Nimefuatilia kikao kile, nimesikiliza hoja za wale wafanyabiashara, nikaona masikitiko yao. Lakini wakati wa kuagana na baada ya PM kuwa ameondoka jukwaa likavamiwa na wafanyabiashara waliojaa bashasha na nderemo wakimpongeza Waziri wa fedha. Leo naona ile clip yenye nderemo iko pinned kwenye official accounts za MoF. Sasa ninajiuliza mabadiliko ya haraka ya vilio mbele ya Waziri Mkuu hadi furaha za bashasha ile jioni. Wale vijana ni wa wapi?