technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,872
- 48,222
Narudia tena na tena hatutakuja kupata Marais wanaojua siasa, Uongozi na utawala Kama Rais Hayati Nyerere na mstaafu Kikwete.
Nyerere pamoja na misukosuko yote ya vita ila alisimama na watanzania na Tanzania ilibaki kuwa moja.
Nyerere alikataa uchawa Kama ilivyokuwa kwa Kikwete mambo ya kusifiwa sifiwa Hawa watu walikuwa hawataki kabisa!!
Nyerere alikuwa ni zaidi ya kiongozi ndiye alijenga viwanda karibia kila mkoa halafu mkapa akaja kuviuza vyote.
Kuna watu wanamtukana Kikwete naweza sema ni wakurupukaji tu Kikwete mambo yote ya Rushwa na ufisadi yaliasisiwa na Mwinyi na Mkapa Hawa ndio waasisi wa ushenzi na ufisadi wa kupindukia unaitafuna Tanzania.
Rais Kikwete alitaka kila mtanzania ajue kinachoendela kwenye nchi yake na hakuwa na watetezi ndio maana alionekana fala wakati rais mzuri ni yule anayeweka transparent Ili yeye aje achukue maamuzi mwishoni.
Kikwete Kama asingekuwa Samia, Sita na Mkapa now toka 2015 tungekuwa na Katiba mpya.
Hizo IPTL, Dowans, Richmond, Buzwagi na uchafu mwingine ni zao la utawala wa Mwinyi na Mkapa sema watu tunaangalia matokeo lakini hatuangalii chanzo Cha hayo matokeo. Mkataba wa IPTL kwa mfano ulisainiwa mwaka 1994 kea Mara ya kwanza.
Kikwete alikemea udini kwa vitendo na hakuwa mnafiki aliwachana waislamu waziwazi kwamba hawawezi kuwa sawa na Wakristo.
Nyerere vile vile alikemea udini waziwazi kwa kusema yeye hateui kwa kuangalia dini ya mtu ila uwezo wake na Wala dini zao hazijui.
Rais Samia hawezi kukemea udini ambao unasambaa kwenye serikali yake.
Pia Magufuli alishindwa kukemea udini na ukabila na ukanda uliokuwa ukisambaa kwenye serikali yake.
Mkapa aliua watu zanzibar kiuni Sana na hapa alionyesha udini wa Hali ya juu sana!
Samia Kama ilivyokuwa Mkapa, Magufuli na wote hawataki kushauriwa kwa mtazamo wa ndani wanaonekana.
Mnaojua historia mkumbuke uhuru wa mahakama na uendeshaji wa kesi kwenye utawala wa Nyerere na Kikwete.
Rais Samia anahubiri utawala wa sheria halafu anawakumbatia watu wasiyofuata sheria ndani ya bunge na serikali.
Rais lazima awe wa watu, aruhusu bunge huru, akosolewe na awe mzalendo asiwe na makando kando ya wizi na ufisadi, asiwalinde majambazi na kuwatukana raia wake. Ndiyo maana kwenye utawala wa Nyerere watu wengi walijiuzulu na pengine utawala wa Kikwete ulivunja record ya watu kujiuzulu.
Sio mtu anajiuzulu kwa shinikizo la kumkosoa Rais.
Kwa Sasa hatuna Uongozi huu ni ukweli mchungu! Rais hapanic.
Mpaka kesho rais Bora ni Kikwete na Nyerere R.I.P.
Nyerere pamoja na misukosuko yote ya vita ila alisimama na watanzania na Tanzania ilibaki kuwa moja.
Nyerere alikataa uchawa Kama ilivyokuwa kwa Kikwete mambo ya kusifiwa sifiwa Hawa watu walikuwa hawataki kabisa!!
Nyerere alikuwa ni zaidi ya kiongozi ndiye alijenga viwanda karibia kila mkoa halafu mkapa akaja kuviuza vyote.
Kuna watu wanamtukana Kikwete naweza sema ni wakurupukaji tu Kikwete mambo yote ya Rushwa na ufisadi yaliasisiwa na Mwinyi na Mkapa Hawa ndio waasisi wa ushenzi na ufisadi wa kupindukia unaitafuna Tanzania.
Rais Kikwete alitaka kila mtanzania ajue kinachoendela kwenye nchi yake na hakuwa na watetezi ndio maana alionekana fala wakati rais mzuri ni yule anayeweka transparent Ili yeye aje achukue maamuzi mwishoni.
Kikwete Kama asingekuwa Samia, Sita na Mkapa now toka 2015 tungekuwa na Katiba mpya.
Hizo IPTL, Dowans, Richmond, Buzwagi na uchafu mwingine ni zao la utawala wa Mwinyi na Mkapa sema watu tunaangalia matokeo lakini hatuangalii chanzo Cha hayo matokeo. Mkataba wa IPTL kwa mfano ulisainiwa mwaka 1994 kea Mara ya kwanza.
Kikwete alikemea udini kwa vitendo na hakuwa mnafiki aliwachana waislamu waziwazi kwamba hawawezi kuwa sawa na Wakristo.
Nyerere vile vile alikemea udini waziwazi kwa kusema yeye hateui kwa kuangalia dini ya mtu ila uwezo wake na Wala dini zao hazijui.
Rais Samia hawezi kukemea udini ambao unasambaa kwenye serikali yake.
Pia Magufuli alishindwa kukemea udini na ukabila na ukanda uliokuwa ukisambaa kwenye serikali yake.
Mkapa aliua watu zanzibar kiuni Sana na hapa alionyesha udini wa Hali ya juu sana!
Samia Kama ilivyokuwa Mkapa, Magufuli na wote hawataki kushauriwa kwa mtazamo wa ndani wanaonekana.
Mnaojua historia mkumbuke uhuru wa mahakama na uendeshaji wa kesi kwenye utawala wa Nyerere na Kikwete.
Rais Samia anahubiri utawala wa sheria halafu anawakumbatia watu wasiyofuata sheria ndani ya bunge na serikali.
Rais lazima awe wa watu, aruhusu bunge huru, akosolewe na awe mzalendo asiwe na makando kando ya wizi na ufisadi, asiwalinde majambazi na kuwatukana raia wake. Ndiyo maana kwenye utawala wa Nyerere watu wengi walijiuzulu na pengine utawala wa Kikwete ulivunja record ya watu kujiuzulu.
Sio mtu anajiuzulu kwa shinikizo la kumkosoa Rais.
Kwa Sasa hatuna Uongozi huu ni ukweli mchungu! Rais hapanic.
Mpaka kesho rais Bora ni Kikwete na Nyerere R.I.P.