Salaam Wakuu,
Kwenye hii picha kuna nguo na viatu vya aliyekuwa rais wa Tanzania Hayati John Magufuli.
Tutumie picha hii kutafakari Watanzania tulipo, Tulipotoka na tunapoenda?
Chemsha bongo...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kuanza ziara kabambe ya Kikazi kwenye Kanda ya Kusini.
Katibu wa Kanda hiyo Governor Kaduma amewaambia waandishi wa habari Mjini Masasi...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, (Mb) ameipongeza Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa Kuratibu vyema mashindano mbalimbali yanayofanyika ndani na nje ya...
Juzi kumefanyika Mabadiliko ya Watendaji wa Tume ya Uchaguzi kwa Kumwondoa Bwana Mahera na Kumweka Bwana Kailima kuwa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi.
Mabadiliko hayo hayana tija yoyote kwa tume...
Mabingwa wa Afrika wa Mpira wa Miguu kwa Shule za Sekondari ambao ni Shule ya Fountain Gate wakiwa Bungeni jijini Dodoma kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim...
Tangu enzi za wizi wa Tangold na Meremeta, wizi wa fedha za Tegeta - Escrow na hata sasa wizi unaonekana kwenye Ripoti ya CAG, kila hatu ya wizi huo wahusika wakuu huwa ni wasomi wabobevu wa fani...
Ndugu zangu watanzania,
Naomba niende moja kwa moja kueleza kwa kina Mambo yatakayombeba na kumpa ushindi wa kishindo Rais Samia Uchaguzi Ujao.
Moja, Rais Samia anakubalika na watanzania wa Rika...
Huyu mtu simply ni Mhalifu, japo anajificha kwenye kijisauti chake kile tunamwona kama Mcha Mungu vile.
Kwa miezi michache aliyokaa kama CG - TRA, Philip Mpango aliwatisha Wafanyabiashara na...
Kama Philip Mpango bado yuko ofisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na...
Hawa wote walosomwa na CAG ni asilimia 90 mpaka 95 ni wateule wa Magufuli.
Kila ripoti ikitoka hamna kitu bunge linafanya, kwasababu bunge lote ni la chama kimoja ambacho lilitokana na kuiba...
Mungu ni wa ajabu sana na utukufu wake ni wa kutisha sana, kwani hukumu zake ni za haki
Ninachokifahamu ni hivi! Mtu akiuwa mtu, maisha yake yote huwa hawezi kupata Amani abadani kwa sababu...
Mpango wa Serikali ni kuwarudisha nchini na wataishi kwenye vituo mahususi vilivyotengwa (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-UDSM na Kihansi kuanzia Aprili mwaka huu," alisema Chande na kuongeza kuwa...
Jamani wana jamii wenzangu samahanini kwa kutokuwepo mtandaone kwa muda kidogo.
Hivi ina maana Muungwana haoni kelele zote hizi wanazopigiwa hawa mafisadi.Yule aliyekuwa mkurugenzi BOT na...
Je, Kikatiba, Makamu wa Rais ana uwezo wa kukataza au hata kuamrisha chochote? I mean, ana uwezo wowote wa hire and fire yoyote yule Tanzania?
Nauliza kwa maana isije kuwa tunalishwa matango...
MKATABA WA SHILINGI BILIONI 4.7 KUWAFIKISHIA WANANCHI MAJI SAFI NA SALAMA KATA YA MUGANGO NA TEGERUKA WASAINIWA
WIZARA ya Maji imemtaka mkandarasi kampuni ya Kiure Engineering L.T.D. kukamilisha...
Kitu kimoja ambacho Shujaa Magufuli alikuwa nacho ni kuogopa mambo madogo na kuwa jasiri kwenye mambo makubwa na Mazito.
Shujaa aliogopa Mikutano ya Huu upinzani Uchwara lakini lilipokuja jambo...
I have never gotten the logic like this all my life. Ati mwizi mmoja akishikwa anaanza ama mnaanza kusema hata XYZ ni mwizi mbona hajashikwa. We have to start somewhere now!
Hizi hela...
Mwanasiasa wa Tanzania na mbunge wa zamani wa Arusha Mjini anaeishi uhamisho nchini Kanada, Godbles Lema ambaye pia ni makamu wa Rais wa masoko barani Afrika wa kampuni Kanada, Solar ship inc...
KAMPUNI iliyopewa kazi ya kukusanya fedha za kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Push Mobile Media Limited inahusishwa na watuhumiwa wa ufisadi nchini, MwanaHALISI limegundua.
Kwa mujibu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.