Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Huyo ndiye Dr. Bashiru ninayemjua mimi. Mimi sikushangazwa kabisa na kauli imara na madhubuti aliyoitoa Dk. Bashiru hapo juzi kule Morogoro, zaidi niliwashangaa wanaomshangaa na kumsema vibaya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimemsamehe kule kote ambako alikosea. Ile kauli aliyoitoa hakuwa yeye. Nadhani Mungu alimtumia makusudi kufunua mauchafu yaliyokuwa yamepoa. Tunayasikia sasa yakitoa harufu. Bashiru ameyakoroga...
1 Reactions
5 Replies
931 Views
UKIONA VYAELEA, UJUE VIMEUNDWA walisema wahenga wa zamani. Tumeshuhudia press ya Dk Bashiru na baadaye viongozi mbalimbali wakipinga vikali msimamo wa aliyekuwa katibu mkuu wa CCM. Tukio hili...
4 Reactions
50 Replies
3K Views
Akijibu suala la kukatika kwa umeme, Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato aliwataka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kufanya ushirikishaji wa viongozi waliopo katika maeneo ili kukubaliana...
10 Reactions
57 Replies
6K Views
Sina cha kuongezea, angalia mwenyewe kuanzia dakika 0:40 huyo ni Mkuu wa Serikali ya Italia, member of the EU, Tanzania ilifanya ziara rasmi Ufaransa na kusaini Mikataba kama blue economy, sasa...
1 Reactions
2 Replies
628 Views
Baada ya kauli ya kizalendo yenye Nia njema iliyotolewa na mwanazuoni Kijana mzalendo ambae taifa hili limetumia pesa nyingi kumsomesha Bashiru Ally Kuna magenge mbali mbali ya wahuni kama alivyo...
10 Reactions
41 Replies
2K Views
Sasa iko wazi, Dkt. Bashiru Ally Katibu Mkuu wa Zamani wa Chama na Serikali anaonekana kutoridhishwa na watawala waliopo madarakani ambao kwa maneno yake mwenyewe anasema ni wanyonyaji kwa...
11 Reactions
51 Replies
3K Views
"Sisi hapa Tanzania tumeamua kuizingatia misingi hiyo (haki) na nataka niwahakikishie kwamba tutajitahidi kuijenga Tanzania yenye Haki, Demokrasia , Usawa na Mafanikio. Na ndio maana katika...
1 Reactions
10 Replies
819 Views
Naomba kuuliza Yale MAJIZI ya BOT aliyotutangazia PM miezi kadhaa iliyopita na yale MAJIZI yaliyogawana sh. 150,000,000/= kwa mujibu wa CAG yatawajibishwa lini?
1 Reactions
4 Replies
552 Views
Hawa watu uongo upo kwenye damu na mifupa. Wakitema wanatema uongo wakimeza wanameza uongo.
2 Reactions
4 Replies
529 Views
Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa maagizo tisa katika ziara yake mkoani Manyara ikiwemo kusisitiza kwamba 1. Serikali itaendelea kukopa kwa lengo la kuchochea maendeleo ya haraka. na alisema kuwa...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Sina haja ya salamu, Wengi mnamtetea Bashiru kuwa kafanya jambo zuri kwa kauli yake hila, ukweli ni kwamba kuna kipindi mbolea ilipanda sana sokoni Mama akafanya jambo ikashuka bei wakati hili...
1 Reactions
8 Replies
793 Views
Kwa sasa sehemu zilipofikia siasa zetu zinahitaji very strong minded people. Hawa wanasiasa wanaopatikana kama second hand items hawawezi kukabiliana na mabadiliko ya nyakati tulizonazo sababu...
13 Reactions
62 Replies
3K Views
Kauli ya Dkt. Badhiru Ally imekomesha tabia ya watu kusifia sifia ovyo huku nchi ikiendelea kupitia matatizo makubwa sana ya mdororo mkubwa wa kiuchumi uliosababishwa na Corona, vita vya Ukraine...
7 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwani kuna nini huko? Hii ni 2022 haijafika hata 2024, kinacho nishangaza ni kila anaesimama anatulazimisha tumuunge mkono rais Samia. Nabaki najiuliza, kuna nini kwani? Kuna kitu hakiko sawa...
13 Reactions
23 Replies
1K Views
Hali isiyokuwa ya kawaida tarehe 17 Novemba, 2022 wakati wa mkutano wa wakulima Dr. Bashiru Ally aliongea maneno yenye chuki, kuvunja moyo na yenye uchochezi na kumgombanisha Rais na wakulima ili...
5 Reactions
100 Replies
6K Views
Najua umeamua kuunda jeshi lako, na kuwapiga chini wote uliyowakuta msituni wanapigana! Wamekaa siyo kwa kupenda na bahati mbaya, miaka inakimbia sana vipi hilo jeshi ulilolitupa likaamua kujiunda...
1 Reactions
1 Replies
352 Views
Jana TANESCO wametoa taarifa kuwa kuna upungufu wa Megawati 300 kutokana na ukame na matengenezo yanayoendelea Sasa nikawaza kama tunazalisha jumla ya Megawati 1600 basi kukitokea upungufu wa...
8 Reactions
35 Replies
2K Views
RAIS mstaafu wa Tanzania, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete , alipata KUSIMULIA: "Siku moja usiku, nilipokuwa mtoto, nakumbuka kumwona MAMA yangu akituletea chakuka mezani nikiwa na BABA. MAMA aliniwekea...
83 Reactions
241 Replies
29K Views
Hapa wapo Mjini Berlin Nchini Ujerumani wakifuatilia Game ya Ujerumani VS Japan , kwenye World cup . Msafara wao unaongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tundu Lissu . Endelea kubaki hapa...
17 Reactions
62 Replies
4K Views
Back
Top Bottom