Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Lambert alimuuliza Lissu swali la kushtukiza kuhusu msimamo wake kuhusiana na vita ya Drc na Ukraine kama angebahatika kuwa Raisi. Lissu alijibu kwa kifupi kuhusu Drc kwamba suluhisho ni...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Ni kwa sababu moja tu! JPM, hakuwa mvivu, ni mtu aliyekerwa sana vinchi vidogovidogo kuwa juu yetu kiuchumi, Uchapakazi wake na kasi yake; maono makubwa na ya mbali kuliko ilivyotarajiwa na wengi...
0 Reactions
1 Replies
398 Views
Wananchi wengi wanalalamika hasa suala la upendeleo wa wazi unaoonyeshwa na wasimamizi wa eneo tengwa la barabara yaani (Road reserve) tunaona serikali inafanya jitahada za kuwaondoa wavamizi sawa...
0 Reactions
4 Replies
569 Views
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Dkt. Vicent Mashinji ametoa siku 7 kwa viongozi wa siasa waliowaambia wafanyabiashara warejee katika maeneo yao ya awali ya biashara na kuondoka katika maeneo...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopa kopa kama raia...
38 Reactions
496 Replies
32K Views
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha...
27 Reactions
82 Replies
7K Views
Wana Jf sasa ni dhahiri Deo Fulikunjombe anaingia rasmi kwenye vitabu vya kihistoria, kwa kuwa natumia simu ngoja niwe short and clear. Ni hivi, kumekuwa na tabia ya Mawaziri kupewa dakika 40...
24 Reactions
120 Replies
9K Views
Wakuu habari, Miongoni mwa propaganda iliyopitwa na wakati lakini bado inatumiwa sana na wana CCM ni hii, kwamba upinzani ukichukua nchi utaleta machafuko. Huwa najiuliza upinzani una nguvu sana...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Ndugu zangu huo ndio ukweli kuwa Tundu Lisu Hawezi Kuwa Rais Wa Nchi Hii ya Tanzania, Hata Kama angezaliwa kabla ya Uhuru na kuwepo wakati huo na ikatokea uchaguzi, bado Lisu asingepewa nafasi ya...
7 Reactions
132 Replies
5K Views
Habari Wakuu, Leo 08/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri...
53 Reactions
207 Replies
37K Views
Habari, kwa wale wenzangu tuliowahi kusafiri na madege makubwa ya masafa marefu, kama kutoka Tanzania to America, masaa tisa upo hewani, rubani huwa anachoka na kuamua kurudi nyuma kwenda kunywa...
8 Reactions
37 Replies
1K Views
Habari ya asubuhi wana JF. Nimeleta hoja hii mbele yenu, kupata maoni kutoka kwenu. Hii ni kutokana na kubadilika kwa bei za vifurushi mara kwa mara bila kutolewa sababu za kubadilika kwa gharama...
0 Reactions
9 Replies
854 Views
Mwaka 2025 mama Samia atatimiza miaka 65 hadi mwaka 2030 Akiwa madarakani atakuwa na umri wa miaka 70. Mtanzania mwenye kuweza kutambia kipindi Samia Akiwa na umri wa miaka 70 anatupeka wapi...
3 Reactions
46 Replies
3K Views
Ndio mwelekeo wa Taifa letu. Nyerere, Mwinyi na Mkapa ndio marais pekee watakaobaki bila kupenda kuwa addressed kama Dr. Njaa ni kali sana na unga hautoshi kila mtu anapambana kujipendekeza.
0 Reactions
5 Replies
586 Views
Kuna wakati dhana nzima ya Nchi kuwa Huru inachanganya sana. Hivi Watanzania tulidai Uhuru tukiwa na malengo gani hasa mahsusi. Chukulia mfano wa Tundu Lisu na Lema hawa ni Viongozi wakubwa wa...
0 Reactions
7 Replies
535 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo amesema kupanda kwa Bei ya Data hakukuwa na utaratibu mzuri na pia huduma imekuwa mbovu kwa gharama kubwa zaidi, jambo ambalo linaua ndoto za...
17 Reactions
24 Replies
4K Views
Tuache siasa kwa kila kitu. Hizi associations mbalimbali za kitaluuma ziwe zina address solutions mbalimbali kwenye changamoto za kijamii kuliko ku pose kisiasa tu. Chama cha Engineers, Chama...
0 Reactions
0 Replies
381 Views
Jakaya Kikwete alianza vizuri na ninaamini mwanzo alikuwa na nia ya dhati kabisaaa kuhusu Katiba Mpya, lakini katikati ya mchakato ghafla akabadili gia hewani. Kuna mzee alilambwa mpaka makofi...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Kitendo cha TUCTA kudhani kuwa wanamjibu Heche kuhusu wafanyakazi kuporwa haki yao ya mafao kwa kumuambia eti wamekubaliana na serikali na mjadala umefungwa hiyo ni kuwadharau wafanyakazi. Heche...
1 Reactions
0 Replies
531 Views
Tukio liko mubashara TBC Watu ni Wengi sana sana kwa kweli hii ni Baraka Wafuasi wa vyama wakiwa Ndani ya sare zao nao wapo CCM, Chadema na ACT Wazalendo Mungu ni Mwema wakati Wote
6 Reactions
43 Replies
4K Views
Back
Top Bottom