Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wametia aibu kwa kuhusika kusaport hila , kushiriki chaguzi fake sasa watageuka na kuwa NCCR Mageuzi wangeweza kabisa kuwa chama kizuri lakini waliweka njaa mbele
3 Reactions
6 Replies
158 Views
Askofu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Romanus Mihali, amewataka Wakristo, hususan waumini wa Kanisa Katoliki, kutimiza wajibu wao wa kusimamia haki, amani na uadilifu, hasa katika masuala...
11 Reactions
27 Replies
579 Views
Wakuu, Jaji Chande na Tume yake wanapata wapi hii nguvu ya kuonya wakati polisi walituambia tufute video na picha zote tulizokuwanazo kwenye simu? Tulikuwa tunashushwa kwenye magari wanafanya...
12 Reactions
24 Replies
764 Views
Tume ya Uchunguzi imetoa wito kwa wananchi kupuuza ushawishi wowote unaolenga kuwazuia kushirikiana na tume hiyo na badala yake watoe maoni na ushauri kwa tume. Wito huo umetolewa Desemba 26...
1 Reactions
27 Replies
582 Views
Ni ukweli usiopingika Dunia sasa inamuangalia Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Samia Suluhu Hassan kama mwanamke hodari anayejiamini kiasi cha kuifananisha misimamo yake ya...
5 Reactions
62 Replies
862 Views
"Taifa letu limejeruhiwa na Taifa letu limepoteza heshima kutokana na yale yaliyojiri wiki ya uchaguzi mkuu.." amesema Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi OFMCap. katika homilia aliyoitoa...
5 Reactions
7 Replies
433 Views
Kuna picha zinasambaa Polisi wako Fukweni wanafanya Doria, kile ni kidole Serikali imejitia. Tanzania ina akiba ya kigeni ya miezi 4-6 inayotumika kulipa madeni na kununua mahitaji ya muhimu na...
5 Reactions
31 Replies
706 Views
"Kuna mahali naingia nafanya kazi zangu naondoka bila Watu kujua kama nilikuwa pale, lakini unapokwenda kwenye shughuli za kijamii hasa harusi kuna Watu lazima wanitambulishe kama mtoto wa Rais...
32 Reactions
272 Replies
18K Views
Wakuu, Askofu Bagonza Disemba 8 aliuliza, "Kuvaa kininja mahakamani na kuteka/kukamata bila sare; aseme IGP au Waziri? Askari wamfuate yupi? Nani awaamue?" Aliuliza swali hilo, kukiwa na...
3 Reactions
11 Replies
363 Views
Hii ni sahihi?. Kuwavisha wanaCCM mavazi haya ili kupumbaza wananchi?
1 Reactions
24 Replies
903 Views
Wanabodi Hii ni makala yangu ya Salaam zangu za Krismasi kwenye gazeti la Mwananchi. Leo ni Sikukuu ya Krisimasi, Watanzania tunajiunga na watu wengine duniani, kuadhimisha sikukuu hii ya...
5 Reactions
22 Replies
461 Views
Wanaukumbi, Kuanzia leo Jumatano, 28 Septemba Mwananchi limeanza "series" zangu na za waandishi wengine kuhusu Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika. Tusomeni kwa furaha. Mohamed Said...
26 Reactions
2K Replies
174K Views
Rais aliyeapishwa na jeshi lililomsaidia kuiba kura, ndiye aliyetoa amri kutangazwa kwa hali ya hatari iliyopelekea mauaji ya raia zaidi ya 10,000. Ameunda tume anayoìtuma kuchunguza mauaji hayo...
2 Reactions
15 Replies
307 Views
Tangu tupate uhuru, Tanzania imeongozwa na viongozi sita toka dini kuu mbili za kikoloni yaani Ukristo na Uislam. Watatu walikuwa Wakristo yaani JK Nyerere, Ben Mkapa na JP Magufuli ilhali...
4 Reactions
24 Replies
423 Views
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania , TEC, Askofu Wolfgang Pisa Muhtasari wa habari Kibwagizo cha ujumbe wa Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) katika Sala na Mafungo ya kuombea haki na...
42 Reactions
214 Replies
12K Views
Swali langu ni hilo tu tumjue huyu Lofa anasaligi parokia gani, tupate uhakika ni muumini mwenzetu au ni pandikizi?
5 Reactions
22 Replies
633 Views
GT History ipo wazi kabisa siasa na dini huwezi kuvitenganisha. Kama Martin Luther JR angekuwa na akili kama za Alhaji Malasusa sidhani kama wamarekani weusi wangepata haki zao mapema. KKKT ya...
7 Reactions
21 Replies
446 Views
Vita hupiganwa kwa njia nyingi, na leo mmeona jinsi ambavyo plan za Maandamano zilivyokuwa strategically planned and executed. Hali hii inakuja kwenye kila kitu cha Serikali ya CCM hadi wananchi...
4 Reactions
15 Replies
362 Views
Habari kutoka Kalenga zinasema leo asubuhi vijana wa ccm maarufu kama Green Guard wakiongozwa na katibu wa ccm jimbo la Kalenga wamevamia nyumba za Masista (Hizo ni hostel za masista ambazo kila...
8 Reactions
326 Replies
29K Views
- - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - SOURCE: RAIA MWEMA, APRIL 18, 2018, pg. 12 - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - Ujumbe wa kwaresima umesababisha Polycarp...
13 Reactions
36 Replies
8K Views
Back
Top Bottom