Mwigulu unaona TRA wakicheza na uchumi wetu?

Billal Saadat

Senior Member
Nov 30, 2022
169
356
Walianza NEMC sasa ni zamu ya TRA kumgombanisha Rais na wananchi wake anaowapenda.

Ni ukweli usiopingika kuna Taasisi zinamuingiza Mhe. Rais katika mtego na wananchi kadiri siku zinavyokwenda, waliaanza NEMC na sasa ni zamu ya Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA).

Wizara ya fedha na biashara waswahili wanasema mkilikoroga mtalinywa.

Kwa muda mrefu mamlaka ya mapato nchini TRA imekuwa ikilalamikiwa kutokana na kutokuwa na sera rafiki za kibiashara na ukusanyaji wa mapato nchini hali inayopelekea mianya ya rushwa na ukwepaji kodi kwa kiasi kikubwa suala hili Rais Samia amekuwa akichukizwa nalo na kulikemea wakati wote.

Hali si shwari kwa upande wa kitovu chetu cha Biashara kuna tetesi za mgomo wa wafanyabiashara eneo la kariakoo kuanzia siku ya Jumatatu tarehe 15-05-2023.

Sababu za kuitisha mgomo
1. Urasimu bandarini
2. Usajili wa stoo
3. Kamata kamata hovyo ya wateja kwa ukuaguzi wa risiti

Kariakoo ni soko kubwa sana hapa Afrika mashariki na kati, hili suala likuchukuliwa kwa mzaha wowote ule lina athari kubwa kwa uchumi wa nchi yetu.

Katika robo ya kwanza ya mwaka 2023 (Januari - Machi 2023 kasi ya ukuaji wa Pato la Taifa ili ongezeka hadi kufikia 5..6% Kiuchumi, hii inamaanisha kuwa ukuaji wa shughuli za kiuchumi katika kipindi cha miezi 6 uchumi umekuwa kwa kasi.

Hii ilitoka kauli ya Mhe Rais kuhusu TRA kuacha kukusanya kodi kwa mabavu kuliko changia shughuli za uchumi zinazohusu wananchi masikini kupanda na ilionesha kuwa Wananchi wetu wanazidi kutoka kwenye ufukara kwa kasi tangu awamu ya sita ianze utekelezaji na uboreshaji wa sera zake. Je tunataka kurudisha mafukara wengi zaidi kwa kutengeneza urasimu katika mamlaka yetu ya mapato..?

kwa kipindi cha miaka miwili Pato la Taifa lilifikia Sh. trilioni 200 kwa mwaka 2023 kutoka Sh. trilioni 163 ya mwaka 2021 Hizi zote ni juhudi za Rais Samia katika kusimamia Sekta ya Biashara.

Uchumi wa Tanzania umekuwa mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya na ni wa 6 kwa ukubwa kwa nchi zote za Kusini mwa Jangwa la Sahara. Kazi ya kujenga ni ngumu lakini Kibini tunaweza hichi tunachokifanya kupitia TRA na NEMC tutarudi tulipotoka.

Ukuaji huu wa pato la Taifa umetokana na Rais Samia kutekeleza sera rafiki kwa sekta binafsi, ambayo imeongeza kasi ya uwekezaji, biashara na ukuaji wa uchumi nchini. Kama Rais anatekeleza sera rafiki Kwanini mamlaka yetu ya mapato zinakuwa sehemu ya kuharibu mambo haya mazuri.

kama leo TRA ikianza kuwaharass wafanyabiashara wa ndani tunatafuta kuporomoka kwa sekta ya Biashara itaathiri watu wengi, pamoja na wateja kutoka nchini Jirani wata-opt kuhamia masoko rafiki zaidi tujifunze namna ya kukusanya mapato bila taharuki ya kusumbua uchumi wetu na kumgombanisha Mhe Rais na Wafanyabiara.
 
Ukichunguza pande zote mbili, TRA na wafanyabiashara, wana hoja kwenye madai yao.

Itumike busara na hekima badala ya nguvu na makali ya Sheria (ambazo nyingine si za haki).

Swali: Kwa nini watu/wafanyabiashara wanakwepa au hawapendi kulipa kodi?

Jibu: Kodi ni nyingi na viwango ni vikubwa.

Solutions:

1. Serikali na TRA (kwa upande mmoja) watunge na kuweka viwango rafiki vya kodi.

•Je Kwanini VAT iwe 18% na sio 10 au 12%?
•Kwa nini corporate tax zisiwe 15%?
•Kwa nini withholding tax zisiwe 2-5%?

