Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habari wana JF, Naomba nijikite kwenye mada husika. Binafsi nampongeza mheshimiwa Rais kwa kukuteua Profesa Caroline kwa nafasi ya Katibu Mkuu wa wizara ya Elimu. Ukiwa mtendaji mkuu wa wizara...
1 Reactions
1 Replies
922 Views
Katika kila jambo la kisiasa linaloendelea , ikiwemo mikutano ya hadhara , kampeni na Maandamano , huwa kuna vijimambo vinavyofanyika vya kusisimua sana lakini huwa havipewi nafasi na Waandishi wa...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Mchungaji mwema wa Kondoo hutangulia mbele na kondoo wa Kundi lake humfuata nyuma Ili atokeapo Mbwa mwitu aweze kuwakabili kondoo wasidhurike. Mchungaji wa Mbuzi hukaa nyuma ya kundi lake na...
3 Reactions
6 Replies
838 Views
Natoka tahadhari Kwa Bashe, Waliokuwhikia Bango Kwa hoja za kizushi na upuuzi ndio hao hao waliokuwa wamemshikia Bango Mwigulu, January na Nape. Sasa wanaona kabisa unaenda kuwa threats Kwa...
0 Reactions
21 Replies
1K Views
Rais wa JMT Dr. Samia ataizindua rasmi Jengo la Ikulu mpya ya Chamwino siku ya 20/5/2023 Mungu ni mwema wakati wote!
19 Reactions
135 Replies
7K Views
Mapendekezo ya katiba mpya juu ya Usalama wa Taifa ni yapi? Naombeni nondo
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu akiongozana na Kamati ya Ulinzi na Usalama amefanya ziara fupi tarehe 02.2.2023 katika Hospitali ya Wilaya Tukuyu (Makandana) na kujionesha shughuli za...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Serikali imefikia uamuzi wa kutekeleza mradi wa Building a Better Tomorrow (BBT) unaolenga kuongeza ushiriki wa vijana katika kilimo kwa kuwapatia mafunzo, maeneo ya mashamba, mitaji na...
0 Reactions
1 Replies
604 Views
Hamjambo Wadau. Kwa miaka Mingi Mbeya ilikuwa inaonekana ni ngome ya Chadema na hii ilitokana na hisia za watu wa Mbeya kuhisi wanatengwa na Serikali ya ccm Toka zama za JK na chuki zikazidi zama...
5 Reactions
150 Replies
10K Views
Lissu yupo kwa vile Mbowe yupo and not the other way round! Kama si Mbowe kutokewa na Mungu kuwa msiende Muhimbili, Lisu ingelikuwa historia. Hivyo Lisu is because Mbowe was. Hivyo ujinga wenu...
23 Reactions
49 Replies
3K Views
Zaidi ya mwaka mmoja sasa tangu kuzinduliwa kwa filamu ya Royal Tour Aprili 28, mwaka 2022 kwa ajili ya kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii Tanzania. Akitoa ufafanuzi kwa wanahabari mwaka...
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Akihutubia wakati wa maonesho ya Dubai Expo 2020 mjini Dubai, tarehe 26 Februari 2022, Rais Samia Suluhu Hassan aliwakaribisha wawekezaji na wafanyabiashara nchini. Matokeo Kituo cha Uwekezaji...
0 Reactions
0 Replies
424 Views
Kutokana na uwepo wa mazingira salama nchini yaliyotengenezwa na Rais Samia Suluhu Hassan, uwekezaji nchini umeongeza na hili linathibitika kwa idadi ya miradi iliyosainiwa kuanzia mwezi Julai...
0 Reactions
0 Replies
572 Views
VIDEO: Kutoka Bungeni jijini Dodoma, Swali la Mbunge wa Kisesa Mhe. Mpina lajibiwa na Serikali Ambapo Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Atupele Mwakibete amethibitisha kuwa hakuna...
0 Reactions
2 Replies
712 Views
Ukimsikiliza waziri Bashe unagundua nchi hii tunarudia makosa yale yale ya siku zote na ni wagumu sana kujifunza kutokana na Historia. Bashe anazungumzia nadharia nzuri na maneno matamu sana...
10 Reactions
51 Replies
3K Views
Picha: Prof. Kitila Mkumbo Habari Prof! Njoo hapa tuambie, ulipokuwa Katibu Mkuu Wizara ya maji, bajeti ya wizara yako ilikuwa bil 600. Wadau walipokuuliza kama zitatosha, ulijjibu ndiyo...
0 Reactions
1 Replies
498 Views
Jeshi la Polisi limetangaza kwamba IGP mstaafu ataagwa rasmi kesho na Jeshi hilo kwenye hafla itakayofanyika kwenye viwanja vya chuo cha Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam Msemaji wa Polisi...
6 Reactions
48 Replies
5K Views
Ingawa tunajua kwamba chuki dhidi ya Lissu inatokana zaidi na uwezo wake wa kijasiri wa kusema kile anachokiamini dhidi ya watawala, lakini pia wapo watu wanaomchukia Lissu kwa kuwa tu yupo hai...
13 Reactions
37 Replies
2K Views
Katika kipindi hiki ambacho tunakiita cha ukombozi kutoka katika udikteta wa miaka 7 tunachokiona ni Vyombo vya habari na waandishi wa habari kutuangusha kwa kujikita kwenye habari za kijinga na...
1 Reactions
7 Replies
665 Views
Nawasalimu wote. CHADEMA tulikuwa na wabunge wengi kabla ya ukatili na chafuzi za yule mshamba, tukanyang'anywa kwa Hila, vipigo,vifo, vifungo na mateso. Haya matatizo na uonevu tulifanyiwa na...
4 Reactions
12 Replies
861 Views
Back
Top Bottom