The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Haiwezekani kabisa CAG afanye kazi yake akabidhi wezi wa fedha zetu, alafu tuendelee kupanga bajeti nyingne, ili tuwape fursa wakaibe tena!!?
Nawaomba wote wenye uzalendo wa kweli tuungane pamoja tufanye maandamano ya amani ili kuelezea hisia zetu kwa ajili ya kulilazimisha bunge ili lijadili kukamata wezi wote kurejesha fedha za umma na kuzuia uwezekano wa wizi mwingine kutokea.
Tarehe na namna ya kuhusika na haya maandamano vitawekwa wazi kwa ajili ya wazalendo wote.
Nawaomba wote wenye uzalendo wa kweli tuungane pamoja tufanye maandamano ya amani ili kuelezea hisia zetu kwa ajili ya kulilazimisha bunge ili lijadili kukamata wezi wote kurejesha fedha za umma na kuzuia uwezekano wa wizi mwingine kutokea.
Tarehe na namna ya kuhusika na haya maandamano vitawekwa wazi kwa ajili ya wazalendo wote.