Kwa ufupi tu, mwishoni mwa miaka ya sitini(late 1960s) nchi za Africa, baada ya 'uhuru' zilijikuta kwenye matatizo - namna gani kukuza uchumi wao na kuongeza mapato. Nchi nyingi zikachagua njia "rahisi" na "fupi" toka kwa Wajamaa - Kodi nyingi na kubwa.

Botswana wao wakachagua njia iliyoonekana "ngumu" na "ndefu" - viwango vidogo/chini vya kodi pamoja na mazingira rafiki ya kufanya biashara.

Kufikia miaka ya themanini wale waliochagua njia 'fupi na rahisi' walikuwa HOI.
Botswana wao walikuwa wanaelekea kwa kasi uchumi wa kati kwa ile njia 'ngumu na ndefu'.

Na bado tumekuwa wazito sana wa kujifunza na kusahihisha makosa yetu; na mahali pengine hatukubali kubadilika kutokana na mahitaji na mazingira ya nyakati zetu.

2. Lazima tuifundishe jamii yetu umuhimu wa kulipa kodi na kupenda kulipa kodi. Utamaduni huo hufundishwa shuleni na majumbani tangu - toka watoto wakiwa wadogo upward.

3. Uwajibikaji na matumizi bora ya hela na mali za umma.

Hata kama tukukisanya trilioni 100 kwa mwaka, kama tabia na "Utamaduni " wa ubadhirifu, wizi, ufisadi, rushwa na matumizi mabovu na ya anasa utaeendelea kama ilivyo sasa - itakuwa ni sawa na kujaza maji kwenye gunia la sukari tu.

Tujenge mutual win-win environments.

Mkitaka, Inawezekana.
 
Bahati nzuri wote wapo humu jukwaani. Kuanzia huyo Mh. mwigulu, na pia hao TRA Tanzania
Nadhani TRA huamua kuwakomoa Wananchi ili kufidia ubadhilifu na wizi wa Fedha unofanywa na watu wenye dhamana Serikalini. Sina uhakika kuwa kama hapa Tanzania Kodi zingekua rafiki kwa walipa Kodi watu wangehangaika kutoa rushwa ili wakwepe kulipa Kodi. Lakini pia Katika baadhi ya nchi za kistaarabu na nchi za kishenzi ambazo nimewahi kuzitembelea hapa duniani ni Tanzania pekee ndo nchi ambayo Maafisa wa TRA huzagaa mitaani kuwabugudhi raia wake kwa kuwakagua mnunuzi wa reja reja kama wana lisiti ya bidhaa aliyoishika Mkononi. Bughudha za aina hii ni ushahidi tosha kuwa utozaji wa Kodi hapa Tanzania una matatizo makubwa.
 
kwa kipindi cha miaka miwili Pato la Taifa lilifikia Sh. trilioni 200 kwa mwaka 2023 kutoka Sh. trilioni 163 ya mwaka 2021 Hizi zote ni juhudi za Rais Samia katika kusimamia Sekta ya Biashara.
Tuliambiwa tuna daiwa 90 trillion, Sasa si tulipe ili tuepuke interest za mkopo/deni?
 
Bahati nzuri wote wapo humu jukwaani. Kuanzia huyo Mh. mwigulu, na pia hao TRA Tanzania
Nadhani TRA huamua kuwaakomoa Wananchi ili kufidia ubadhilifu na wizi wa Fedha unofanywa na watu wenye dhamana. Sina uhakika kuwa kama hapa Tanzania Kodi zingekua rafiki kwa walipa Kodi watu wangehangaika kutoa rushwa ili wakwepe kulipa Kodi. Lakini pia katika nchi za kistaarabu na nchi za kishenzi ambazo nimewahi kuzitembelea hapa duniani ni Tanzania pekee ambayo Maafisa wa TRA huzagaa mitaani kukamkagua wanunuzi wa reja reja kama anayo lisiti Mkononi ya bidhaa aliyoishika Mkononi. Bughudha za aina hii ni ushahidi tosha kuwa utozaji wa Kodi hapa Tanzania una matatizo makubwa.
 
Walianza NEMC sasa ni zamu ya TRA kumgombanisha Rais na wananchi wake anaowapenda.

Ni ukweli usiopingika kuna Taasisi zinamuingiza Mhe. Rais katika mtego na wananchi kadiri siku zinavyokwenda, waliaanza NEMC na sasa ni zamu ya Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA).

Wizara ya fedha na biashara waswahili wanasema mkilikoroga mtalinywa.

Kwa muda mrefu mamlaka ya mapato nchini TRA imekuwa ikilalamikiwa kutokana na kutokuwa na sera rafiki za kibiashara na ukusanyaji wa mapato nchini hali inayopelekea mianya ya rushwa na ukwepaji kodi kwa kiasi kikubwa suala hili Rais Samia amekuwa akichukizwa nalo na kulikemea wakati wote.

