TAKUKURU chunguzeni sababu za Mkulima aliyewashtaki Mawaziri kutotangazwa na vyombo vya habari

Shakari

Senior Member
Jul 6, 2022
157
440
TAKUKURU ingieni kazini ili mjue sababu zilizosababisha taarifa kubwa ya Mkulima kuwashtaki wabadhirifu wa mali za umma waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ya mwaka 2021/2022 kutoripotiwa na vyombo vingi vya habari.

Majuzi Mkulima huyo alifungua rasmi shauri hilo na kutangazwa na Kituo cha TV cha ITV peke yake kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku lakini TV zingine zote zikaacha kutangaza habari hiyo kubwa yenye maslahi mapana ya Taifa.

Kwa upande wa magazeti ni gazeti la Nipashe na Habari Leo tu ndio yameripoti tukio hilo nini kiliwafanya magazeti mengine yasitangaze taarifa hiyo kubwa?

Sote tunatambua ni jukumu la kikatiba na kisheria kwa vyombo vya habari kuripoti taarifa zote zenye public intrest kama hizi za mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi.

Mwisho TAKUKURU chunguzeni sababu za JAMBO TV kukata majina ya washtakiwa waliotajwa kwenye kesi hiyo.
 
TAKUKURU ingieni kazini ili mjue sababu zilizosababisha taarifa kubwa ya Mkulima kuwashtaki wabadhirifu wa mali za umma waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ya mwaka 2021/2022 kutoripotiwa na vyombo vingi vya habari.

Majuzi Mkulima huyo alifungua rasmi shauri hilo na kutangazwa na Kituo cha TV cha ITV peke yake kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku lakini TV zingine zote zikaacha kutangaza habari hiyo kubwa yenye maslahi mapana ya Taifa.

Kwa upande wa magazeti ni gazeti la Nipashe na Habari Leo tu ndio yameripoti tukio hilo nini kiliwafanya magazeti mengine yasitangaze taarifa hiyo kubwa?

Sote tunatambua ni jukumu la kikatiba na kisheria kwa vyombo vya habari kuripoti taarifa zote zenye public intrest kama hizi za mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi.

Mwisho TAKUKURU chunguzeni sababu za JAMBO TV kukata majina ya washtakiwa waliotajwa kwenye kesi hiyo.
Kwa kawaida ripoti ya CAG huwa siyo ya mwisho. Usahihi wa taarifa hiyo hupatikana baada ya kufanyiwa uchunguzi na kupata maelezo kutoka kwa watuhumiwa.
Jambo ambalo serikali yenye nia njema ingefanya ni kwa watuhumiwa kukaa pembeni ili kupisha hatua za uchunguzi kufanywa na vyombo husika - polisi, takukuru au kamati za bunge.
I stand to be corrected.
 
Kwa kawaida ripoti ya CAG huwa siyo ya mwisho. Usahihi wa taarifa hiyo hupatikana baada ya kufanyiwa uchunguzi na kupata maelezo kutoka kwa watuhumiwa.
Jambo ambalo serikali yenye nia njema ingefanya ni kwa watuhumiwa kukaa pembeni ili kupisha hatua za uchunguzi kufanywa na vyombo husika - polisi, takukuru au kamati za bunge.
I stand to be corrected.
Uchunguzi gani huo?

Je, una maana ya mtu au mamlaka nyingine imchunguze CAG kujua ni mkweli au la?

Kama una maana ya polisi au TAKUKURU kuchunguza jinai (wizi ama ufisadi au matumizi mabaya ya ofisi/mamlaka) then hiyo ni sawasawa..

Na ni kweli maofisa au ofisi ama taasisi za umma zilizokutwa na wizi/ubadhirifu au matumizi mabaya ya fedha za umma wanapaswa kukaa pembeni kwanza mpaka uchunguzi ukamilike..
 
Uchunguzi gani huo?

Je, una maana ya mtu au mamlaka nyingine imchunguze CAG kujua ni mkweli au la?

Kama una maana ya polisi au TAKUKURU kuchunguza jinai (wizi ama ufisadi au matumizi mabaya ya ofisi/mamlaka) then hiyo ni sawasawa..

Na ni kweli maofisa au ofisi ama taasisi za umma zilizokutwa na wizi/ubadhirifu au matumizi mabaya ya fedha za umma wanapaswa kukaa pembeni kwanza mpaka uchunguzi ukamilike..
kwanini hajaripotiwa?
 
TAKUKURU ingieni kazini ili mjue sababu zilizosababisha taarifa kubwa ya Mkulima kuwashtaki wabadhirifu wa mali za umma waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ya mwaka 2021/2022 kutoripotiwa na vyombo vingi vya habari.

Majuzi Mkulima huyo alifungua rasmi shauri hilo na kutangazwa na Kituo cha TV cha ITV peke yake kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku lakini TV zingine zote zikaacha kutangaza habari hiyo kubwa yenye maslahi mapana ya Taifa.

Kwa upande wa magazeti ni gazeti la Nipashe na Habari Leo tu ndio yameripoti tukio hilo nini kiliwafanya magazeti mengine yasitangaze taarifa hiyo kubwa?

Sote tunatambua ni jukumu la kikatiba na kisheria kwa vyombo vya habari kuripoti taarifa zote zenye public intrest kama hizi za mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi.

Mwisho TAKUKURU chunguzeni sababu za JAMBO TV kukata majina ya washtakiwa waliotajwa kwenye kesi hiyo.
hii tasisi ya habari imejaa rushwa.wengi wako kwa ajili ya matumbo yao tu.siku hizi kukuta waandishi wa aina ya stan katabalo ni wachache sana na naweza sema hakuna tu.wapo wale wa kupewa pesa kuchafua wengine kwa vijarida na vijitabu vyao huku wakiacha mambo muhimu ambayo ni kero kubwa kwa wananchi.vyombo vya habari vya nchi hii vinashindwa hata kufanya coverage ya mikutano ya vyama vya upinzani.mimi siku hizi hata interest ya kuvisikiliza au kuvitazama sina.ni bora niangalie aljazeera,cnn,citizen,ntv,skynews.k24 nk kuliko hvi vya bongo.
 
Back
Top Bottom