Ndugu zangu watanzania,
Rais Samia Ameendelea Kuiteka mijadala ya kisiasa Mitaani, kila mahali Ni Rais Samia. Ni Rais Samia juu ya uchapa kazi wake ulio tukuka. Ni Rais Samia juu ya kuimarisha...
Mbunge wa Muheza, Hamis Mwinjuma (MwanaFA) amekutana na Wakuu wote wa Idara na vitengo ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Muheza katika kikao alichokiitisha kwa wilayani humo.
Lengo kuu la kikao...
Kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameruhusu vyama vyote vya siasa vinaruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara, ruhusa hii inahusu Chama Tawala pia. Kwa namana...
CHOO CHA MIL.28.7 NYUFA KILA KONA.
Wakati wakuonyesha UTEKELEZAJI WA ILANI WENYE MASHAKA NA WAHUSIKA WAWAJIBISHWE, HIZI NI PESA ZA UMMA.
Hiki ni Choo kimejengwa Katika SHULE YA SEKONDARI...
Rais Samia Suluhu anaendelea kuupiga mwingi sekta ya elimu alianzisha mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa 8000 nchi nzima vyenye thamani ya Tsh Bilioni 160 sasa madarasa yamekamilika kwa...
Trump, Magufuli, Bolsonaro, Hawa ni marais 3 walioibuka na style zao za uongozi zilikuwa zinafana kwa kiasi fulani.
Walikuwa wakiamini wao ndio wakombozi wa nchi na wanajua kila kitu na viongozi...
---
Nilipotekwa 2019 polisi walikataa kutoa PF3,lakini haikuzuia madaktari wa hospital ya kanda Mbeya kunihudumia tena kwa emergency kulingana na hali mbaya niliyokuwa nayo mpaka nikapona...
1. SGR
2. Bwawa la umeme la Nyerere
3. Daraja la Kigongo Busisi
4. Bima ya Afya kwa wote
5. Njia 8 barabara ya Dar - Moto
6. Bandari ya Tanga
Miradi hii na zile barabara za mzunguko...
Waziri wa Fedha amependekeza mabosi wote wa Serikali wanaotumia magari ya serikali wakopeshwe hayo magari ili wayagharamie wenyewe.
Serikali itaokoa takribani tsh 500 bilion
=====
Mkakati wa...
Ni zipi faida za wasiojulikana kwenye Taifa kama Tanzania hasa upande wa kukuza uchumi?
Nchi kama Tanzania inanufaikaje inapokuwa na watu wasiojulikana? Wakubwa watabaki salama endapo...
Sijawahi kufuatilia kwa ukaribu kazi za huyu jamaaa anapotembelea wakulima hadi nilipoona akaunti ya wizara ya kilimo huko Tiktok.
Kiukweli HUSEIN BASHE anafanya kazi nzuro sana ya kuwanyanyua...
Nimejaribu kutafakari ni kwanini wauaji wengi ukamatwa kirahisi baada Tu yakufanya mauaji ila waalifu wengine uchukua muda?
Nimetafakari ni kwanini watu wengi wanaweza kukaa kimya pale...
Inaonekana usalama wa Kiongozi kama Rais kwa Tanzania ni mdogo sana ndio maana unakuta Rais ana Body guard wawili na wote wamesimama nyuma yake wakati ana hutubia. Jiwe ndio muasisi wa hii kitu...
Kazi nyingine nzuri sana hata ukistaafu watu bado wanakusujudu kama vile bado uko kazini. Week kama tatu zilizopita alikuja kwenye arobaini ya babamkwe wake lindi mjini ndipo niliona msafara wake...
Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili...
Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya (MB), Watanzania wengi wanaumwa na hawajitambui, Watanzania wengi hawana utaratibu wa kufanya checkup kujua Afya zao.
Bahati mbaya sana gharama za checkup...
Mh.Silinde leo ameomba rasmi kujiunga na Chama Mapinduzi, na amesema yupo tayari kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa nguvu zote.
Spika Ndugai amemkaribisha na kumhamisha kwenye viti vya Upinzani...
Hayati Rais John Pombe Magufuli ndiye mtu aliyetajwa sana katika mwaka huu 2022,penye hoja na pasipokuwa na hoja,ndiye Rais pekee ambaye atazidi kuendelea kutajwa mara nyingi kwenye awamu hii na...
Sijawah kufuatilia kwa ukaribu kazi za huyu jamaaa anapotembelea wakulima hadi nilipoona akaunti ya wizara ya kilimo huko Tiktok.
Kiukweli HUSEIN BASHE anafanya kazi nzuro sana ya kuwanyanyua...
Tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani amefanikiwa kuboresha sekta ya elimu amejenga vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 nchi nzima na kupelekea kufutwa kwa chaguo la pili kwa wanafunzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.