Simchezo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 445
- 345
Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality
Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)
Asanteni.
Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality
Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)
Asanteni.