Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni ukweli usiopingika Dunia sasa inamuangalia Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr Samia Suluhu Hassan kama mwanamke hodari anayejiamini kiasi cha kuifananisha misimamo yake ya...
5 Reactions
62 Replies
862 Views
"Taifa letu limejeruhiwa na Taifa letu limepoteza heshima kutokana na yale yaliyojiri wiki ya uchaguzi mkuu.." amesema Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi OFMCap. katika homilia aliyoitoa...
5 Reactions
7 Replies
433 Views
Kuna picha zinasambaa Polisi wako Fukweni wanafanya Doria, kile ni kidole Serikali imejitia. Tanzania ina akiba ya kigeni ya miezi 4-6 inayotumika kulipa madeni na kununua mahitaji ya muhimu na...
5 Reactions
31 Replies
706 Views
"Kuna mahali naingia nafanya kazi zangu naondoka bila Watu kujua kama nilikuwa pale, lakini unapokwenda kwenye shughuli za kijamii hasa harusi kuna Watu lazima wanitambulishe kama mtoto wa Rais...
32 Reactions
272 Replies
18K Views
Wakuu, Askofu Bagonza Disemba 8 aliuliza, "Kuvaa kininja mahakamani na kuteka/kukamata bila sare; aseme IGP au Waziri? Askari wamfuate yupi? Nani awaamue?" Aliuliza swali hilo, kukiwa na...
3 Reactions
11 Replies
363 Views
Hii ni sahihi?. Kuwavisha wanaCCM mavazi haya ili kupumbaza wananchi?
1 Reactions
24 Replies
903 Views
Wanabodi Hii ni makala yangu ya Salaam zangu za Krismasi kwenye gazeti la Mwananchi. Leo ni Sikukuu ya Krisimasi, Watanzania tunajiunga na watu wengine duniani, kuadhimisha sikukuu hii ya...
5 Reactions
22 Replies
462 Views
Wanaukumbi, Kuanzia leo Jumatano, 28 Septemba Mwananchi limeanza "series" zangu na za waandishi wengine kuhusu Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika. Tusomeni kwa furaha. Mohamed Said...
26 Reactions
2K Replies
174K Views
Rais aliyeapishwa na jeshi lililomsaidia kuiba kura, ndiye aliyetoa amri kutangazwa kwa hali ya hatari iliyopelekea mauaji ya raia zaidi ya 10,000. Ameunda tume anayoìtuma kuchunguza mauaji hayo...
2 Reactions
15 Replies
307 Views
Tangu tupate uhuru, Tanzania imeongozwa na viongozi sita toka dini kuu mbili za kikoloni yaani Ukristo na Uislam. Watatu walikuwa Wakristo yaani JK Nyerere, Ben Mkapa na JP Magufuli ilhali...
4 Reactions
24 Replies
423 Views
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania , TEC, Askofu Wolfgang Pisa Muhtasari wa habari Kibwagizo cha ujumbe wa Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) katika Sala na Mafungo ya kuombea haki na...
42 Reactions
214 Replies
12K Views
Swali langu ni hilo tu tumjue huyu Lofa anasaligi parokia gani, tupate uhakika ni muumini mwenzetu au ni pandikizi?
5 Reactions
22 Replies
633 Views
GT History ipo wazi kabisa siasa na dini huwezi kuvitenganisha. Kama Martin Luther JR angekuwa na akili kama za Alhaji Malasusa sidhani kama wamarekani weusi wangepata haki zao mapema. KKKT ya...
7 Reactions
21 Replies
446 Views
Vita hupiganwa kwa njia nyingi, na leo mmeona jinsi ambavyo plan za Maandamano zilivyokuwa strategically planned and executed. Hali hii inakuja kwenye kila kitu cha Serikali ya CCM hadi wananchi...
4 Reactions
15 Replies
362 Views
Habari kutoka Kalenga zinasema leo asubuhi vijana wa ccm maarufu kama Green Guard wakiongozwa na katibu wa ccm jimbo la Kalenga wamevamia nyumba za Masista (Hizo ni hostel za masista ambazo kila...
8 Reactions
326 Replies
29K Views
- - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - SOURCE: RAIA MWEMA, APRIL 18, 2018, pg. 12 - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - Ujumbe wa kwaresima umesababisha Polycarp...
13 Reactions
36 Replies
8K Views
Wanabodi, Nilikuwa naangalia bunge kuapishwa kwa waheshimiwa wabunge wapya. Ilipofika zamu ya Mhe. Upendo Furaha Peneza akiapa, nikamkumbuka Regia Mtema (RIP). Kwa waumini wa 'life after life'...
9 Reactions
129 Replies
33K Views
1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro. 2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua...
12 Reactions
122 Replies
6K Views
Watawa wa Shirika la Masista wa Afrika wa Benedektina Bikra Maria Msaada wa Kristo Ndanda wamesema wanamuunga mkono Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa...
1 Reactions
34 Replies
1K Views
  • Featured
Kanisa katoliki nchini limeweka marufuku kwa watawa wa kike na kiume na kiongozi yeyote wa kanisa katoliki kujihusisha na kampeni za siasa au kutambulishwa na chama chochote cha kisiasa kama...
26 Reactions
121 Replies
6K Views
Back
Top Bottom