Waziri Magufuli yuko wapi? Ana matatizo gani haonekani?

Waziri Magufuli yuko wapi? Ana matatizo gani haonekani?

Mwikimbi

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2008
Posts
1,762
Reaction score
835
Miezi miwili inakatika haiujulikani waziri huyu mchapakazi yuko wapi? Kwenye matukio muimu kama bungeni haonekani, kuanguka kwa ghorofa kunakomhusu ukizingatia bodi zote za ERB, na AQRB ziko chini yake.

Ni vema tuakelezwa kilichomsibu waziri huyu kwa kupotea ghafla kwenye anga za siasa, na hadharani, je anaumwa? Yuko likizo? Hapendezwi na mambo yanavyokwenda?

Naomba wasaidizi wake watujibu

nawasilisha
 
nilimwona jana asubuh kipindi cha maswali na majibu bungeni, akijibu swali la nyongeza la kafurila
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom