Habari wana jukwaa.
Moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.
Mimi binafsi bwana Endasak, sijawahi kumuelewa Msemaji wa Serikali ya Tanzania. Hivi karibuni ameonekana akizungumza kuwa wanachi...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi amezindua huduma za usafiri wa umma ya mabasi ya umeme; Kituo cha Mabasi Malindi; pamoja na kadi maalumu za usafiri kwa...
Kuna watu wanasema wako tayari kufungwa jela kama Mandela< Nyerere, Kaunda na Jomo Kenyatta walivyofungwa wakati wanadai Uhuru wa nchi zao.
Ni kweli Tanzania inahitaji nguvu kama zilezile...
Nchimbi ametangaza vita ya Urais kwa aliyopo au Wanaotaka, kama ilivyo ada ya CCM Samia akiwa hayupo watamsema sana na matusi juu, baadaye wanarudi walipokuwa.
Tusikubali ulaghai unaopikwa
Katika kipindi kisichozidi wiki mbili, Tanzania imeshuhudia ongezeko la watu wanaofikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya ugaidi. Miongoni mwao ni mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)...
Mbaya zaidi,
hakuna senior politician katika uongozi wa kitaifa, wa kutuliza joto na mihemko hiyo ya vijana hao katika uongozi wa kitaifa ndani ya chama hicho. Makundi ya kijamii kama vile BAZECHA...
Baada ya kifo Cha John wa chato niliandika Uzi hapa unasoma nashindwa kumsamehe John, nikijita kuelezea namna Lissu alivyoshambuliwa bila serikali yake kuchukua hatua lakini Leo nakiri anisamehe...
Mkuu wa Wilaya ya Temeke ameendelea kusisitiza kuwa hiyo ni lugha ya picha ila lengo ni kutoa hizia za wasiwasi kuwa kuna wananchi wanalalamika na wanadai kuna tatizo hivyo mamlaka ikiwemo vyombo...
Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesisitiza dhamira ya Serikali ya kulinda na kusimamia usalama wa wananch, akieleza kuwa jukumu la kulinda maisha na mali za raia wote ni wajibu wa...
Julai 16, 2026, Msemaji wa Serikali ya Tanzania kupitia ukurasa wake wa Instagram alichapisha:
"Diaspora anayejua kupigania bendera ya Tanzania na manufaa ya Watanzania kwa vitendo namzungumzia...
Akizungumza kwenye mahojiano yaliyorushwa na Nijuze Julai 22, 2026, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema mchakato wa maridhiano ya kitaifa hauhusu CHADEMA pekee...
Akizungumza katika mahojiano maalum yaliyorushwa na DW leo Julai 24, 2026, Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dkt. Bashiru Ally, amesema kuwa nafasi ya Ukatibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni kazi...
Akizungumza katika mkutano wa vyombo vya habari jijini London, Omar alisema kuwa Eurobond ilikuwa “chaguo lililopo mezani” iwapo hali ya soko itakuwa nzuri.
Utoaji huo unaowezekana ungefanyika...
Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja...
Kwanza kabisa huyu Hakimu amekuchafua wewe na mhimiri mzima wa Mahakama. Inaonyesha wazi mahakama sio chombo huru. Japokuwa ni wazi kuwa hakipo huru.
Lakini kitendo cha hakimu huyu kumsomea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.