johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,020
Mbunge wa Mtama mh Nape Nnauye anesema Membe alikuwa na mchango mkubwa sana kwenye Jimbo lao
Nape anesema Membe alikuwa akimuunganisha na Mabalozi mbalimbali akiwemo wa China ambapo ni rafiki zake Ili kupata Misaada kwa ajili ya Jimbo
Pia Membe alikuwa na uwezo wa kuwaunganisha Wanasiasa wa itikadi tofauti na kuwa kitu Kimoja ndio sababu 2020 mh Nape aliungwa mkono na vyama vyote na kupita bila kupingwa
Source: TBC
Nape anesema Membe alikuwa akimuunganisha na Mabalozi mbalimbali akiwemo wa China ambapo ni rafiki zake Ili kupata Misaada kwa ajili ya Jimbo
Pia Membe alikuwa na uwezo wa kuwaunganisha Wanasiasa wa itikadi tofauti na kuwa kitu Kimoja ndio sababu 2020 mh Nape aliungwa mkono na vyama vyote na kupita bila kupingwa
Source: TBC