Baada tu ya 'Kushinda uchaguzi' na 'kuthibitishwa' na tume ya uchaguzi mkuu wa kaya kwenye hotuba zake za mwanzo na kwenye teuzi mbali mbali alionesha nia thabiti ya kuwaweka 'wazee' kando(watu...
Jamaa yangu kwenye Media outlet kubwa iliyopo mitaa ya Mwenge Dar ananisimulia wapo kwenye mpango wa kupunguza watu Media hiyo ina magazeti kama G na N,(Nimeandika hivyo sababu siyo rasmi) MCL...
Katika nchi yoyote ile Rais wa nchi lazima awe mkweli kwa kila anachokisema, hapa TZ imekuwa tofauti kabisa baada ya Rais Kikwete kuwadanganya Watanzania ndani ya chama chake tawala cha CCM na...
Unajua kwenye maisha ni vizuri saa nyingine ujiweke kwenye hali fulani ya upande wa pili ili uone na ku prove kama ulichokua unakiona kabla ama kukisikia basi ndo kilivo katika uhalisia.
Sasa...
Wanabodi Salaam,
Leo tuseme na Rais Magufuli , tuondoe itikadi kwa wenye vyama, Biashara Tanzania imekufa na sio kila anayesema imekufa ni mpiga dili.
Angalia meli zinazoshushia kwetu...
nimekua nikifuatilia hoja zinazoibuliwa na mwanasiasa wa Upinzani kupitia ACT nyingi ya hizo zinabase katika Taarifa zisizo sahihi hivyo kupotosha umma.
kwakua Zito tayari ana base ya followers...
Kwa sasa sitaki kuyaweka hapa matokeo ili kutokuharibu uchunguzi, ila in the end of the day zoezi la kusafirisha mchanga kwenda ng'ambo litaendelea kama kawaida bila bughdha yeyote...
The tume...
A friend commented: In this day, do we need to argue about infrastructure? Cities are expanding rapidly, modern ecosystems have growth in complexity, and ultimately, as w talk about the SDGs...
Wakuu,
Nimeipata hii kutoka Dodoma. Kama hali iko hivi, basi nadhani ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuna kazi nzito.
Vita vya panzi, tijara ya kunguru, inawezekana wakapita wasiotarajiwa kama...
Nimewaza Kwa sauti,
Hivi watanzania umeona mipango ya viwanda, je bajeti ilopita mliona chochote, je bajeti pendekezwa ya sasa mmeona chochote katika kuifikia, hatufikiri, hatuoni machozi...
Ulituaminisha watanzania kuwa umeme wa maji hauna faida kiuchumi pale ulipokuwa ukizungumzia mradi wa Steigler’s gorge. Mradi ambao mwaka 2012 wabrazil walikuwa na interest ya kuwekeza $2bn...
Naambiwa kuna mtu anayetaka kuongea na mwandishi wa gazeti hili na kwamba mwandishi huyo nitakiwa mimi.
Ninamkaribisha mtu huyo, mwanaume wa makamo. Tunaketi ili kuanza mazungumzo...
Rc Makonda anafanya kazi ambayo watu wote wabaya huipenda ili watajirike kwa mkato, Ukimuona MTU anamshambulia Makonda jua moja kwa moja huyo muhusika wa Madawa ya kulevya. Hakuna jingine mtu...
Habari JF members
Kwa sasa nimeamini nilifanya sana kosa 2015 kutoa support kwa CCM YA MAGUFULI ingawa ckuweza kupiga kura kwa kuwa nilikuwa mbali na nilipojiandikisha lakini niliweza...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema amefurahishwa na uamuzi wa Kanisa Katoliki na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) wa kutafuta viwanja Dodoma ili wajenge ofisi za makao yao makuu pamoja na...
Baada ya Timu yangu ya Simba kufungwa, Chelsea kufungwa nikaamua nijikumbushe tu ahadi za wagombea wetu wa uraisi wa 2015. Mheshimiwa Edward Lowassa na John pombe magufuli.
Edward Lowassa...
Nadhani hawa wabunge wa Afrika mashariki wanawakilisha nchi zao na siyo mabunge yao.Imefika sasa wabunge hao uwakilishi wao usiwe kwa wingi wa vyama vyao bungeni, maana mdhara yake tumeshayaona...
Nitengue na Kubadili jumla fikra hizi ambazo wakuu wa nchi wanazo juu ya wananchi wao kuwaza kwamba kati ya raia wake wamo maadui zake..
fikra hii ni ya kinyonge, na fikra dhaifu sana, na fikra...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.