Tukubali BUNGE ni DHAIFU tuuHata ripoti ikijadiliwa wakati huu hamna mtu atawajibishwa. Tukubali tu tumepigwa
Awamu ya mama imezidi kwa wiziHata ripoti ikijadiliwa wakati huu hamna mtu atawajibishwa. Tukubali tu tumepigwa
Bongo lala ya Samia Hii mkuu mama anaupiga mwingi.Wadau nawasalimu.
Bunge letu limesema Sakata la Report ya CAG litajadiliwa November kupisha mjadala wa ushoga. Tukumbushane tu Sakata la Richmond, lingesubiri nalo November Mzee aliyejiuzulu angekuwa bado Waziri Mkuu!
Mfungo mwema.
Ushoga unajadiliwa vipi bungeni wakati sheria za ushoga na usagaji zipo kwenye katiba? Ni makosa ya jinai kama makosa mengine. Bunge wasitumie pesa za wananchi kwa kujadili vitu vya ajabu. Polisi ndio wanapaswa kuwajibika kutoa ufafanuzi kwa mashoga kujinadi bila kuchukuliwa hatua.Wadau nawasalimu.
Bunge letu limesema Sakata la Report ya CAG litajadiliwa November kupisha mjadala wa ushoga. Tukumbushane tu Sakata la Richmond, lingesubiri nalo November Mzee aliyejiuzulu angekuwa bado Waziri Mkuu!
Mfungo mwema.
Kadri unavyompa muda mtuhumiwa ndivyo unavyoingiwa na huruma.Tena kwa hawa wabunge waWadau nawasalimu.
Bunge letu limesema Sakata la Report ya CAG litajadiliwa November kupisha mjadala wa ushoga. Tukumbushane tu Sakata la Richmond, lingesubiri nalo November Mzee aliyejiuzulu angekuwa bado Waziri Mkuu!
Mfungo mwema.
Raisi wa Nchi?
Wewe ndio hujatumia Akili, Ripoti ya CAG hajadiliwa bunge la mwezi Novemba. Ache mihemko, ua umekalia KUNI hapo?Suala sio vikao vya bunge suala ni kujadili tumia akili muda fulani
Kaokota dodo kwa mujibu wa katiba naye.Raisi wa Nchi?