Hali si shwari kwa upande wa kitovu chetu cha Biashara kuna tetesi za mgomo wa wafanyabiashara eneo la kariakoo kuanzia siku ya Jumatatu tarehe 15-05-2023.

Sababu za kuitisha mgomo
1. Urasimu bandarini
2. Usajili wa stoo
3. Kamata kamata hovyo ya wateja kwa ukuaguzi wa risiti

Kariakoo ni soko kubwa sana hapa Afrika mashariki na kati, hili suala likuchukuliwa kwa mzaha wowote ule lina athari kubwa kwa uchumi wa nchi yetu.

Katika robo ya kwanza ya mwaka 2023 (Januari - Machi 2023 kasi ya ukuaji wa Pato la Taifa ili ongezeka hadi kufikia 5..6% Kiuchumi, hii inamaanisha kuwa ukuaji wa shughuli za kiuchumi katika kipindi cha miezi 6 uchumi umekuwa kwa kasi.

Hii ilitoka kauli ya Mhe Rais kuhusu TRA kuacha kukusanya kodi kwa mabavu kuliko changia shughuli za uchumi zinazohusu wananchi masikini kupanda na ilionesha kuwa Wananchi wetu wanazidi kutoka kwenye ufukara kwa kasi tangu awamu ya sita ianze utekelezaji na uboreshaji wa sera zake. Je tunataka kurudisha mafukara wengi zaidi kwa kutengeneza urasimu katika mamlaka yetu ya mapato..?

kwa kipindi cha miaka miwili Pato la Taifa lilifikia Sh. trilioni 200 kwa mwaka 2023 kutoka Sh. trilioni 163 ya mwaka 2021 Hizi zote ni juhudi za Rais Samia katika kusimamia Sekta ya Biashara.

Uchumi wa Tanzania umekuwa mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya na ni wa 6 kwa ukubwa kwa nchi zote za Kusini mwa Jangwa la Sahara. Kazi ya kujenga ni ngumu lakini Kibini tunaweza hichi tunachokifanya kupitia TRA na NEMC tutarudi tulipotoka.

Ukuaji huu wa pato la Taifa umetokana na Rais Samia kutekeleza sera rafiki kwa sekta binafsi, ambayo imeongeza kasi ya uwekezaji, biashara na ukuaji wa uchumi nchini. Kama Rais anatekeleza sera rafiki Kwanini mamlaka yetu ya mapato zinakuwa sehemu ya kuharibu mambo haya mazuri.

kama leo TRA ikianza kuwaharass wafanyabiashara wa ndani tunatafuta kuporomoka kwa sekta ya Biashara itaathiri watu wengi, pamoja na wateja kutoka nchini Jirani wata-opt kuhamia masoko rafiki zaidi tujifunze namna ya kukusanya mapato bila taharuki ya kusumbua uchumi wetu na kumgombanisha Mhe Rais na Wafanyabiara.

Huu uandishi wa kichawa sijui kumgombanisha rais na wananchi wake naona umeshika kasi. Tunataka katiba mpya ili kupunguza mamlaka ya rais, nyie ndio mnazidisha upambe kwa cheo cha urais! Acheni uandishi wa kujipendekeza mnaonekana mazoba.
 
Kama kukwepa kodi ni dhambi hapa Tanzania, watakaoenda kwa Mungu baada ya kufariki ni watoto chini ya miaka 12 pekee.

Maana hata yule mwenye nia njema ya kulipa Kodi sahihi, hufika mahali anakata tamaa na kushiriki kuikwepa.

Nina mashaka hata watu wa TRA wenye biashara kama walipao kodi 100% wanafika 50%.

Huku mitaani ukidai risiti unaambiwa kwa risiti bei ni juu, bila risiti bei ni pungufu.

Yaani hata ukiingalia sura ya muuzaji, kama anataka kulia Ili mradi asikupe risiti. Kuna nini?

Huenda serikali inapoteza zaidi ya 50% ya mapato kwa kuweka tozo kubwa badala ya kutoza kidogo na kukusanya zaidi. Sijui.

Lakini pia raia wengi siku hizi wanaamini pesa inayokusanywa na serikali inatumika vibaya na walio jikoni.

Neno uzalendo ni fasheni tu. Nadhani serikali iongeze uwazi raia wajue fedha zote zina wahusu na zinatumika vizuri.

Wapo raia mitaani wanasema na kujiapiza kuwa wakiweza kuinyima serikali pesa watafanya hivyo sababu wakiiacha, Kuna wachache wataitumia vibaya.

Mambo ni mengi lakini hakuna ambalo haliwezekani tukiamua. Kodi lazima tulipe ila checks and balances ziwepo na raia waone zinafanya kazi.

