Tetesi: Mh. Mwigulu aligoma kutaja majina ya Wauza Madawa, ikabidi apewe Makonda

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
53,649
120,252
Wakuu nimekuwa nikitafakari kwa kina sana ukimya ule wa Mh.Mwigulu baada ya Mkuu wa Mkoa Makonda kutaja majina ya waliosemekana wauza ngada.

Katika kutafakari nimekuwa nikiomba msaada kwa watu wa ndani kujua sababu hasa ilikuwa ni ipi kwa waziri mwenyewe dhamana kuwa kimya katika kipindi alichokuwa anahitajika zaidi pengine kuliko kipindi chote

Nimepata msaada
Ni tetesi kwamba awali kabisa Mh.Mwigulu alipewa assignment ya kutaja wauza ngada hao hadharani kama alivyofanya Makonda. Lakini kwa ujasiri wake Mwigulu alikataa kuwataja watu hao kwa hoja kwamba hakukuwa na ushahidi madhubuti na akashauri mamlaka husika zifuatilie suala hili ili ikibainika wapelekwe mahakama badala ya kuwataja.

Ushauri wa Nchemba ulipuuzwa kwa kuonekana muoga badala yake akatwisha zigo Makonda ambaye kwa ujasiri na ukakamavu akafanya aliyoyafanya

My Take
Hongera Mwigulu kwa ujasiri huo.Tunakuomba sasa ujasiri huo uende mbali kwa kuamuru aliyevamia Clouds Media akamatwe na kupelekwa sero
 
Wakuu nimekuwa nikitafakari kwa kina sana ukimya ule wa Mh.Mwigulu baada ya Mkuu wa Mkoa Makonda kutaja majina ya waliosemekana wauza ngada.

Katika kutafakari nimekuwa nikiomba msaada kwa watu wa ndani kujua sababu hasa ilikuwa ni ipi kwa waziri mwenyewe dhamana kuwa kimya katika kipindi alichokuwa anahitajika zaidi pengine kuliko kipindi chote

Nimepata msaada
Ni tetesi kwamba awali kabisa Mh.Mwigulu alipewa assignment ya kutaja wauza ngada hao hadharani kama alivyofanya Makonda. Lakini kwa ujasiri wake Mwigulu alikataa kuwataja watu hao kwa hoja kwamba hakukuwa na ushahidi madhubuti na akashauri mamlaka husika zifuatilie suala hili ili ikibainika wapelekwe mahakama badala ya kuwataja.

Ushauri wa Nchemba ulipuuzwa kwa kuonekana muoga badala yake akatwisha zigo Makonda ambaye kwa ujasiri na ukakamavu akafanya aliyoyafanya

My Take
Hongera Mwigulu kwa ujasiri huo.Tunakuomba sasa ujasiri huo uende mbali kwa kuamuru aliyevamia Clouds Media akamatwe na kupelekwa sero
Ni upuuzi kwa kusema Mwigulu ni jasiri kwa kuoopa kutaja watu wa unga
 
kamishna mwenye dhamana anafanya kazi yake
lengo lao lilikuwa manji si madawa ya kulevya
 
Wakuu nimekuwa nikitafakari kwa kina sana ukimya ule wa Mh.Mwigulu baada ya Mkuu wa Mkoa Makonda kutaja majina ya waliosemekana wauza ngada.

Katika kutafakari nimekuwa nikiomba msaada kwa watu wa ndani kujua sababu hasa ilikuwa ni ipi kwa waziri mwenyewe dhamana kuwa kimya katika kipindi alichokuwa anahitajika zaidi pengine kuliko kipindi chote

Nimepata msaada
Ni tetesi kwamba awali kabisa Mh.Mwigulu alipewa assignment ya kutaja wauza ngada hao hadharani kama alivyofanya Makonda. Lakini kwa ujasiri wake Mwigulu alikataa kuwataja watu hao kwa hoja kwamba hakukuwa na ushahidi madhubuti na akashauri mamlaka husika zifuatilie suala hili ili ikibainika wapelekwe mahakama badala ya kuwataja.

Ushauri wa Nchemba ulipuuzwa kwa kuonekana muoga badala yake akatwisha zigo Makonda ambaye kwa ujasiri na ukakamavu akafanya aliyoyafanya

My Take
Hongera Mwigulu kwa ujasiri huo.Tunakuomba sasa ujasiri huo uende mbali kwa kuamuru aliyevamia Clouds Media akamatwe na kupelekwa sero
Tetesi au umekaa ukatunga stori ukatuletea hapa?
 
Wakuu nimekuwa nikitafakari kwa kina sana ukimya ule wa Mh.Mwigulu baada ya Mkuu wa Mkoa Makonda kutaja majina ya waliosemekana wauza ngada.

Katika kutafakari nimekuwa nikiomba msaada kwa watu wa ndani kujua sababu hasa ilikuwa ni ipi kwa waziri mwenyewe dhamana kuwa kimya katika kipindi alichokuwa anahitajika zaidi pengine kuliko kipindi chote

Nimepata msaada
Ni tetesi kwamba awali kabisa Mh.Mwigulu alipewa assignment ya kutaja wauza ngada hao hadharani kama alivyofanya Makonda. Lakini kwa ujasiri wake Mwigulu alikataa kuwataja watu hao kwa hoja kwamba hakukuwa na ushahidi madhubuti na akashauri mamlaka husika zifuatilie suala hili ili ikibainika wapelekwe mahakama badala ya kuwataja.

Ushauri wa Nchemba ulipuuzwa kwa kuonekana muoga badala yake akatwisha zigo Makonda ambaye kwa ujasiri na ukakamavu akafanya aliyoyafanya

My Take
Hongera Mwigulu kwa ujasiri huo.Tunakuomba sasa ujasiri huo uende mbali kwa kuamuru aliyevamia Clouds Media akamatwe na kupelekwa sero
Naona siku hizi umekuwa mtunga riwaya mahiri sana,Mwigulu huyu mliyekuwa mnamwita gaidi ?

Ni huyu Mwigulu tuliyeambiwa alilipua bomu kule Soweto Arusha kwenye mkutano wa Chadema ?

Sent from my NokiaX2DS using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom