GT
History ipo wazi kabisa siasa na dini huwezi kuvitenganisha. Kama Martin Luther JR angekuwa na akili kama za Alhaji Malasusa sidhani kama wamarekani weusi wangepata haki zao mapema.
KKKT ya...
Vita hupiganwa kwa njia nyingi, na leo mmeona jinsi ambavyo plan za Maandamano zilivyokuwa strategically planned and executed.
Hali hii inakuja kwenye kila kitu cha Serikali ya CCM hadi wananchi...
Habari kutoka Kalenga zinasema leo asubuhi vijana wa ccm maarufu kama Green Guard wakiongozwa na katibu wa ccm jimbo la Kalenga wamevamia nyumba za Masista (Hizo ni hostel za masista ambazo kila...
1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.
2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua...
Watawa wa Shirika la Masista wa Afrika wa Benedektina Bikra Maria Msaada wa Kristo Ndanda wamesema wanamuunga mkono Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa...
Kanisa katoliki nchini limeweka marufuku kwa watawa wa kike na kiume na kiongozi yeyote wa kanisa katoliki kujihusisha na kampeni za siasa au kutambulishwa na chama chochote cha kisiasa kama...
Hii ni thread muhimu ya Mambo muhimu ya kumdai mgombea Urais kupitia CCM tunapoelekea kufanya uchaguzi oktoba 29.
Katika thread hii tuweke bila aibu ni mambo gani muhimu anatakiwa atimize iwapo...
Hadi leo jawabu sina ndiyo maana naleta sumbuko hilo kwenu.
Kulikuwa na sababu gani hasa kwa ndg yetu huyo kuruka masharti ya dhamana?!
Kwa nini hakuwa makini km mtu ambaye alitambua wazi kwamba...
Naomba niseme wazi,
Sishabikii Kifo Cha Rais wetu Mzilankende, Ta Mwami Magufuli Joseph pombe na haitokaa itokee nishabikie kamwe, niseme pia sitokaa nimwombee Kwa Mungu eti amweke Pahala pema...
Salaam, Shalom.
Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na...
✓Ni ajabu lakini ni kweli kuwa ndugu huyu ambaye amewahi kuwa RC maarufu sana enzi zile wa mkoa wenye watu wengi zaidi Tanzania yaani DSM analalamika kuwa anawindwa na kundi la watu ili wamuue...
Kwa Watanzani wenye mapenzi mema na nchi hii, habari kwamba rais Kikwete amekubali kuandikwa katiba mpya, hizi ni habari njema!!!
Ila, kama ana utashi wa kweli wa kisiasa juu ya jambo hili...
Katika kile kinachoonekana kujibu mapigo ya maaskofu wa kanisa lile walioamua kuwa wanasiasa,askofu dkt malasusa amesema kuna watu hawapendezwi na jamii kukaa kwa amani
Wale wa kanisa lile...
Kwamba huyu ndiye Spika wa Bunge la Tanzania, basi tumekwisha.
Bunge litakuwa mwangwi tu wa kile serikali ya Mama Samia inataka.
Bunge halijalaani matukio ya mauaji ya Oktoba 29.
Huyu Azzan Musa...
Ndugu Zangu Watanzania,
Wakristo Mbalimbali Wamekesha na kushinda Makanisani Wakimuombea Heri Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Ambapo waumini hao ambao...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameweka wazi maelekezo aliyoagizwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yanaenda kugusa jeshi la polisi nchini.
Mabadiliko makubwa...
Viongozi wa serikali kila kona ya nchi hususani waziri mkuu anahimiza amani najiuliza hiyo amani inapatikanaje huku watu wanachukuliwa na kupotea kusopojulikana?
Kiongozi unaongelea rasilimali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.