gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 14,068
- 17,502
Katika kile kinachoonekana kujibu mapigo ya maaskofu wa kanisa lile walioamua kuwa wanasiasa,askofu dkt malasusa amesema kuna watu hawapendezwi na jamii kukaa kwa amani
Wale wa kanisa lile wameshindwa kung'amua kuwa huwezi tafuta haki pahala pasipo amani,licha ya kusifiwa kuwa na elimu za chuo kikuu tena kuukuu, ilhali masheikh wasio hata na elimu ya a level kirahisi wameng'amua hilo
Katika Misa za noeli, viongozi hao wameonekana kusisitiza kupigania haki,wakidai kushindwa 'kutoka' na kupigania haki kwa mkiristo si sawa
===
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania (KKKT) na Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Askofu, Dk. Alex Malasusa amekemea tabia za baadhi ya watu za kuchafua taswira za watu wengine, pamoja na kuichonganisha jamii.
Ameyasema hayo leo katika ibada ya Sikukuu ya krismasi iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Azania Front jijini Dar es Salaam.
“Kuna watu wakiona jamii imekaa pamoja kwa amani wao inawakosesha raha.”
Source NIPASHE Digital
Wale wa kanisa lile wameshindwa kung'amua kuwa huwezi tafuta haki pahala pasipo amani,licha ya kusifiwa kuwa na elimu za chuo kikuu tena kuukuu, ilhali masheikh wasio hata na elimu ya a level kirahisi wameng'amua hilo
Katika Misa za noeli, viongozi hao wameonekana kusisitiza kupigania haki,wakidai kushindwa 'kutoka' na kupigania haki kwa mkiristo si sawa
===
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania (KKKT) na Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Askofu, Dk. Alex Malasusa amekemea tabia za baadhi ya watu za kuchafua taswira za watu wengine, pamoja na kuichonganisha jamii.
Ameyasema hayo leo katika ibada ya Sikukuu ya krismasi iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Azania Front jijini Dar es Salaam.
“Kuna watu wakiona jamii imekaa pamoja kwa amani wao inawakosesha raha.”
Source NIPASHE Digital