Naona baada ya Mwanza SASA NI Simiyu to Mara, wananchi wanaonekana walikuwa na kiu Kali Sana. Tofauti na msafara wa Mhe. Rais hakuna mapokezi mengine yanayofanywa na wananchi Kwa wingi huu. Si...
Mbowe siku ya jana amesema kwa kurudia Mara nyingi sana kuhusu viongozi ndani ya chadema ambao hakukubaliana nae kuhusu maridhiano na hata sasa hawakubaliani nae, na wanakuambia kua amelamba...
Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika amesema huu ni mwaka wa uchaguzi wa Viongozi wa chama hivyo wanachama wote wajiandae.
Mnyika amesema Uchaguzi utafanyika kuanzia ngazi ya Msingi hadi Taifa, so...
Tatizo la bei kupanda ni upungufu wa uzalishaji au kuna pesa nyingi kwenye mfumo wetu wa uchumi?
Vijana wengi sasa wana bet, Ni nani anajishughulisha na uzalishaji Mali, Kama hakuna anayelima...
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za kitaifa na kimataifa kwa muda mrefu sasa.
Taifa letu la Tanzania limekuwa na siasa za uonevu mkubwa wa haki za msingi kutoka kwa watawala kwenda kwa watawaliwa...
Mbowe ana takribani miaka 60,
Ni age mate wa Hayati Magufuli, japo mmoja anaonekana kijana kuliko mwenzake,
Kwa umri wake na harakati zake za kisiasa hawezi kurudi darasani tena.
Na ikumbukwe...
Wahenga walisema mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.
Nichukue nafasi hii kuipongeza CHADEMA na viongozi wanachama wafuasi na watanzania wapenda haki amani na mageuzi kwa kufanikisha mkutano wao...
📍 Igunga, Tabora - MBUNGE NICHOLAUS NGASSA: "UWT NI NGUZO IMARA YA CHAMA"
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa ameipongeza Jumuiya ya Wanawake (UWT) Wilaya ya Igunga kwa kuanza...
Wabongo ni taifa la wapumbavu
Leo hii Mbowe alianza kutumia pesa za baba yake kujenga chama miaka ya 2000 leo ndiye anaitwa mlamba asali?
Mbowe mwaka 2005 alikodi helicopter kuzunguka nchi mzima...
Chadema kama chama tegemeo kwa ukombozi wa nchi hii ni tofauti sana na vyama vingine. Tofauti kubwa iliyopo ni kuwa chawa kama wale wa Mama huku si sifa bali ni machukizo.
Chadema iliyoko mioyoni...
Januari 21, 2023 Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mhe. Joseph Kamonga akiambatana na Mweneykiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Ndg. Wise Mgina na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Ludewa Ndg...
Kwa maneno ya Mbowe ya leo pale Mwanza Mama Samia angemteua kuwa Mbunge angekuwa ameshapunguza changamoto moja kubwa sana ya kisaisa kwa upande wake.
Angekuwa amemzika rasmi Bw Freeman Mbowe...
Wakuuu kwanza nampongeza mkiti Mbowe Kwa mengi aliyoyafanya Kwa chama chake kwa nchi yake na taifa kwa ujumla.
Huyu ni kiongozi wa upinzani ambaye hatasahuliwa vizazi vingi vijavyo. Pamoja na...
Hata CCM hakuna mtu aliyewahi kutumia mabilioni yake kwa ajili ya Chama
Kwamba yeye Mbowe peke yake ndio amewashawishi mh Rais Samia na Komredi Kinana kuruhusu Mikutano ya hadhara na kuanzisha...
Miaka sita ya uongozi wa Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli ilikuwa mwiba kwa Chadema, inayotimiza miaka 30 tangu kuanzishwa kwake, kwa kuwa zilifunguliwa kesi nyingi...
Makada wa CCM wasio na ushawisho Kwa wananchi wameanza kuona Giza mbele ya siasa baada ya chadema kurejea Kwa kishindo.
Wengi wametokea kuwa washauri WA chadema wakitaka chadema isikubali...
Mara kadhaa Rais Samia ametamka kuwa sasa ni wakati wa kuacha siasa za uhasama.
Na kwa kweli ni ushamba wa hali ya juu kuifanya siasa ni ugomvi au uadui. Siasa zinatakiwa ziandane na hoja, halafu...
Ni hapa Mwanza hotel na Gold crest walipolala viongozi wa chadema, Kuna polisi wengi wenye manyota na wasio na nyota na licruiser lao wamepozi kwa nje wakiteta jambo na viongozi wa chadema wilaya...
Wasalaam.
Leo ilikuwa ni Ufunguzi wa Mikutano ya Hadhara kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), iliyofanyika uwanja wa Furahisha mkoani Mwanza.
Pamoja na mengine mengi, hotuba ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.