Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika magazeti ya leo story kubwa ni wabunge kumuunga mkono Lowassa eti watu kama Komba, Chatanda, Ntukamazina wote wamefunguka. Binafsi mradi huu niliutarajia sema ulichelewa, kinachooudhi ni...
8 Reactions
152 Replies
26K Views
Kuendelea kuanguka na hatimaye kupotea kwa CCM katika ramani za Siasa jijini Arusha ni jambo tulilotarajia mara tu baada ya kuhamishwa kutoka Tanga kuja Arusha, kwa lengo la kuja kuwa sehemu ya...
2 Reactions
38 Replies
4K Views
1. Ruhusu mikutano ya Siasa iendelee maana iko Kikatiba na kisheria. 2. Heshimu Haki za binadamu ambazo zimeainishwa kwenye Katiba. Kuna uvunjifu wa haki za binadamu mdogo mdogo 3. Waondoe akina...
20 Reactions
54 Replies
3K Views
Habari za usiku wanajukwaa. Ni muda mrefu sijachangia chochpte humu wala kuweka bandiko lolote humu zaidi tu ya kusoma mawazo yenu. Naomba nieleweke kwamba mimi ni mfuasi mtiifu wa chadema na...
28 Reactions
98 Replies
7K Views
Siasa za Iringa zimebadilika sana na kwa hakika nawapongeza Wanasiasa wetu wote ambao kimsingi ni kama wameshastaafu. Mchungaji Msigwa kwa sasa amejikita kwenye huduma ya kumtumikia Mungu wa...
7 Reactions
19 Replies
1K Views
Ndugu zangu katika Ajali ya Ndege Iliyotokea Juzi imeonyesha Kwanini CCM imeendelea kuaminiwa na watanzania katika kila uchaguzi mpaka leo hii, CCM imeonyesha sababu za wananchi Kuendelea kuwa...
-1 Reactions
103 Replies
6K Views
Mshtuko umewakuta wakulima baada ya Kuletewa bei ya Tsh 1680 kabla ya makato ambapo baada ya makato huenda mkulima ikamfikia 1380, Zoezi hilo la mauzo ya Korosho liliendeshwa wilayani Tandahimba...
15 Reactions
132 Replies
10K Views
Kwa sasa sioni kitu kipya kutoka kwake, anaishi Ulaya hataki kurudi nyumbani, anasubiri tu uchaguzi ukifika ndiyo aje kutafuta hela na kuhamasisha vijana kufanya vurugu. Wengine wanapata vilema na...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
  • Closed
Nashangaa sana kuona watu wanalalamika udini kisa tu viongozi wengi wa ccm ni wa dini ya kiislam, Kwenye fomu za uongozi CCM, hakuna kuulizwa dini!, unaulizwa sifa na vigezo, hakuna kigezo cha...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari ya 2021 Kabla ya kuingia madarakani Rais Magufuli mwaka 2015 kulikuwa na mambo kadhaa yalikuwa yanaendelea nchini mwetu na baada tu ya Magufuli kuanza kazi ya urais yakakoma na kufutika...
22 Reactions
112 Replies
12K Views
Kwa wale wabobezi wa jinsi Serikali ya JMT inavyofanya kazi mnaweza kutusaidia kutuelezea job descriptions za Rais na Mawaziri wake. Na ikiwapendeza mnaweza kuongezea na zile za Wakuu wa Mikoa...
0 Reactions
4 Replies
855 Views
Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU? Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa...
37 Reactions
159 Replies
14K Views
Ndugu zangu hiyo ndio kauli ya wakulima. Ndio kauli ya pamoja, Ndio msimamo wa wakulima, Ndio uamuzi wa wakulima, Ndio Hitimisho la wakulima. Wakulima wanasema na kuapa kuwa watamuunga mkono Rais...
2 Reactions
87 Replies
3K Views
Rais Samia akiwa njiani kuelekea Dodoma alisimama katika Halmashauri ya Wilaya Chemba kusalimiana na wananchi na kusema "Ahadi yetu kwenu tutarudisha kuwatumikia wananchi na kuondoa changamoto...
0 Reactions
0 Replies
494 Views
Waziri wa TAMISEMI, Angellah Kairuki, ameagiza TAKUKURU kuchunguza matumizi ya shilingi milioni 470, zilizotolewa na serikali kujenga shule mpya ya Sekondari Mwanduitinje, iliyopo jimbo la kisesa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Rais Samia Suluhu anaendelea kututoa hofu watanzania katika suala zima la njaa alisema kuwa watanzania hatuna sababu yoyote ya kulia njaa. "Nataka niwahimize tulime kwa sababu miaka ijayo Dunia...
1 Reactions
16 Replies
792 Views
Wakuu niko Arusha, mara nyingi huwa naona kwenye TV tu ila awamu hii nimeshuhudia kwa kwa uhalisia kabisa bila chenga. Nimehesabu magari nikachoka nikaacha ila nikabaki kujiuliza maswali tu. 1...
44 Reactions
122 Replies
8K Views
Ndugu zangu Ni viongozi wachache Sana wenye moyo Kama alionao Rais mama Samia, Wenye uwezo wa kuvumilia kukosolewa na kila mtu na yeyote, mwenye uwezo wa kumsikiliza kila mtu bila kujari itikadi...
6 Reactions
113 Replies
4K Views
Wajumbe mia tano kutoka kanda, majimbo na mabaraza kuhudhuria mkutano mkuu pia wageni waalikwa kutoka nje walio vyama rafiki wa CHADEMA kuhudhuria kikao hicho. CHADEMA kulenga chaguzi za 2024...
4 Reactions
12 Replies
917 Views
Kama mnavyofahamu yapata miaka miwili sasa tangu apewe kiti cha uraisi kutokana na katiba yetu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania alichokiridhi kutokwa kwa mwamba wa afrika na dunia kwa ujumla...
17 Reactions
93 Replies
7K Views
Back
Top Bottom