Graph hapo chini inaonyesha copper smelters mbali mbali katika nchi tofauti duniani zenye uwezo wa kuchenjua kuanzia 2,000 tons kwa mwaka mpaka zenye uwezo wa 100,000 tons kwa mwaka ambazo...
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amesema serikali ingetafuta vyanzo vingine vya mataumizi na sio kodi peke yake na pia kuona maisha ya wananchi yanakuwa bora kutokana na kukua kwa uchumi...
Habari za siku hii wanajamvi, nimekaa nakuona kuwa kuna dalili za sisi kuwa wapole juu ya kampuni ya MADINI ya Accacia kuhusu kile kinachoitwa MAKINIKA (Mchanga) na kabisa naona tunaanza kutia...
Mwaka 1955 Libya iliingia mkataba wa kuchimba mafuta na kampuni ya Kimarekani iliyokuwa inaitwa 'Libyan American Oil Company' wakati huo Libya ikiwa chini ya Mfalme Idris. Baadaye Marehemu...
Naelewa hajataifisha. Ila ameshikilia mali au amesimamisha biashara kinyume na mkataba. Two wrongs does not make it right. Magufuli hajali sheria. Mtu anayetuma Lipumba Kutumia Walinzi wake kwenda...
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI WIZARA YA NISHATI NA MADINI MHESHIMIWA JOHN JOHN MNYIKA (MB), KUHUSU UTEKELEZAJI WA BAJETI YA WIZARA KWA MWAKA 2016/2017 NA MAKADIRIO YA...
Haya mauaji ya kielimu hayana tofauti na mauaji ya vikongwe kule Mwanza na Shinyanga yaliyomuondoa waziri yule wizara ya mambo ya ndani...!!.
Tofauti ni moja tu kuwa haya ya elimu hasa huko...
Kwa mujibu wa bunge la jamhuri ya muungano,mbunge wa ccm,leo bungeni amelidhitishia bunge kwa kusema kuwa John mnyika mbunge wa kibamba ndie aliyekuwa anaiba mchanga wa dhahabu kwenye migodi ya...
Ikiwa zimepita siku mbili tangu Rais John Magufuli kueleza kuwa kwa sasa nchi iko katika vita ya uchumi na kwamba ana majina ya watu waliotaka kuingilia na kuharibu uchunguzi wa Kamati Maalumu...
Habari za mchana wanaJF
Kama kuna kitendo kinanikera kwa wabunge wangu waCCM (nasema wangu kwa sababu mimi pia ni mwanachama), ni hili la kuungana kwa vitu visivyo kuwa na maana. Wabunge wangu...
Nakushukuru Mola kwa kunipa pumzi yako baba, bado ninaendelea kuishi, japo sitakiwi kuishi hapa duniani(Tanzania), najua ni mpango wako kuwa hapa duniani katika nchi njema ya Tanzania, nchi tajiri...
Kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu imeshindwa kuendelea kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa sababu wakili wa Serikali anayeindesha...
Amani iwe kwenu wana Jamvi,
Kwa mara ya kwanza IGP kuongea kwenye vyombo vya habari anatoa kauli hii yenye utata kwa Raia, Kama heading inavosomeka, nmesikia mkutano huo wa IGP na vyombo vya...
Sasa ni dhahiri kabisa kuwa jina la magufuli halikamatiki kwenye Media mbalimbali hasa hapa jamiiforums kila muda lazima ianzishwe thread kumhusu mkuu wa nchi either kwa mabaya au kwa mema, pia...
Hasa wema wako utakuwa nini? umekunya wewe, harufu mbaya umeisababisha wewe, haya unajisifia umeondoa harufu, hiyo harufu si umeileta wewe?
Wabunge wa CCM wanajisifu leo eti wanapambana na Wezi...
Lumumba elimu elimu elimu!
Majuzi rais wa Marekani bwana Donald Trump kapendekeza dhima ya nchi yake kujitoa kwenye mkataba wa Roma conversation kuhusu utunzaji wa mazingira hasa naendeleo ya...
Rais Uhuru Kenyatta Mwezi wa nane kupitia muungano wake wa Jubilee anasimama tena kuwaomba wakenya wamchague kama rais wao kuwaongoza kwa Mara nyingine, lakini Je hali halisi ya maisha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.