Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Najua umeamua kuunda jeshi lako, na kuwapiga chini wote uliyowakuta msituni wanapigana! Wamekaa siyo kwa kupenda na bahati mbaya, miaka inakimbia sana vipi hilo jeshi ulilolitupa likaamua kujiunda...
1 Reactions
1 Replies
352 Views
Jana TANESCO wametoa taarifa kuwa kuna upungufu wa Megawati 300 kutokana na ukame na matengenezo yanayoendelea Sasa nikawaza kama tunazalisha jumla ya Megawati 1600 basi kukitokea upungufu wa...
8 Reactions
35 Replies
2K Views
RAIS mstaafu wa Tanzania, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete , alipata KUSIMULIA: "Siku moja usiku, nilipokuwa mtoto, nakumbuka kumwona MAMA yangu akituletea chakuka mezani nikiwa na BABA. MAMA aliniwekea...
83 Reactions
241 Replies
29K Views
Hapa wapo Mjini Berlin Nchini Ujerumani wakifuatilia Game ya Ujerumani VS Japan , kwenye World cup . Msafara wao unaongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu . Endelea kubaki hapa...
17 Reactions
62 Replies
4K Views
JE RAIS AU MFALME KUNA WATU ANAOWAOGOPA? Anaandika, Robert Heriel Jemadari Huenda nawe ni miongoni unaofikiri kuwa Rais au Mfalme ni mtu asiyemuogopa yeyote, lakini sivyo. Rais au Mfalme ni...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Baada ya kufukuzwa Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA alipokea ofa ya CCM ikimuomba ajiunge nayo Zitto Kabwe alikataa kwa madai kuwa ana maono makubwa ambayo siyo rahisi kupata fursa ya kuyatekeleza...
0 Reactions
0 Replies
528 Views
Mchakato wa Uchaguzi katika Ngazi ya Taifa ukipamba moto ndani ya Jumuia ya Vijana ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ukipamba moto, Kijana Mahili na Mchapakazi Mohamed Ali (KAWAIDA) akionyesha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Punde tu baada ya kuingia,uliivunja bodi iliyokuwepo "Tanesco" na Ukaunda yako ya "Tan-Escrow" 25/Sep/2021. Baadhi ya tambo zenu zilikuwa hizi. "Tunataka baada ya miaka mitatu Shirika liingie...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Ushauri huu utakusaidia kuelekea 2025,mtindo huu ulimjengea sifa sana Raia hayati Magufuli,kwasababu wasaidizi wako wengine ni wahuni,hawaelezi matatizo ya wananchi kadhalika kuyatatua,kazi yao ni...
1 Reactions
0 Replies
293 Views
Vumbi la Ndugai lingali kutulia. La Polepole ndiyo hivyo tena. Kwanini tu wazito mno kuzika tofauti zetu? Kwanini wenzetu hawa, hawana uadui wa kudumu? Kwamba mipira inazagaa golini kwa adui...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Niende tu moja kwa moja kwenye mada husika. Niko najiuliza, hivi siku hizi huko shule watoto wetu wanafundishwaje aisee. Nauliza hivi maana toka majuzi sielewi mwanangu kaona nini na wapi. Amekuwa...
0 Reactions
2 Replies
493 Views
Kama kuna eneo ambalo serikali ya JMT inayoongozwa na TANU/ASP kisha CCM tangu uhuru 1961 imefeli spectacularly kisera na kimipango ni la upatikanaji wa huduma bora na ya kuaminika ya nishati ya...
8 Reactions
33 Replies
3K Views
Kama Mungu angemjalia Nyerere Uhai kama kina "Warioba" na "Butiku" Kwa hii CCM-asali. Na kama ingetokea Nyerere kuwakosoa CCM hii. Kama wafanyavyo kina.. Ndugai,Bashiru,Butiku na Warioba...
0 Reactions
9 Replies
648 Views
Narudia tena nitakuwa wa mwisho kuamini Kadogosa kaleta yale mabehewa tuliyoahidiwa na Shujaa Magufuli Vinginevyo ni bora angeruhusiwa tu Askofu Gwajima alete mabehewa kama alivyoomba Kwa...
8 Reactions
37 Replies
2K Views
Nawasalimu kwa heshima zote enyi waheshimiiwa ! Lakini mtanisamehe kwa wale wenzetu waislam sijabahatika kuijua quran kiasi cha kukopa mistari yake hapa, mniwie radhi nitatumia biblia peke yake...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa...
4 Reactions
89 Replies
5K Views
Wamesikika watumishi wa Mungu wakikemea maovu hadharani. Kasikika Mzee wa Upako, Askofu Shoo, Askofu Mwingira na wengi wengine: Maaskofu wataka haki kwa kila mtu Kati ya binadamu na Mola, sifa...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Mheshimiwa Ndugai kwa kutoa maoni yake kama mtanzania na kama mbunge hakuvunja sheria yoyote. Kilichofuata baada ya kauli yake hakuna asiyekijua. Labda ilikuwa katika kudhania afunike kombe...
9 Reactions
53 Replies
4K Views
Nimesoma instagram ya msemaji mkuu wa Serikali mh Msigwa kwamba hii ripoti iliyopo hata hapa JF kuhusiana na ajali ya Precision Air siyo rasmi na kwamba tuipuuze Naomba uthibitisho tafadhali...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
sponsor wa chama Yuko ughaibuni, alitumia posho za ubunge kukianzisha, hajamaliza, kahamishwa, ubalozi milioni 5 kwa mwezi
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom