukumu ya kazi yako ya uraisi,na pole Kwa lawama ambazo zinaelekezwa kwako hata pale ambapo makosa hayo yamefanywa na wasaidizi wako.
Mheshimiwa Rais natamani...
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa Membe aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje ya Tanzania amefukuzwa ndani ya chama hicho
Amesema uamuzi huo umekuja...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ndani ya Serikali (Aliyoyaita kucheza draft) yataendelea hadi pale mstari "laini" iliyokaa sawasawa...
Hatimaye, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi, amejiuzulu wadhifa wake baada ya miezi ya tetesi, mijadala ya kisiasa na mashambulizi yaliyokuwa yakimlenga ndani...
Wanabodi,
Kwa maslahi ya Taifa,
should we demand more transparency and the right to information kwenye teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?.
Should we adopt the...
Kesi inayomkabili Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedeki Kitunzi Kaijage, imeahirishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, huku mshtakiwa akiendelea kusota rumande...
Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed, amesema hakuna mwanachama anayepaswa kujiona mkubwa au maarufu kuliko Chama Cha Mapinduzi, akisisitiza kuwa kufikia hatua...
Kwa takriban miaka 20, Joseph Mwasote amekuwa sehemu ya safari ya kisiasa ya CHADEMA, akipanda kutoka uongozi wa Kata ya Tunduma hadi kuwa mwenyekiti wa Mkoa wa Mbeya na baadaye kugombea ubunge wa...
Agosti 4, 2026, kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bakari Kazungu, alitekwa na watu wasiojulikana jijini Tanga na baadaye kupatikana akiwa amepigwa na kuteswa vibaya. Kabla ya tukio hilo, Kazungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.