Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

CHADEMA inafanya Mikutano yao kwenye Viwanja vya shule za Msingi na idadi ya Watu ni ndogo kuliko wanaohudhuria Ndondo Cup au Kombe la Diwani. Katikati ya Watu kiduchu wanamshambulia Shujaa...
10 Reactions
32 Replies
2K Views
Mbowe usituone majinga tunajua umelambishwa asali ili uendelee kumtukana Magufuli na najaribu kusema ni moja kati ya masharti uliyopewa ili uendeshe mikutano ya ujinga. Binafsi Magufuli ni...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
Leo ndio siku ya kuapishwa kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usala Jenerali Venance S. Mabeyo na Mnadhimu Mkuu wa Majeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) Luteni Jenerali James Aloyce...
8 Reactions
65 Replies
17K Views
Imebidi niulize ili labda kama kuna anayejua ratiba ya Mikutano ya hadhara ya Wanasiasa hawa na vyama vyao atueleze. Mchumi Lipumba na Bwana Mapesa ni wanasiasa wakongwe mno, bila shaka...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwanza Namshukuru' mwenyezi Mungu mwingi Rekhma kunifikisha siku ya Leo, pia nawaombea wote wanaochukia uzembe, wizi, ubabaishaji na unyumbu. Moja ya maswali ninayojiuliza kila siku ni kwamba...
1 Reactions
3 Replies
472 Views
Waswahili Wanasema kila zama na majira yake,Kwasababu Mh Rais ameruhusu mikutano ya siasa, kwa Lugha nyingine ameruhusu uhuru wakuongea na kutoa mawazo mapya anayoyapenda na hata asiyoyapenda...
1 Reactions
7 Replies
985 Views
Pata Picha Dkt. Slaa ambaye hajapanda Jukwaani kuwahutubia wananchi kwa miaka 7 Hotuba yake pale Furahisha ingekuwaje Lakini leo mjadala mkubwa ni askari polisi Kupiga Picha na mwananchi wa...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
This is ridiculous! Ndio unavyoweza kusema! Sophia mjema Katibu mwenezi wa CCM ameitaka Serikali yake ya CCM kugawa haraka vishikwambi Kwa walimu na ametoa wiki Moja Tu.. Anyway
0 Reactions
1 Replies
872 Views
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Manyoni imetakiwa kuchunguza mauaji ambayo yamekuwa yakiripotiwa kutokea mfululizo pamoja na vitendo vya ushirikiana vinavyohusisha kufukua maiti na...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Fatma Karume amezungumza na Wakili TV na kufafanua mambo kadhaa ikiwemo kuhusu hali ya demokrasia nchini, siasa ya Tanzania na kurejea kwa Tundu Lissu. Huyu hapa anafafanua: Nikiwa kama Rais...
23 Reactions
106 Replies
6K Views
Nimemsikia mh Mbowe kupitia Jambo TV akiwaambia wananchi wa Musoma kwamba Viongozi wetu hawana Baraka za Mungu kwa sababu uchaguzi wa 2020 uliporwa Aliyemuelewa hii sentence anifafanulie...
0 Reactions
1 Replies
513 Views
Hotuba ya Mbowe M/kiti wa Chama chetu, niliifuatilia mwanzo mwisho Mbowe, hana tabia ya kuongea vile isipokuwa juzi katika kuwahutubia wananchi wa Mwanza na wanachama wa Chadema, sauti...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Kama JF ingekuwa YouTube channel mngepata posho nyie msiopenda meza moja japo mama kawaumbia. Kuna watu humu JF kila muda mnajaribu kuoji kuhusu chadema ila madudu yenu muwezi kusema. Basi...
1 Reactions
4 Replies
447 Views
Siku moja baada ya CHADEMA kuzindua mikutano ya hadhara jijini Mwanza, Chama cha ACT Wazalendo nacho kimetangaza kuanza mikutano yake Februari 19, 2023 jijini Dar es Salaam. Akisoma maamizio ya...
2 Reactions
7 Replies
933 Views
Nilitegemea kwenye mkutano wa hadhara Mwanza na Musoma Chadema wangekuja na orodha ndefu sana yenye kila aina ya ufisadi alioufanya hayati rais Magufuli kipindi yupo madarakani, kwa sababu...
0 Reactions
14 Replies
985 Views
Hii ni shariti kubwa kabisa na lenye nguvu kabisa katika serikali ya awamu ya sita ambapo upinzani kazi moja waliyopewa ni kusifia maridhiano huku wakichafua uongozi wote wa JPM. Tayari maelekezo...
5 Reactions
46 Replies
3K Views
Wakuu mtazamo wangu ni kuona tunakuwa na vyama vyenye nguvu Zinazolingana au kukaribiana sana Ili ikitokea chama kimoja kikizingua inakuwa rahisi wanachi kukiondoa na kuweka kingine Mwisho wa...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Kamati Kuu ya ACT Wazalendo wameitaka Serikali itangaze ratiba ya mchakato wa Katiba Mpya kama walivyokubaliana kwenye Kikosi Kazi cha Prof. Mukandala. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wake Addo...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Katiba inaruhusu Mikutano ya kisiasa, lakini yeye anavimba kichwa akifikiri yeye ndokafanya juhudi ya kurudishwa mikutano ya hadhara nakati sio yeye ni kikosi kazi Kwa mujibu wa maelezo ya SSH...
9 Reactions
39 Replies
2K Views
Kwa vile CHADEMA wapo Mara, ingefaa kama wangekwenda kulizuru kaburi la Mwalimu. Kwa sababu inafaa kama watu wanafanya shughuli za kisiasa Mara wapite kumsabahi Mwalimu. Inafaa watu wanaotaka...
1 Reactions
7 Replies
780 Views
Back
Top Bottom