Katika Serikali ya Rais Samia Suluhu mirsdi yote inayotekelezwa nchini inawanufaisha wananchi kwa asilimia kubwa maana ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika miradi mbalimbali nchini umeendelea...
Hichi ndo kitu pekee nitakachomkumbuka nacho Magufuli.
Ile miradi ya mandege mabovu yasiyo na faida[emoji777][emoji777][emoji777]
Ila huu mradi naunga mkono kabisa jamaa hapa alipatia kusema...
Japo ni kweli kuwa umeme unaotokana na maji huwa ni wa bei nafuu kulinganisha na umeme unaotokana na vyanzo vingine kama vile mafuta, gesi, nuclear, n.k , lakini je,si kweli kuwa mkataba wa...
Ndugu zangu utulivu,amani na mshikamano uliopo hapa nchini ni kutokana na serikali ya Rais Samia kuaminika na watanzania,kuungwa mkono na kupewa ushirikiano wa kutosha kunakotokana na kuendeshwa...
Habari!
Nilikua napita Republic of Twitter nikakutana na Reply ya Kigwangala akisema kua CCM wote ni utamaduni wao kusifia Rais haijalishi vipi.
Sa najiuliza kama watu walio wengi Bungeni kazi...
Kiukweli kikundi cha Sifa na kuabudu ndio hicho hicho hugeuka na Kuwa kikundi cha mashutumu na kejeli
Ndani ya CCM wasifiaji Wakuu tokea enzi za Lowasa ni wale wale hadi leo akina Sadifa...
Wananchi wa wilaya za Chato na Biharamulo wanatarajiwa kufanya maandamano ya kumpongeza Rais JPM.
Maandamano hayo yamebeba agenda mbili. Ya kwanza ni kumpongeza kwa kuwezesha kuchorwa upya kwa...
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika hapo chini.
Ndugu wanajf wenzangu mimi pamoja na wapenda amani wengine tumekuwa tukishangazwa na...
Kiukweli upinzani wa Tanzania bado umejengwa katika misingi ya udini na ukabila yaani hakuna mabadiliko yoyote baada ya takribani miaka zaidi ya 25 ya uwepo wao.
Sikuamini masikio yangu baada ya...
Siyo siri tena ndani ya CCM kuna kundi linaitwa “Matokeo Chanya”
Ambalo linaundwa na viongozi waandamizi wa awamu ya tano wa Serikali na chama, Kiongozi wao Mkuu ni Kitila Mkumbo, Katibu ni...
1
1
16-Feb-2001
16-Feb-2001
Mexico
San Cristobal
Meeting with President Fox.
2
2
20-Apr-2001
22-Apr-2001
Canada
Quebec
Attended the Summit of the Americas.
3
3
12-Jun-2001...
Utangulizi
Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo (Law School of Tanzania) imepandisha gharama za mafunzo ya uanasheria kwa vitendo kutoka Shilingi 1,570,000/ hadi Shilingi 2,950,000/= kwa...
Kama mchungaji atoavyo na kuongoza sala ya Toba mzee baba jmp amewaomba wezi watubu ndani ya siku 7 na kurudisha walichoiba.
Akisisitiza kuwa hapendi kuingilia mahakama ameomba ikiwezekana...
Nimeshangaa sana tena sana mbunge wa Geita Vijijini Dkt. Musukuma kumkana na kumnanga luningani hayati Shujaa Magufuli.
Dr. Musukuma amewahi kumfanyia Hivi Hivi Waziri mkuu aliyejiuzulu mzee...
Maswali kwa Makamba Tanesco na CCM mkiweza kuzipangua hizi hoja niiteni nimekaa pale
Anaandika mwanaJF mwenye akili nyingi voicer
Baada ya Mvua kunyesha, mnabadili visingizio?
Bado CCM mnazidi...
Kila nikiangalia idadi ya wabunge wa CCM waliopita bila kupingwa 2020, nahisi CHADEMA bado inachachafya ila tumeamua kujidanganya kwa muda.
Naamini kabisa yule BAWACHA aliyemgaragaza Ally Kessy...
Wakuu,
Leo kupitia hapa nitaendesha mjadala huru kabisa kati ya wapenzi, wakereketwa, na wanachama wa vyama viwili vikubwa vya siasa Tanzania CHADEMA na CCM.
Tutaangalia hatma ya nchi yetu kwa...
Dkt Mwigulu Nchemba ni mtu sahihi kwa wakati sahihi.
Nimesoma andiko la mwanajf mmoja humu, amemshutumu sana Dkt Mwigulu Nchemba bila hoja za msingi, kama kawaida ya wabongo bongolala. Hivi...
Ndugai alipotoa TAHADHARI kwa serikali ya wamu ya 6 kuwa nchi yetu itapigwa mnada endapo itaendelea kukopa fedha hovyo toka nje, CCM na jumuiya zake zote walimjia juu. Na hata siku anamwapisha...
Pamoja na mabilioni kutolewa, wewe kuzunguka nchi nzima kwa Helicopter na ahadi ya Rais kuwa May 2022 kazi hiyo itakamilika matokeo ni ZERO.
Watu wengi wanaishi mpaka sasa nyumba hazijulikani ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.