Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu watanzania, Rais Samia Ameendelea Kuiteka mijadala ya kisiasa Mitaani, kila mahali Ni Rais Samia. Ni Rais Samia juu ya uchapa kazi wake ulio tukuka. Ni Rais Samia juu ya kuimarisha...
1 Reactions
48 Replies
2K Views
Mbunge wa Muheza, Hamis Mwinjuma (MwanaFA) amekutana na Wakuu wote wa Idara na vitengo ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Muheza katika kikao alichokiitisha kwa wilayani humo. Lengo kuu la kikao...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameruhusu vyama vyote vya siasa vinaruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara, ruhusa hii inahusu Chama Tawala pia. Kwa namana...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
CHOO CHA MIL.28.7 NYUFA KILA KONA. Wakati wakuonyesha UTEKELEZAJI WA ILANI WENYE MASHAKA NA WAHUSIKA WAWAJIBISHWE, HIZI NI PESA ZA UMMA. Hiki ni Choo kimejengwa Katika SHULE YA SEKONDARI...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Rais Samia Suluhu anaendelea kuupiga mwingi sekta ya elimu alianzisha mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa 8000 nchi nzima vyenye thamani ya Tsh Bilioni 160 sasa madarasa yamekamilika kwa...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Trump, Magufuli, Bolsonaro, Hawa ni marais 3 walioibuka na style zao za uongozi zilikuwa zinafana kwa kiasi fulani. Walikuwa wakiamini wao ndio wakombozi wa nchi na wanajua kila kitu na viongozi...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
--- Nilipotekwa 2019 polisi walikataa kutoa PF3,lakini haikuzuia madaktari wa hospital ya kanda Mbeya kunihudumia tena kwa emergency kulingana na hali mbaya niliyokuwa nayo mpaka nikapona...
10 Reactions
25 Replies
3K Views
1. SGR 2. Bwawa la umeme la Nyerere 3. Daraja la Kigongo Busisi 4. Bima ya Afya kwa wote 5. Njia 8 barabara ya Dar - Moto 6. Bandari ya Tanga Miradi hii na zile barabara za mzunguko...
8 Reactions
66 Replies
3K Views
Waziri wa Fedha amependekeza mabosi wote wa Serikali wanaotumia magari ya serikali wakopeshwe hayo magari ili wayagharamie wenyewe. Serikali itaokoa takribani tsh 500 bilion ===== Mkakati wa...
12 Reactions
63 Replies
7K Views
Ni zipi faida za wasiojulikana kwenye Taifa kama Tanzania hasa upande wa kukuza uchumi? Nchi kama Tanzania inanufaikaje inapokuwa na watu wasiojulikana? Wakubwa watabaki salama endapo...
0 Reactions
6 Replies
597 Views
Sijawahi kufuatilia kwa ukaribu kazi za huyu jamaaa anapotembelea wakulima hadi nilipoona akaunti ya wizara ya kilimo huko Tiktok. Kiukweli HUSEIN BASHE anafanya kazi nzuro sana ya kuwanyanyua...
2 Reactions
13 Replies
970 Views
Nimejaribu kutafakari ni kwanini wauaji wengi ukamatwa kirahisi baada Tu yakufanya mauaji ila waalifu wengine uchukua muda? Nimetafakari ni kwanini watu wengi wanaweza kukaa kimya pale...
0 Reactions
0 Replies
593 Views
Inaonekana usalama wa Kiongozi kama Rais kwa Tanzania ni mdogo sana ndio maana unakuta Rais ana Body guard wawili na wote wamesimama nyuma yake wakati ana hutubia. Jiwe ndio muasisi wa hii kitu...
14 Reactions
116 Replies
9K Views
Kazi nyingine nzuri sana hata ukistaafu watu bado wanakusujudu kama vile bado uko kazini. Week kama tatu zilizopita alikuja kwenye arobaini ya babamkwe wake lindi mjini ndipo niliona msafara wake...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Katika ulimwengu huu wa kidigitali kila kitu kinaweza kufanyika kwa urahisi, uhakika, na ufanisi mkubwa kwa kutumia teknolojia ambazo hazihitaji watu kukusanyika na kukutana mwili kwa mwili...
9 Reactions
112 Replies
4K Views
Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya (MB), Watanzania wengi wanaumwa na hawajitambui, Watanzania wengi hawana utaratibu wa kufanya checkup kujua Afya zao. Bahati mbaya sana gharama za checkup...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Mh.Silinde leo ameomba rasmi kujiunga na Chama Mapinduzi, na amesema yupo tayari kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa nguvu zote. Spika Ndugai amemkaribisha na kumhamisha kwenye viti vya Upinzani...
15 Reactions
135 Replies
19K Views
Hayati Rais John Pombe Magufuli ndiye mtu aliyetajwa sana katika mwaka huu 2022,penye hoja na pasipokuwa na hoja,ndiye Rais pekee ambaye atazidi kuendelea kutajwa mara nyingi kwenye awamu hii na...
13 Reactions
36 Replies
3K Views
Sijawah kufuatilia kwa ukaribu kazi za huyu jamaaa anapotembelea wakulima hadi nilipoona akaunti ya wizara ya kilimo huko Tiktok. Kiukweli HUSEIN BASHE anafanya kazi nzuro sana ya kuwanyanyua...
0 Reactions
1 Replies
583 Views
Tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani amefanikiwa kuboresha sekta ya elimu amejenga vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 nchi nzima na kupelekea kufutwa kwa chaguo la pili kwa wanafunzi wa...
0 Reactions
9 Replies
606 Views
Back
Top Bottom