Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Siwachoshi! Mliorogwa na jina JPM muendelee kuamini kuwa hasara zote za nchi hii chanzo chake ni yeye hata kama miaka miwili yuko kaburini! Swali ni je, ndege yetu iliyokamatwa huko imefanya...
2 Reactions
7 Replies
712 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Manyara katika Mkutano wa Hadhara katika Uwanja wa Kwaraa leo tarehe 23 Novemba, 2022 SEHEMU YA...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani katika viwanja vya llulu Mkoani Lindi leo Disemba 1, 2022 Hotuba ya Rais Samia...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hapa chini ni nchi 10 bora Afrika kwa uzalishaji wa nyanya. Sisi pomoja na kuwa na ardhi ya kutosha na vyanzo lukuki vya maji ni wa pili kutoka mwisho. 1- Egypt [emoji1093] 7,943 tons 2-...
13 Reactions
54 Replies
2K Views
Tunapeana tu taarifa ili isionekane ni viongozi wa Serikali tu ndiyo wanaosafiri sana. Freeman Mbowe yuko Marekani na tarehe 10 Dec atafanya mkutano mkubwa pale Washington DC. Kadhalika Katibu...
0 Reactions
29 Replies
1K Views
Binafsi sijasikia Tangazo wala kushuhudia Chadema ikifanya mkutano wa hadhara mahali popote Ninachokumbuka Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo ndio amefanya mkutano wa hadhara huko Tunduru mikoani...
1 Reactions
6 Replies
621 Views
Ndugu zangu Rais Samia Ameendelea Kudhihirisha kwanini anapendwaa na kukubalika na watanzania,Amethibitisha sababu za mamilioni ya watanzania Kuendelea kumwamini na kumuunga mkono katika juhudi...
1 Reactions
45 Replies
2K Views
Sasa ni dhahiri kwamba maisha ya Watanzania yamekuwa magumu kuliko awamu zote zilizopita , familia nyingi sasa zinakula mlo mmoja tu, huku Maharage yakiwa Chakula Muhimu kabisa. Ni kweli kwamba...
10 Reactions
64 Replies
4K Views
Msiniulize kwa nini, ila kifupi, vita ya kiuchumi ni ngumu sana kuipigana, sabotage ni nyingi, tuombe hii vita tuishinde au tuombe ipite salama, maana huko nje hali yetu kimataifa siyo nzuri...
26 Reactions
109 Replies
11K Views
Waziri wa Ujenzi una wizara kubwa mno, sina hakika kama unaimudu. Enzi hizo wizara hiyo ndiyo ilimtoa Hayati Magufuli mpaka kufikia kujulikana utendajikazi wake kwa Watanzania. Wizara yako...
2 Reactions
4 Replies
628 Views
Ndugu zangu Ikumbukwe kuwa CCM ndio iliyounda serikali na siyo serikali iliyo unda CCM, CCM ndio iliyotangulia ndio ikafuata serikali, CCM ndio iliyoomba kura kwa wananchi na ndio iliyosimama...
0 Reactions
33 Replies
1K Views
Mjukuu wa Baba wa taifa la Zanzibar mh Fatma Karume amesema ubaguzi wa kisiasa waliasisi CCM Kule Zanzibar na alipowaambia walimwita Msaliti Karume amewataka CCM waruhusu mikutano ya Siasa na...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Kwa kilio kile lazima alizidiwa kutoa rushwa na wenzake kwa wajumbe. Ila chama hicho jamani, da! Ajabu yanarekodiana bila hata haya ! Siku si nyingi hawa watakuja kuuana kwa mambo ya...
13 Reactions
39 Replies
3K Views
Heshima sana, Tanzania ya Mwl. ilikuwa juu sana katika siasa za kimataifa. Tanzania ilikuwa kinara katika siasa za ukombozi Kusini mwa Afrika. Mwl. alikuwa Mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa...
2 Reactions
9 Replies
689 Views
25 November 2022 January Makamba - Kitalu cha gesi Ruvuma Mtwara, serikali kuvuna 75% ya mapato ghafi Video courtesy of Millard ayo Hayo yamebainisha na waziri wa nishati Mh. January Makamba...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Kwa nini watawala wasio na nia njema na CCM hawataki mradi wa JNHP ukamilike na kutatua kero ya umeme hapa nchini? Kisingizio kinakuwa hali ya hewa. Tangu mlete miradi ya na majenereta ya mafuta...
2 Reactions
6 Replies
810 Views
Gazeti la Raia Mwemba, leo Novemba 28, 2022 limetawaliwa na habari kubwa kuhusu mwanasiasa Mrisho Gambo kudaiw akupora Tsh. Milioni 400 za madereva bodaboda. ====== Hali si shwari ndani ya...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax akizungumza wakati wa Uzinduzi wa mfumo wa taarifa kwa wawekezeji, mfumo umezinduliwa Novemba 30, 2022 jijini Dar es...
0 Reactions
0 Replies
619 Views
Tatizo la Law School si dogo ambalo ati kila Tom, Dick au Harry anaweza kuwa na ufumbuzi au ushauri. Kwa sampuli hii: 1. Profesa Cyriacus Binamungu (Mzumbe): anasema kuna shida kwa walimu katika...
13 Reactions
107 Replies
10K Views
Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa 66% kutoka TZS 300K mpaka 100K || Tanzania kununua mashine 7,000 kwaajili ya dialysis === Dialysis ni kitendo cha kuondoa Sumu,Uchafu na ziada...
27 Reactions
308 Replies
27K Views
Back
Top Bottom