Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Samia Suluhu Hassan imekanusha taarifa zilizokuwa zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uhusika wake kwenye VICOBA, SACCOS na vikundi vingine vya kukopeshana...
1.Kujitofautisha na CCM
Upinzani umekuwa ukifanya mara nyingi mambo ambayo CCM inafanya
2. Kuwa na agenda ya kudumu
Upinzani haijawahi kuwa na lengo kuu au mkakati ambao walianzisha ukafikia...
Nadhani palikuwa na haja ya kuanzishwa Mahakama ya Katiba kwanza kuliko hiyo ya ufisadi
1 kwa vile kila mtu ni fisadi katika mfumo huU wa utawala wa CCM. Mahakama ya ufisadi haiwezi kufanya kazi...
Wadau wa JF,
Napenda kuuliza pia kuelimishwa juu ya hili hivi kuna umuhimu gani wa kuanzishwa kwa mahakama ya kifisadi kama hali yenyewe ndio hii.
Hivi kweli mahakama imeeakuta na hatia Mh...
Ni kata ya lulanzi maarufu kwa jina la chacha wilayan kibaha mkoa wa pwan wananchi wamejikuta wakiish maisha ya wasi wasi nakutokujua hatma yao baada ya majambazi kuweka kambi katika kata...
Badala ya kujadili ukosefu wa maji kwenye Majimbo Yao wanataka kuuza sura runingani!!! Bora tusione kabisa hili Bunge.
Waziri Nape katoa Maelezo ya Serikali juu ya sababu za kutorusha live. Bado...
Akiwa ameambatana na aliyekuwa mgombea wa kiti cha urais wa JMT kupitia ADC chief lutasola Yemba,Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia ADC amethibitisha kushiriki uchaguzi wa mwezi march wa rais wa...
Waziri wa fedha wa zamani mheshimiwa Simon Mbilinyi ameunanga utawala wa awamu ya nne na kusema ziara nyingi zilizofanywa nje ya nchi kipindi chote cha awamu ya nne zilikuwa hazifanyiwi tathmini...
Heshima mbele wakuu.
Chama cha Mapinduzi (CCM) ni miongoni mwa vyama vichache vikongwe vilivyosalia vikitawala baadhi ya nchi za Afrika.Hata hivyo mwenendo wa chama hiki katika chaguzi mbalimbali...
Afisa wa TANAPA bwana Kisamo Emmily ameuawa usiku wa kuamkia leo kwa kuchinjwa kama mbuzi huko Arusha.
Mwili uko kwenye chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Mount Meru.
Kuna tetesi...
Kuna watu wanashambulia kwamba kila siku ni matamshi ya kuombewa. Sijui kwa nini hawa hawakutamka wakati Magufuli anachukua fomu. Nimeamua kuweka thread inayojitegemea ili kuwakumbusha.
Wadau, amani iwe kwenu.
Ni dhahiri kwamba Uchaguzi Mkuu wa 2015 umemalizika. Kumalizika kwa uchaguzi Mkuu wa 2015 kunatoa fursa kwa vyama vya siasa kujipanga kwa ajili ya uchaguzi ujao.
Mpaka...
Wadau, amani iwe kwenu.
Kumeibuka mjadala mzito kwenye mitandao ya kijamii baada ya Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete kumuomba Rais Magufuli kuwafikiria, kuwapongeza na kuwawezesha vijana 46...
Waziri wa Katiba na Sheria Dokta HARISSON MWAKYEMBE ameishauri Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai-ICC kutatua manung`uniko ya Bara la Afrika
Waziri wa Katiba na Sheria Dokta HARISSON...
Vurugu kubwa zimeibuka katika wilaya ya Mong Kok huko Hong Kong baada ya polisi kupambana na 'wamachinga' wakati wakiondoa kwa nguvu shehena za vyakula zilizowekwa kwa ajili ya kusherehekea Mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.