Ndugu zangu watanzania,
Uongozi Unahitaji kuwa na ngozi ngumu, Unahitaji kuwa na msimamo, Unahitaji kuwa mvumilivu na mwenye Subira, Unahitaji kuwa na Nidhamu ya kimaamuzi, Unahitaji...
Hivi Vyama vya Siasa vinavyojiita vya Upinzani havina ubobezi wala ushawishi wowote wa kuleta Mageuzi ya kimaendeleo nchini.
Ni vema Serikali ikaviimarisha Vyama vya kitaaluma, Vyama vya...
Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza hayo katika kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi.
Amesema Mapinduzi ya Kisiasa tumeshajikomboa, kuanzia 64 mpaka leo...
Waheshimiwa wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungana wa Tanzania-Kheri ya mwaka mpya 2023.
Humu ndani ya jukwaa la JF kumekuwepo na mjadala kuhusu kodi kubwa inayotozwa na TRA pale mtu anapoingiza...
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA SONGWE - MIUNDOMBINU YA ELIMU
Matukio mbalimbali katika picha Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe Juliana Daniel Shonza akiambatana na viongozi wa Umoja wa...
Mbunge wa viti Maalum (CCM) mkoa wa Rukwa Ndg. Irene Ndyamkama amefariki dunia leo tarehe 24 Aprili 2022 katika hospitali ya Tumbi mkoani Pwani alikokuwa akipatiwa matibabu.
Spika wa Bunge la...
Kimsingi Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe anapozuru Ikulu anakuwa amealikwa na Rais wa JMT mh Samia na siyo Mwenyekiti wa CCM.
Mwenyekiti wa Chadema anakutana na Rais wa nchi hakutani na Mwenyekiti...
Baada ya kuangalia mwenendo wa Rais Samia kidemokrasia ndani ya chama hiki sugu kwa uvunjifu wa demokrasi nimemsifu katika anga hizo ingawa kiuchumi amepuyanga sana kwa kutegemea mawazo ya mchumi...
Hapa sizungumzi kuhusu Tanganyika peke yake, nazungumza kwa ujumla wake.
Lakini hasa kwa Tanganyika, maana tumezoea kuwaona wanasiasa wakikimbilia kujificha kwenye sketi za polisi wakibinywa...
Baada ya zoezi la sensa na makazi kumalizika, Serikali ilitangaza nia njema ya kugawa vishikwambi vilivyokuwa vinatumika katika zoezi hilo kwa kila mwalimu wa shule ya Serikali wa shule ya msingi...
Kimeanzishwa kipindi kipya Cha mjadala katika Televisheni ya EATV, ambacho Kwa mara ya kwanza kilirushwa Jana Jumanne, tarehe 10/02/2023 chenye mada iitwayo Je Siasa safi zinawezekana nchini...
Dkt. Ayub Rioba jana alipata fursa ya kuongea kwenye kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na TBC 1 na kuelezea mambo mengi yanayolihusu shirika ikiwemo kuanzisha chaneli ya kiingereza...
Mwezi mmoja umepita toka Rais aliposema kwamba anataka kufanya mabadiliko - labda mabadiliko makubwa katika Serikali yake.
Nadhani watu wote wanalitazama hili jambo kwa mtazamo chanya ambapo...
Maasai walituma ushahidi wa ndege kubwa isiyo na alama ikitua na kuruka kutoka Pololeti
==
https://www.jamiiforums.com/threads/msigwa-hakuna-ndege-inayobeba-wanyama-mwenye-ushahidi-alete.2055025/
Poleni sana ndugu zangu wachagga najua inauma na itawaumiza sana Chato kuwa mkoa kabla ya Moshi kuwa jiji lakini tambueni kwamba vigezo vya sehemu kuwa mkoa sio sawa na vile kuifanya sehemu kuwa...
Naiangalia Tanzania ya mwaka 2073 miaka 50 kutoka leo. Najitenga na ubinafsi nifikiri bila kuzugwazugwa. Nauangalia mfumo wa Muungano wa Tanzania. Najikumbusha mazingira ya kuanzishwa kwake wakati...
Asanteni viongozi wetu, Rais Samia na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wajumbe wa vyama vyenu kwa maridhiano kwa taifa.
Binafsi nimefurahishwa sana kwa hekima busara na hofu ya Mungu...
Pamoja na nguvu kubwa iliyotumika kumkomoa.
Hakuna hatia yoyote aliyokutwa nayo mpaka sasa Ndugu Lengai Ole Sabaya.
Kinachofanyika ni Uhuni wa kumkomoa kupitia Cartel ya wahalifu wa "Hai".
Na...
Mmeharibu elimu, leo hii mtoto anamaliza Form Six hawezi kusoma na kuandika. Hawezi kufanya reasoning.
Leo kama kijana hawezi kureason na kuwa na general knowledge mbagemea atakuwa mvuvi, mkulima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.