Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Bandari ya Dar es salaam, Soko la Kariakoo Mpaka wa Tunduma ungeweza kutengeza almost robo tatu ya mapato ya Serikali kama tungekuwa na revenue strategist ndani ya Mawizara yetu tajwa hapo juu...
2 Reactions
4 Replies
624 Views
Watu wengi wana dhana potofu kuwa wafanyabiashara ni vilaza, wahuni, watu wasiojitambua, hawajui sheria wala kujieleza. Kinyume na dhana hii potofu wafanyabiashara mmeonesha weledi mkubwa...
8 Reactions
25 Replies
1K Views
Siyo kawaida kukuta TBC, ITV, Channel ten, Star tv, Azam, Eatv, Upendo tv zinarusha mubashara tukio Moja Ni Clouds tv pekee ndio hawakujishughulisha Hakika Wafanyabiashara ni Jeshi kubwa!
1 Reactions
7 Replies
1K Views
ESTHER MALLEKO AMECHANGIA HOTUBA YA BAJETI WIZARA YA ELIMU 2023-2024 Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Esther Edwin Malleko leo tarehe 16 Mei, 2023 Bungeni jijini Dodoma amechangia...
0 Reactions
2 Replies
705 Views
TAKUKURU ingieni kazini ili mjue sababu zilizosababisha taarifa kubwa ya Mkulima kuwashtaki wabadhirifu wa mali za umma waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ya mwaka 2021/2022 kutoripotiwa na vyombo...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Tuache siasa kwenye mambo yaliyotungiwa sheria na bunge na ambayo mtu binafsi kama waziri mkuu hawezi kuyatengua kwa maneno ya jukwaani bila barua au muongozo Matamko ya waziri mkuu kassim...
12 Reactions
22 Replies
4K Views
Nchi hii Ina Mabaraza ya biashara, kuanzia ngazi ya wilaya,mpaka taifa, kwa kuwa tumeamua kwamba kariakoo ndio Dubai yetu, namshauri Mh. Rais kwamba atoe hadhi maalum kwa kariakoo iwe na hadhi ya...
1 Reactions
7 Replies
778 Views
Ukweli utafichwa lakini mwisho wa siku utakua wazi, Kuna sehemu kubwa chadema imewakosea wananchi. Kinachoendelea Kigoma ni aibu kubwa, watu wamesusa kuhudhuria mkutano
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Nimefuatilia kikao kile, nimesikiliza hoja za wale wafanyabiashara, nikaona masikitiko yao. Lakini wakati wa kuagana na baada ya PM kuwa ameondoka jukwaa likavamiwa na wafanyabiashara waliojaa...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema hali ya mfumuko wa bei wa Tanzania ni nafuu ukilinganisha na nchi nyingine Duniani ambazo bei za bidhaa mbalimbali hupanda kila baada...
0 Reactions
27 Replies
1K Views
Cdm tunatumia uhuru wa kisiasa kufanya mikutano ya kisiasa nchini kote ili kujiimarisha kisiasa kwa kuongea na watanzania wa sehemu husika. Jana tulikuwa kigoma kwenye muendelezo huo huo,kigoma...
8 Reactions
21 Replies
1K Views
Habari Jf. Hivi Tangu Tanzania ipate Uhuru Kuna viongozi wangapi wamejiuzulu nafasi zao pale wanaposhindwa kukidhi mahitaji? Imekuwa kawaida sana kwa viongozi wengi katika nchi ya Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
Tulikua tukiishi katika nchi yenye umoja na kuvumiliana. Changamoto hazikuwahi kukosekana. Watu waliuliumizwa sana, lakini kamwe waumizaji hawakusimama hadharani kushangilia au kujisifu, bali...
37 Reactions
318 Replies
14K Views
  • Poll Poll
Kero kama maji, umeme, afya, elimu, ujinga na umasikini, lini tutaweza kuwa na umoja na ushikamano katika kujenga nchi, kutoa ubinafs kwa walio na nafasi, kujitegemea kupitia rasilimali zetu...
0 Reactions
0 Replies
398 Views
Uendeshaji wa Nchi unaweza kuwa mgumu.sana ikiwa Kila anaelalamika itabidi asikilizwe na abembelezwe kiasi ya kutatiza mambo mengine. Tukifika hapo nadhani Kutakuwa na hatari kubwa sana maana...
0 Reactions
6 Replies
499 Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini Mh. Godbless Lema amemtaka mwekezaji namba 1 Africa mashariki Rostam Aziz kusambaza Umeme wa Solar Nchi nzima. Kwa sasa Rostam Aziz anafunga Mitambo...
6 Reactions
37 Replies
3K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la Bunge la 12 Mkutano wa 11, Kikao cha 25 leo Mei 15, 2023. WAZIRI MASAUNI: SERIKALI HAIJAJIRIDHISHA URAIA PACHA NI MATAKWA YA WENGI Waziri wa Mambo ya Ndani...
1 Reactions
69 Replies
9K Views
CCM yafichua mpango wake wa kutawala mpaka 2100. Na MwanaPuge. Chama kinachotawala nchini Tanzania,CCM kimeweka wazi mpango na mkakati wake wa kuhakikisha inatawala mpaka mwaka 2100 na zaidi...
5 Reactions
66 Replies
7K Views
Uchambuzi wa Bajeti ya Elimu kwa mwaka wa fedha 2023/24 Utangulizi. Leo, tarehe 17 Mei 2022 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaenda kuhitimisha mjadala wa bajeti ya waziri ya Elimu kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mgomo wa kariakoooooooooo Wewe somaji itikia Hiviiiii! Mimi ndo LIdakitari lenye PHD Tanzania. Hivi mbunge unakuja jimboni unaomba kura tunakuchagua au unatumia vyombo vya Dora kushinda unaenda...
1 Reactions
0 Replies
298 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…