Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika Serikali ya Rais Samia Suluhu mirsdi yote inayotekelezwa nchini inawanufaisha wananchi kwa asilimia kubwa maana ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika miradi mbalimbali nchini umeendelea...
0 Reactions
1 Replies
398 Views
Hichi ndo kitu pekee nitakachomkumbuka nacho Magufuli. Ile miradi ya mandege mabovu yasiyo na faida[emoji777][emoji777][emoji777] Ila huu mradi naunga mkono kabisa jamaa hapa alipatia kusema...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Japo ni kweli kuwa umeme unaotokana na maji huwa ni wa bei nafuu kulinganisha na umeme unaotokana na vyanzo vingine kama vile mafuta, gesi, nuclear, n.k , lakini je,si kweli kuwa mkataba wa...
6 Reactions
52 Replies
6K Views
Ndugu zangu utulivu,amani na mshikamano uliopo hapa nchini ni kutokana na serikali ya Rais Samia kuaminika na watanzania,kuungwa mkono na kupewa ushirikiano wa kutosha kunakotokana na kuendeshwa...
1 Reactions
42 Replies
2K Views
Habari! Nilikua napita Republic of Twitter nikakutana na Reply ya Kigwangala akisema kua CCM wote ni utamaduni wao kusifia Rais haijalishi vipi. Sa najiuliza kama watu walio wengi Bungeni kazi...
0 Reactions
10 Replies
780 Views
Kiukweli kikundi cha Sifa na kuabudu ndio hicho hicho hugeuka na Kuwa kikundi cha mashutumu na kejeli Ndani ya CCM wasifiaji Wakuu tokea enzi za Lowasa ni wale wale hadi leo akina Sadifa...
1 Reactions
9 Replies
717 Views
Wananchi wa wilaya za Chato na Biharamulo wanatarajiwa kufanya maandamano ya kumpongeza Rais JPM. Maandamano hayo yamebeba agenda mbili. Ya kwanza ni kumpongeza kwa kuwezesha kuchorwa upya kwa...
10 Reactions
85 Replies
10K Views
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika hapo chini. Ndugu wanajf wenzangu mimi pamoja na wapenda amani wengine tumekuwa tukishangazwa na...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Kiukweli upinzani wa Tanzania bado umejengwa katika misingi ya udini na ukabila yaani hakuna mabadiliko yoyote baada ya takribani miaka zaidi ya 25 ya uwepo wao. Sikuamini masikio yangu baada ya...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Siyo siri tena ndani ya CCM kuna kundi linaitwa “Matokeo Chanya” Ambalo linaundwa na viongozi waandamizi wa awamu ya tano wa Serikali na chama, Kiongozi wao Mkuu ni Kitila Mkumbo, Katibu ni...
10 Reactions
48 Replies
5K Views
1 1 16-Feb-2001 16-Feb-2001 Mexico San Cristobal Meeting with President Fox. 2 2 20-Apr-2001 22-Apr-2001 Canada Quebec Attended the Summit of the Americas. 3 3 12-Jun-2001...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Utangulizi Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo (Law School of Tanzania) imepandisha gharama za mafunzo ya uanasheria kwa vitendo kutoka Shilingi 1,570,000/ hadi Shilingi 2,950,000/= kwa...
2 Reactions
1 Replies
613 Views
Kama mchungaji atoavyo na kuongoza sala ya Toba mzee baba jmp amewaomba wezi watubu ndani ya siku 7 na kurudisha walichoiba. Akisisitiza kuwa hapendi kuingilia mahakama ameomba ikiwezekana...
14 Reactions
410 Replies
56K Views
Nimeshangaa sana tena sana mbunge wa Geita Vijijini Dkt. Musukuma kumkana na kumnanga luningani hayati Shujaa Magufuli. Dr. Musukuma amewahi kumfanyia Hivi Hivi Waziri mkuu aliyejiuzulu mzee...
12 Reactions
60 Replies
4K Views
Maswali kwa Makamba Tanesco na CCM mkiweza kuzipangua hizi hoja niiteni nimekaa pale Anaandika mwanaJF mwenye akili nyingi voicer Baada ya Mvua kunyesha, mnabadili visingizio? Bado CCM mnazidi...
15 Reactions
43 Replies
4K Views
Kila nikiangalia idadi ya wabunge wa CCM waliopita bila kupingwa 2020, nahisi CHADEMA bado inachachafya ila tumeamua kujidanganya kwa muda. Naamini kabisa yule BAWACHA aliyemgaragaza Ally Kessy...
2 Reactions
2 Replies
431 Views
Wakuu, Leo kupitia hapa nitaendesha mjadala huru kabisa kati ya wapenzi, wakereketwa, na wanachama wa vyama viwili vikubwa vya siasa Tanzania CHADEMA na CCM. Tutaangalia hatma ya nchi yetu kwa...
3 Reactions
5 Replies
659 Views
Dkt Mwigulu Nchemba ni mtu sahihi kwa wakati sahihi. Nimesoma andiko la mwanajf mmoja humu, amemshutumu sana Dkt Mwigulu Nchemba bila hoja za msingi, kama kawaida ya wabongo bongolala. Hivi...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Ndugai alipotoa TAHADHARI kwa serikali ya wamu ya 6 kuwa nchi yetu itapigwa mnada endapo itaendelea kukopa fedha hovyo toka nje, CCM na jumuiya zake zote walimjia juu. Na hata siku anamwapisha...
6 Reactions
65 Replies
5K Views
Pamoja na mabilioni kutolewa, wewe kuzunguka nchi nzima kwa Helicopter na ahadi ya Rais kuwa May 2022 kazi hiyo itakamilika matokeo ni ZERO. Watu wengi wanaishi mpaka sasa nyumba hazijulikani ni...
9 Reactions
42 Replies
2K Views
Back
Top Bottom