seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Tuache siasa kwenye mambo yaliyotungiwa sheria na bunge na ambayo mtu binafsi kama waziri mkuu hawezi kuyatengua kwa maneno ya jukwaani bila barua au muongozo
Matamko ya waziri mkuu kassim Majaliwa kariakoo kuwa TRA wafanye kazi kwa kauli zao za majukwaani bila barua au marekebisho ya sheria bungeni ni kuwahadaa wafanyabiashara
Kuna tuhuma kuwa watoto wa viongozi kariakoo wanauza matairi na hawalipi kodi kwa kigezo cha matamko ya Baba na Mama zao viongozi wakuu wa kitaifa mtaa wa livingstone street
Vijana wa TRA wanatishwa na watoto hawa wa vigogo kwa matamko ya simu na memo
Kwanini Kassim Majaliwa anaogopa kuwapa barua TRA ya kupindisha sheria za kodi bali analazimisha watekeleze matamko ya maneno yake mdomoni
Waziri mkuu majaliwa ameshangaza uma wa watanzania kuitaka mamlaka ya mapato Tanzania kufanya kazi kwa matamko ya wanasiasa na sio kwa kufuata sheria na utaratibu za fedha
Kassim Majaliwa analazimisha TRA wafanye kazi kwa maneno yao ya majukwaani na sio kwa maandishi au taratibu za fedha zilizotungwa na bunge
TRA ni taasisi ya uma sio mali ya wanasiasa,Ipo kisheria na inafanya kazi kwa kufuata sheria za kodi zilizotungwa na bunge
Kassim Majaliwa aache kuwadanganya wafanyabiashara awaambie ukweli kuwa hizo kodi zimetungwa na bunge lao na yeye hana uwezo wa kurekebisha sheria za kodi kwa matamko ya jukwaani
Kassim Majaliwa anapaswa kutambua walioanzisha TRA walianzisha kwa kufuata sheria na akitaka kurekebisha afuate sheria au yeye anataka kuturudisha kwenye kodi ya kichwa ya kufukuzana mitaani
Matamko ya waziri mkuu kassim Majaliwa kariakoo kuwa TRA wafanye kazi kwa kauli zao za majukwaani bila barua au marekebisho ya sheria bungeni ni kuwahadaa wafanyabiashara
Kuna tuhuma kuwa watoto wa viongozi kariakoo wanauza matairi na hawalipi kodi kwa kigezo cha matamko ya Baba na Mama zao viongozi wakuu wa kitaifa mtaa wa livingstone street
Vijana wa TRA wanatishwa na watoto hawa wa vigogo kwa matamko ya simu na memo
Kwanini Kassim Majaliwa anaogopa kuwapa barua TRA ya kupindisha sheria za kodi bali analazimisha watekeleze matamko ya maneno yake mdomoni
Waziri mkuu majaliwa ameshangaza uma wa watanzania kuitaka mamlaka ya mapato Tanzania kufanya kazi kwa matamko ya wanasiasa na sio kwa kufuata sheria na utaratibu za fedha
Kassim Majaliwa analazimisha TRA wafanye kazi kwa maneno yao ya majukwaani na sio kwa maandishi au taratibu za fedha zilizotungwa na bunge
TRA ni taasisi ya uma sio mali ya wanasiasa,Ipo kisheria na inafanya kazi kwa kufuata sheria za kodi zilizotungwa na bunge
Kassim Majaliwa aache kuwadanganya wafanyabiashara awaambie ukweli kuwa hizo kodi zimetungwa na bunge lao na yeye hana uwezo wa kurekebisha sheria za kodi kwa matamko ya jukwaani
Kassim Majaliwa anapaswa kutambua walioanzisha TRA walianzisha kwa kufuata sheria na akitaka kurekebisha afuate sheria au yeye anataka kuturudisha kwenye kodi ya kichwa ya kufukuzana mitaani