Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nasoro Duduma aliyepata Kura 448 amesema uchaguzi huo uligubikwa hila zilizofanywa na baadhi ya WanaCCM hali iliyosababisha wajumbe kubadilika ghafla na kumchagua Joseph Masunga kwa Kura 621...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Rais wetu kipenzi, Mheshimiwa John Pombe Magufuli, jana alifanya yale ambayo huwa anayapatia kweli kweli!! Kwa kutumia umahiri na ustadi wa hali ya juu! Bila shaka aki-apply mbinu za kijeshi...
36 Reactions
416 Replies
41K Views
Mkurugenzi wa Tanesco, Maharage Chande ameongelea mahitaji ya umeme miaka ijayo ambapo amesema mpaka 2035 angalau megawatt 80,000 zitahitajika akikadiria nchi itakuwa na watu milioni 70-80 kutoka...
1 Reactions
4 Replies
842 Views
Pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwaeleza Viongozi na wabunge wa CDU kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania , kikao hiki kimefanyika ndani ya ofisi za bunge la Ujerumani ...
13 Reactions
35 Replies
2K Views
Fungua video niliyoambatanisha hapo chini kaunzia dakika 4.17 utamuona Rais akitabiri kifo chake, cha Kikwete na hata Lowassa. Sasa kama Rais anatabiri vifo vya wenzake kwanini yeye anapotabiriwa...
5 Reactions
70 Replies
17K Views
Hapa tuna Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla na Zitto Kabwe lakini Chadema hawakipi ushirikiano Bunge la Katiba walisusa mjadala Nawapa tu angalizo Kuwa Katiba Mpya tunayoipigania ni ya Tanzania...
1 Reactions
5 Replies
517 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu wa Kumi wa Chama cha Taaluma ya Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) katika Ukumbi wa AICC...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa kuanzia sasa umri wa kugombea ndani ya Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) kwa chaguzi zijazo utakuwa mwisho ni miaka 35 badala ya 30. Kauli hiyo imetolewa leo...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano Mkuu wa Chama cha Mawakili leo tarehe 29 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete. Prof. Ibrahim...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Serikali ya Rais Samia Suluhu inaendelea kuondoa kero kwa wananchi na sasa mgao wa maji Dar es Salaam umefika mwisho na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitangaza kusitishwa kwa mgao wa maji. RC...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Kiukweli kabisa Namshukuru sana mh Rais Samia kwa ufuatiliaji wake wa karibu wa Tatizo la Maji DSM na hatimaye mgao umekwisha Akiwa Kigamboni alitoa maagizo kwa Waziri Aweso na RC Makalla...
0 Reactions
8 Replies
494 Views
Dr. Habari za siku Kwanza pole na maumivu unayoyapitia Kwa Sasa, pia hongera Kwa ujasiri hewa uliotuonyesha watanzania kupitia wakulima uliozungumza NAO. Binafsi maneno Yako ni ya haki, kweli na...
1 Reactions
6 Replies
617 Views
Wana JF Ukimwona kwa macho ya kurukaruka unaweza ukadhani Msukuma na Gwajima ni ndugu lakini hawana ubini kabisa japokuwa wote ni kabila moja la kanda ya ziwa. Katika harakati za kutafuta pesa...
1 Reactions
6 Replies
906 Views
Habari za Jumapili wapendwa Mwl. J.k. Nyerere aliwahi kusema upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM. Mimi ninasema, uadui wa kweli upo ndani ya CCM. Huwezi kupambana na adui usiyemjua, Hilo...
3 Reactions
4 Replies
541 Views
Wadau habari! Nawaza tu na kutafakari hoja ya Dr. Bashiru dhidi ya Mh. Rais Kumsifia Raisi kwa mazuri ayafanyayo si dhambi. Utamaduni huu haujaanza Leo labda tu kama anayesifiwa, Bashiru...
0 Reactions
3 Replies
361 Views
Tanesco wametutaarifu kuwa vyanzo vyote vya mabwawa yanayofua umeme yamepatwa na upungufu wa maji na hivyo uwezo wa kuzalisha umeme ni mdogo. Consequently jana tulikuwa hatuna umeme (total...
5 Reactions
56 Replies
5K Views
Huu ni mfululizo wa kudanganyana na wanaotudanganya wanatuona sisi ni washamba, nimemsikiliza kiongozi mmoja akiendelea kutetea mabehewa duni yaliyoletwa. Kiongozi huyo akifafanua huku...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Kwa idadi ile ya wabunge wa Chadema kama mzee Lowasa angetangazwa asingeweza kuunda serikali na ingemlazimu aishirikishe CCM Sasa ndio najiuliza ingekuwa serikali ya Chadema au CCM? Lowasa...
0 Reactions
2 Replies
332 Views
MIF: Mwanamke Initiative Foundation. Hii ni taasisi iliyozinduliwa hivi karibuni na mama Samia ikiwa chini ya binti yake mpendwa Wanu Ameir Hafidh yenye maskani yake kuu Zanzibar. Swali: Kwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi mnafanya hivi kumkomoa mwendazake au kunufaisha mabeberu? Mimi sikuwahi kumpenda mwendazake hadi leo na sitokuja kumpenda ila kwenye suala la madini, SGR na Bwawa la Nyerere nilimuunga mkono...
20 Reactions
79 Replies
6K Views
Back
Top Bottom