Tubadilishe mnyama wa Taifa asiwe Twiga

Simchezo

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
445
345
Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.

Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality

Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)

Asanteni.
 
Tumtumie nyegere atafaa zaidi... Kama point ni jinsi mnyama alivyo!
 

Attachments

  • img_1_1681308267776.jpg
    img_1_1681308267776.jpg
    10 KB · Views: 8
Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.
Moja kwanza tuanze hapo kwenye hio premise unaweza uka-jenga hoja kubwa, ndefu na nzito ila kama zimesimamia msingi hafifu / usio na nguvu hoja hizo zinakuwa Void Ab Initio.....

Ukimaliza kujibu hilo niite niendelee kupangua Hoja zako kama unadhani one to one Man amano - Simba anaweza kumdhibiti Twiga
 
Moja kwanza tuanze hapo kwenye hio premise unaweza uka-jenga hoja kubwa, ndefu na nzito ila kama zimesimamia msingi hafifu / usio na nguvu hoja hizo zinakuwa Void Ab Initio.....

Ukimaliza kujibu hilo niite niendelee kupangua Hoja zako kama unadhani one to one Man amano - Simba anaweza kumdhibiti Twiga
Simba mangu ni Caracal!!! sio Lion.
 
Simba mangu ni Caracal!!! sio Lion.
Na ushaona hawa wanawawinda Twiga ?

A giraffe can kick in any direction and in a manner of ways, and its kick can not only kill a predator, but has even been known to decapitate. Unsurprisingly, very few predators bother an adult giraffe.
 
Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.

Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality

Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)

Asanteni.
Ukamuulize simba kama twiga ni mpole, akusimulie mateke yake
 
Usiturudishe Nyuma Kujadili Mijadala Iliyofungwa Zamani Sana
Jamhuri Ya JF Tulikubaliana Zamani Kuhusu Kamanda Nyegere Awekwe Pale Haraka
Twiga Atupishe, Ametuchelewesha Kwenye Mambo Mengi Sana Ya Maendeleo



Hata Tanesco Wamuondoe Tuepuke Umeme Kukatika Hovyo Hovyo
 
Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.

Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality

Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)

Asanteni.
Tuchague huyo mwamba😂
 

Attachments

  • Animals-With-the-Toughest-Skin-Honey-Badger-768x401.jpg
    Animals-With-the-Toughest-Skin-Honey-Badger-768x401.jpg
    51.3 KB · Views: 5
Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege.

Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia zake, nikaogopa! Hizi ni baadhi ya sifa/tabia zake;
1. Ni mpole kupita kiasi.
2. Atoi sauti inayojulikana (bubu).
3. Pamoja na nguvu na ukubwa wake ni muoga, anaweza kimbizwa na mtoto.
4. Wana tabia za homosexuality

Hizi ni baadhi ya sifa mbaya ambazo zinaweza kuliganda Taifa! Turekebishe kwenye katiba. Afadhali tumtumie Simba mangu (Caracal)

Asanteni.
mi napendekeza yafuatayo
1.mnyama awe fisi kwa sababu watanzania ni waoga na hawatosheki (wezi wa mali za umma)

2.Nembo ya bibi na bwana yule bibi aongezewe wowowo!!!
 
Back
Top Bottom