Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,257
Cdm tunatumia uhuru wa kisiasa kufanya mikutano ya kisiasa nchini kote ili kujiimarisha kisiasa kwa kuongea na watanzania wa sehemu husika.
Jana tulikuwa kigoma kwenye muendelezo huo huo,kigoma nyumbani kwa kiongozi mkuu wa chama cha ACT WAZALENDO.
Kuwa na vyama vingi vya siasa siyo dhambi ndugu yetu Zitto tuvumiliane kaka maana wana Kigoma wana uhuru wa kuchagua wakipendacho.
Zito kumbuka hata wewe unazunguka nchi mzima kunadi Sera za chama chako.
Jana tulikuwa kigoma kwenye muendelezo huo huo,kigoma nyumbani kwa kiongozi mkuu wa chama cha ACT WAZALENDO.
Kuwa na vyama vingi vya siasa siyo dhambi ndugu yetu Zitto tuvumiliane kaka maana wana Kigoma wana uhuru wa kuchagua wakipendacho.
Zito kumbuka hata wewe unazunguka nchi mzima kunadi Sera za chama chako.
Hongera sana wana cdm mkoani kigoma kwa kendelea kuiamini cdm.