Najua umeamua kuunda jeshi lako, na kuwapiga chini wote uliyowakuta msituni wanapigana! Wamekaa siyo kwa kupenda na bahati mbaya, miaka inakimbia sana vipi hilo jeshi ulilolitupa likaamua kujiunda...
Jana TANESCO wametoa taarifa kuwa kuna upungufu wa Megawati 300 kutokana na ukame na matengenezo yanayoendelea
Sasa nikawaza kama tunazalisha jumla ya Megawati 1600 basi kukitokea upungufu wa...
RAIS mstaafu wa Tanzania, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete , alipata KUSIMULIA:
"Siku moja usiku, nilipokuwa mtoto, nakumbuka kumwona MAMA yangu akituletea chakuka mezani nikiwa na BABA.
MAMA aliniwekea...
Hapa wapo Mjini Berlin Nchini Ujerumani wakifuatilia Game ya Ujerumani VS Japan , kwenye World cup .
Msafara wao unaongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu .
Endelea kubaki hapa...
JE RAIS AU MFALME KUNA WATU ANAOWAOGOPA?
Anaandika, Robert Heriel
Jemadari
Huenda nawe ni miongoni unaofikiri kuwa Rais au Mfalme ni mtu asiyemuogopa yeyote, lakini sivyo. Rais au Mfalme ni...
Baada ya kufukuzwa Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA alipokea ofa ya CCM ikimuomba ajiunge nayo
Zitto Kabwe alikataa kwa madai kuwa ana maono makubwa ambayo siyo rahisi kupata fursa ya kuyatekeleza...
Mchakato wa Uchaguzi katika Ngazi ya Taifa ukipamba moto ndani ya Jumuia ya Vijana ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ukipamba moto, Kijana Mahili na Mchapakazi Mohamed Ali (KAWAIDA) akionyesha...
Punde tu baada ya kuingia,uliivunja bodi iliyokuwepo "Tanesco" na Ukaunda yako ya "Tan-Escrow"
25/Sep/2021.
Baadhi ya tambo zenu zilikuwa hizi.
"Tunataka baada ya miaka mitatu Shirika liingie...
Ushauri huu utakusaidia kuelekea 2025,mtindo huu ulimjengea sifa sana Raia hayati Magufuli,kwasababu wasaidizi wako wengine ni wahuni,hawaelezi matatizo ya wananchi kadhalika kuyatatua,kazi yao ni...
Vumbi la Ndugai lingali kutulia. La Polepole ndiyo hivyo tena.
Kwanini tu wazito mno kuzika tofauti zetu? Kwanini wenzetu hawa, hawana uadui wa kudumu?
Kwamba mipira inazagaa golini kwa adui...
Niende tu moja kwa moja kwenye mada husika. Niko najiuliza, hivi siku hizi huko shule watoto wetu wanafundishwaje aisee. Nauliza hivi maana toka majuzi sielewi mwanangu kaona nini na wapi. Amekuwa...
Kama kuna eneo ambalo serikali ya JMT inayoongozwa na TANU/ASP kisha CCM tangu uhuru 1961 imefeli spectacularly kisera na kimipango ni la upatikanaji wa huduma bora na ya kuaminika ya nishati ya...
Kama Mungu angemjalia Nyerere Uhai kama kina "Warioba" na "Butiku"
Kwa hii CCM-asali.
Na kama ingetokea Nyerere kuwakosoa CCM hii.
Kama wafanyavyo kina.. Ndugai,Bashiru,Butiku na Warioba...
Narudia tena nitakuwa wa mwisho kuamini Kadogosa kaleta yale mabehewa tuliyoahidiwa na Shujaa Magufuli
Vinginevyo ni bora angeruhusiwa tu Askofu Gwajima alete mabehewa kama alivyoomba
Kwa...
Nawasalimu kwa heshima zote enyi waheshimiiwa !
Lakini mtanisamehe kwa wale wenzetu waislam sijabahatika kuijua quran kiasi cha kukopa mistari yake hapa, mniwie radhi nitatumia biblia peke yake...
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa...
Wamesikika watumishi wa Mungu wakikemea maovu hadharani. Kasikika Mzee wa Upako, Askofu Shoo, Askofu Mwingira na wengi wengine:
Maaskofu wataka haki kwa kila mtu
Kati ya binadamu na Mola, sifa...
Mheshimiwa Ndugai kwa kutoa maoni yake kama mtanzania na kama mbunge hakuvunja sheria yoyote.
Kilichofuata baada ya kauli yake hakuna asiyekijua.
Labda ilikuwa katika kudhania afunike kombe...
Nimesoma instagram ya msemaji mkuu wa Serikali mh Msigwa kwamba hii ripoti iliyopo hata hapa JF kuhusiana na ajali ya Precision Air siyo rasmi na kwamba tuipuuze
Naomba uthibitisho tafadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.