Picha; Kinachoendelea Kigoma ni Aibu Kwa Chadema

Picha; Kinachoendelea Kigoma ni Aibu Kwa Chadema

Countrywide

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
21,484
Reaction score
34,223
Ukweli utafichwa lakini mwisho wa siku utakua wazi, Kuna sehemu kubwa chadema imewakosea wananchi. Kinachoendelea Kigoma ni aibu kubwa, watu wamesusa kuhudhuria mkutano
20230517_162642.jpg
20230517_162638.jpg
 
🤣🤣🤣msemaji wao kasema Kuna nyomi la kufa mtu hadi wanakigoma wanaparamia miti kama nyani🤣🤣
 
Nyie watu wa ACT hamuoni aibu kupingana na wapinzani wenzenu?
 
Back
Top Bottom