Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Membe alikuwa na exposure na ndio iliyomfanya asiwe Mtu wa Kukasirika na wakati mwingine alipokasirika alionesha Tabasamu tu Mbowe anasema pamoja na...
3 Reactions
4 Replies
583 Views
Nasema kama unasikitika kufa Kwa Bernad Membe, Basi jua uzi huu unatukiwa kusema umeshutuka au umeskitika? Dhidi ya kifo.cha Membe?
0 Reactions
1 Replies
310 Views
MEMBE NA KATIBU KATA KIJIJI CHA RONDO VIDEO CLIP YAO YAVUJA Zaidi soma; https://www.jamiiforums.com/threads/bernard-membe-sauti-iliyodukuliwa-na-kusikika-ni-ya-kwangu.1611933/
13 Reactions
269 Replies
46K Views
Kuliwahi kuzungumzwa sana tena hasa hapa JF kwamba Rais mstaafu wa wamu ya nne Jakaya Kikwete na Bernard Camilius Membe ni Ndugu wa damu wengine wakidai Mama Salma Kikwete na Membe ni ndugu...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Hii ndio Taarifa Mpya kutoka kwenye familia yake , kama ilivyotolewa na Msemaji wa Familia hiyo Jaji Mustafa Ismail nyumbani kwake Mikocheni , Nje ya Jiji la Dar es salaam . Imeelezwa kwamba...
4 Reactions
41 Replies
5K Views
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru) nchini Tanzania, imetahadharisha wafanyabishara kutojihusisha na vitendo vya rushwa, kupitia dhana ya ufadhili wa gharama za uchaguzi...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Chama cha ACT Wazalendo kimeadhimisha miaka 9 ya kuzaliwa kwake wakati huu ambapo kimekumbwa na misiba mitatu mikubwa ya waliowahi kuwa viongozi na wagombea wa nafasi ya Urais wa Tanzania na...
0 Reactions
5 Replies
897 Views
Dar es salaam mpaka Morogoro ni umbali usiozid kilometa mia mbili lakini muda unaotumika kwa sasa hasa mabus ya Abiria ni masaa manne mpaka matano.Hii haina tija kwa uchumi wa nchi. Ni lazima...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwa kukubali viongozi wa dini kumvaa na kwa uhakika ni kwa ushawishi wa askofu shoo rais samia ameonyesha udhaifu mkubwa. Gharama kiasi gani zimepotea kuendesha kesi dhidi ya Mbowe? Kwanini...
14 Reactions
123 Replies
11K Views
Wako wapi waliofurahia kifo cha Samora Machel akina Peter W Botha? Walikufa kwa fedheha. Waliomuua Patrice Lumumba na wakafurahi akina Mobutu Sese Seko Waliomuua Thomas Sankara na kufurahia...
0 Reactions
0 Replies
491 Views
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amezungumza kuhusu mawasiliano yake ya simu kudukuliwa, huku akikiri sauti iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii...
27 Reactions
307 Replies
50K Views
Mbunge wa Mtama Nape Nnauye amesema mh Membe alimuomba agombee Ubunge jimbo la Mtama mwaka 2010 lakini yeye alimkatalia na kumwambia anaenda kugombea Jimbo la Ubungo Baada ya uchaguzi mzee Membe...
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Bernard Kamilius Membe, (born 9 November 1953- Died 12 May 2023) was a Tanzanian politician. He served as a Minister of Foreign Affairs of Tanzania from 2007 to 2015.He also served as a Member of...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari za weekend wanajukwaa Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema...
42 Reactions
162 Replies
7K Views
Rais Samia kuwa makini na utoto wa Mongela na Chongolo Arusha Mjini Wanabodi leo acha niwape habari Arusha namna ambavyo Chongolo na Mongela wanavyoteseka kama nilivyotumiwana anaejiita mtumishi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Akihutubia umati mkubwa wa wananchi kwenye Kata ya Igawilo, Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Mwekezaji, Mfanyabiashara wa Kimataifa na Mfungwa wa kisiasa, baada ya kufungwa jela kisiasa kwa...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Akielezea hali ya mazingira yalivyo katika Juma Idris Chombo ambaye ni Makamu Mwenyekiti Soko la Mabibo Dar es Salaam anaelezea: Makusanyo ya Tozo tunayokusanya hapa ni shilingi miamia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za muda mabibi na mabwana! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni...
34 Reactions
4K Replies
358K Views
Nimesoma mahojiano ya Mheshimiwa Membe na Gazeti la Jamhuri akilalama kwamba Marehemu Magufuli alimuwekea roho ya Korosho ili asiwe Katibu Mkuu wa Jumuia ya Madola.Kasema mengi ikiwemo jinsi hiyo...
8 Reactions
41 Replies
4K Views
Back
Top Bottom