Walianza NEMC sasa ni zamu ya TRA kumgombanisha Rais na wananchi wake anaowapenda.
Ni ukweli usiopingika kuna Taasisi zinamuingiza Mhe. Rais katika mtego na wananchi kadiri siku zinavyokwenda...
Kama kichwa cha thread kinavyoonesha, sishabikii vita ila inaonekana nchi za Magharibi na Marekani ni tishio sana kila anaemsaidia Urusi hufanya hivyo kisiri siri!. West hujiona wapo sahihi kwa...
Kuna kelele nyingi za wanafiki kwako Mh. Membe. Lililo jema ni kwamba unaufahamu sana unafiki wao.
Manabii wa kweli wa Mungu, tangu historia, na tangu kale, wanafahamika kwa kusimama na kuusemea...
Jasusi wa zamani wa TISS, Mwanadiplomasia na waziri mstaafu Benard Membe yupo kimya Sana awamu hii.
Membe ni jasiri aliyemtikisa Magufuli na kukosoa utendaji wake tangu mwaka 2016 mwanzoni...
Katika hali ya kawaida, hakuna binadamu mwenye akili timamu ambaye hufurahia kifo cha binadamu mwenzake, labda binadamu huyo aliyekufa awe ni mtu ambaye uwepo wake unasababisha vifo vya wanadamu...
Nimemuona bwana Nape alivyotingwa na majonzi wakati mwili wa Godfather wake ukiingia nyumbani Mikocheni. Kiukweli ameshindwa kujizuia.
Kanuni ya dunia ni moja kama umeamua kuwa na moyo wa chuma...
GHARAMA KUBWA ZA AFYA NCHINI; TUNATAKA KILA MTANZANIA KUWA KWENYE HIFADHI YA JAMII
[Uchambuzi wa Bajeti ya Afya kwa mwaka wa fedha 2023/24]
Utangulizi.
Ijumaa Mei 12, 2023 Waziri wa Afya Ndugu...
MANENO ya Kiingereza yenye kubeba tafsiri ya ujasiri ni mengi. Hapa nitatumia mawili, “valorous" na “plucky”, kueleza wasifu wa Bernard Kamillius Membe. Mwanasiasa, mwanadiplomasia na kachero...
Rais mstaafu mzee Kikwete alikuwa nje ya Nchi na amewasili mchana huu na moja kwa moja ameelekea Karimjee kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Membe
Kikwete amekuta Viongozi wakuu wa Serikali...
Kwa hali inavyoendelea nchini ni dhahiri hakuna tena upinzani. Bali kuna uungwaji mkono juhudi unaofanywa na wapinzani kwa CCM ila kila mmoja kwa staili yake. ACT Wazalendo wanakula pamoja na...
Wakati dalali wa Mahakama kampuni ya Yono (vijana wa kazi) ikihesabu siku zilizobaki katika 14 (siku za kazi) alizolewa mtukanaji Cyprian Majura Musiba kumlipa fidia Kachero Bernard Membe jumla ya...
Mbunge wa Mtama mh Nape Nnauye anesema Membe alikuwa na mchango mkubwa sana kwenye Jimbo lao
Nape anesema Membe alikuwa akimuunganisha na Mabalozi mbalimbali akiwemo wa China ambapo ni rafiki...
Poleni watanzania mlioguswa na msiba huu mzito wa Bernard Kamilius Membe.
Ninaangalia live capture ya sherehe ya kumuaga Marehemu Membe hapo Karimjee. Naona kuna itifaki imeandaliwa kwa namna...
Inaumiza kijana wa kitanzani, na mwana wa masikini kutoka mbwinde, unapiga kitabu vizur sana unakomaa kinoma noma alafu unasikia kitu moja unalo lipita elimu eti linakuwa kurugenzi lako.
Kama...
Kinafahamika kipaumbele cha Serikali ya Tanzania kilipo. Hivyo ni Kodi, tozo na kulamba asali.
Kwamba yatokee magonjwa yenye kuuwa watu? Hapo tegemea neno changamoto tokea za kupumua hadi za...
Zitto akosoa wasifu wa Membe kuacha uanachama wake ACT-Wazalendo
Kauli yake inakuja baada ya Mwenyekiti wa ACT – Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad kumuidhinisha Tundu Lissu (Chadema)...
Kwa nini tunaendelea kupoteza muda kuwa au kufuatilia mfumo wa kidemokrasia na ushahidi unaonyesha wazi kuwa ni mfumo mbovu usiofaa kitu!!? Critics mmoja alisema kuwa tofauti kubwa ya mfumo wa...
Ndugu zangu watanzania,
Kwa hakika kifo ni fumbo na hakuna aijuaye kesho yake. Tukeshe tukiomba kwa Mwenyezi MUNGU kwa maana Ni Mungu pekee mwenye uwezo wa kutulinda na kutupigania. Ni Mungu...
Hata kama mlimchukia Magufuli, lakini haki yake kwa yale mazuri yake Mumpe!
Kama Bwawa kwa Mwaka 2021 lilikuwa limefikia 37% ya ujenzi wake (kwa mujibu wa takwimu zako binafsi).
Halafu unasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.