Nasoro Duduma aliyepata Kura 448 amesema uchaguzi huo uligubikwa hila zilizofanywa na baadhi ya WanaCCM hali iliyosababisha wajumbe kubadilika ghafla na kumchagua Joseph Masunga kwa Kura 621...
Rais wetu kipenzi, Mheshimiwa John Pombe Magufuli, jana alifanya yale ambayo huwa anayapatia kweli kweli!!
Kwa kutumia umahiri na ustadi wa hali ya juu! Bila shaka aki-apply mbinu za kijeshi...
Mkurugenzi wa Tanesco, Maharage Chande ameongelea mahitaji ya umeme miaka ijayo ambapo amesema mpaka 2035 angalau megawatt 80,000 zitahitajika akikadiria nchi itakuwa na watu milioni 70-80 kutoka...
Pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiwaeleza Viongozi na wabunge wa CDU kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania , kikao hiki kimefanyika ndani ya ofisi za bunge la Ujerumani ...
Fungua video niliyoambatanisha hapo chini kaunzia dakika 4.17 utamuona Rais akitabiri kifo chake, cha Kikwete na hata Lowassa.
Sasa kama Rais anatabiri vifo vya wenzake kwanini yeye anapotabiriwa...
Hapa tuna Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla na Zitto Kabwe lakini Chadema hawakipi ushirikiano
Bunge la Katiba walisusa mjadala
Nawapa tu angalizo Kuwa Katiba Mpya tunayoipigania ni ya Tanzania...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu wa Kumi wa Chama cha Taaluma ya Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) katika Ukumbi wa AICC...
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa kuanzia sasa umri wa kugombea ndani ya Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) kwa chaguzi zijazo utakuwa mwisho ni miaka 35 badala ya 30.
Kauli hiyo imetolewa leo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano Mkuu wa Chama cha Mawakili leo tarehe 29 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete.
Prof. Ibrahim...
Serikali ya Rais Samia Suluhu inaendelea kuondoa kero kwa wananchi na sasa mgao wa maji Dar es Salaam umefika mwisho na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitangaza kusitishwa kwa mgao wa maji.
RC...
Kiukweli kabisa Namshukuru sana mh Rais Samia kwa ufuatiliaji wake wa karibu wa Tatizo la Maji DSM na hatimaye mgao umekwisha
Akiwa Kigamboni alitoa maagizo kwa Waziri Aweso na RC Makalla...
Dr. Habari za siku
Kwanza pole na maumivu unayoyapitia Kwa Sasa, pia hongera Kwa ujasiri hewa uliotuonyesha watanzania kupitia wakulima uliozungumza NAO.
Binafsi maneno Yako ni ya haki, kweli na...
Wana JF
Ukimwona kwa macho ya kurukaruka unaweza ukadhani Msukuma na Gwajima ni ndugu lakini hawana ubini kabisa japokuwa wote ni kabila moja la kanda ya ziwa. Katika harakati za kutafuta pesa...
Habari za Jumapili wapendwa
Mwl. J.k. Nyerere aliwahi kusema upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM.
Mimi ninasema, uadui wa kweli upo ndani ya CCM. Huwezi kupambana na adui usiyemjua, Hilo...
Wadau habari!
Nawaza tu na kutafakari hoja ya Dr. Bashiru dhidi ya Mh. Rais
Kumsifia Raisi kwa mazuri ayafanyayo si dhambi. Utamaduni huu haujaanza Leo labda tu kama anayesifiwa, Bashiru...
Tanesco wametutaarifu kuwa vyanzo vyote vya mabwawa yanayofua umeme yamepatwa na upungufu wa maji na hivyo uwezo wa kuzalisha umeme ni mdogo. Consequently jana tulikuwa hatuna umeme (total...
Huu ni mfululizo wa kudanganyana na wanaotudanganya wanatuona sisi ni washamba, nimemsikiliza kiongozi mmoja akiendelea kutetea mabehewa duni yaliyoletwa.
Kiongozi huyo akifafanua huku...
Kwa idadi ile ya wabunge wa Chadema kama mzee Lowasa angetangazwa asingeweza kuunda serikali na ingemlazimu aishirikishe CCM
Sasa ndio najiuliza ingekuwa serikali ya Chadema au CCM?
Lowasa...
MIF: Mwanamke Initiative Foundation.
Hii ni taasisi iliyozinduliwa hivi karibuni na mama Samia ikiwa chini ya binti yake mpendwa Wanu Ameir Hafidh yenye maskani yake kuu Zanzibar.
Swali: Kwa...
Hivi mnafanya hivi kumkomoa mwendazake au kunufaisha mabeberu?
Mimi sikuwahi kumpenda mwendazake hadi leo na sitokuja kumpenda ila kwenye suala la madini, SGR na Bwawa la Nyerere nilimuunga mkono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.