Watu watakuwa wazalendo kwa kuona vinavyoweza wafanya kuwa wazalendo.
 
Acha TRA wafanye kazi Yao...
Kubwa jinga wewe wakati wa JPM mlitunga uongo mwingi juu ya TRA. Wafanyabiashara halali waliwasilisha kero na zilisikilizwa lakin leo hakuna anayewasikiliza mmebaki nyinyi wafanyabiashara za rushwa, ufisadi, michongo, utapeli eti ndo mnaitetea serikali ujinga ujinga tu. Nyoko kabisa The Boss.

Sasa hiv kutwa unaimba Hate thread jinga wewe. Kipindi unakesha unatuka na kukebehi ulidhan uliokuwa unawafanyia hivyo wana moyo wa chuma? Pumbavu kabisa.
Sasa hivi eti unataka kutuaminisha hii ni serikali ya malaika haikosei? Jinga wewe. Kama malaika mbinguni waliasi sembuse serikali ya Samia ya binadamu isifanye makosa! Pumbavu kabisa wewe
Unakera sana The Boss
 
Kwanini hawataki stoo zisajiliwe?

Serikali iache siasa, walio kariakoo wote wapewe EFD ili kuondoa malalamiko
 
Walianza NEMC sasa ni zamu ya TRA kumgombanisha Rais na wananchi wake anaowapenda.

Ni ukweli usiopingika kuna Taasisi zinamuingiza Mhe. Rais katika mtego na wananchi kadiri siku zinavyokwenda, waliaanza NEMC na sasa ni zamu ya Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA).

Wizara ya fedha na biashara waswahili wanasema mkilikoroga mtalinywa.

Kwa muda mrefu mamlaka ya mapato nchini TRA imekuwa ikilalamikiwa kutokana na kutokuwa na sera rafiki za kibiashara na ukusanyaji wa mapato nchini hali inayopelekea mianya ya rushwa na ukwepaji kodi kwa kiasi kikubwa suala hili Rais Samia amekuwa akichukizwa nalo na kulikemea wakati wote.

Hali si shwari kwa upande wa kitovu chetu cha Biashara kuna tetesi za mgomo wa wafanyabiashara eneo la kariakoo kuanzia siku ya Jumatatu tarehe 15-05-2023.

Sababu za kuitisha mgomo
1. Urasimu bandarini
2. Usajili wa stoo
3. Kamata kamata hovyo ya wateja kwa ukuaguzi wa risiti

Kariakoo ni soko kubwa sana hapa Afrika mashariki na kati, hili suala likuchukuliwa kwa mzaha wowote ule lina athari kubwa kwa uchumi wa nchi yetu.

Katika robo ya kwanza ya mwaka 2023 (Januari - Machi 2023 kasi ya ukuaji wa Pato la Taifa ili ongezeka hadi kufikia 5..6% Kiuchumi, hii inamaanisha kuwa ukuaji wa shughuli za kiuchumi katika kipindi cha miezi 6 uchumi umekuwa kwa kasi.

Hii ilitoka kauli ya Mhe Rais kuhusu TRA kuacha kukusanya kodi kwa mabavu kuliko changia shughuli za uchumi zinazohusu wananchi masikini kupanda na ilionesha kuwa Wananchi wetu wanazidi kutoka kwenye ufukara kwa kasi tangu awamu ya sita ianze utekelezaji na uboreshaji wa sera zake. Je tunataka kurudisha mafukara wengi zaidi kwa kutengeneza urasimu katika mamlaka yetu ya mapato..?

kwa kipindi cha miaka miwili Pato la Taifa lilifikia Sh. trilioni 200 kwa mwaka 2023 kutoka Sh. trilioni 163 ya mwaka 2021 Hizi zote ni juhudi za Rais Samia katika kusimamia Sekta ya Biashara.

Uchumi wa Tanzania umekuwa mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya na ni wa 6 kwa ukubwa kwa nchi zote za Kusini mwa Jangwa la Sahara. Kazi ya kujenga ni ngumu lakini Kibini tunaweza hichi tunachokifanya kupitia TRA na NEMC tutarudi tulipotoka.

Ukuaji huu wa pato la Taifa umetokana na Rais Samia kutekeleza sera rafiki kwa sekta binafsi, ambayo imeongeza kasi ya uwekezaji, biashara na ukuaji wa uchumi nchini. Kama Rais anatekeleza sera rafiki Kwanini mamlaka yetu ya mapato zinakuwa sehemu ya kuharibu mambo haya mazuri.

kama leo TRA ikianza kuwaharass wafanyabiashara wa ndani tunatafuta kuporomoka kwa sekta ya Biashara itaathiri watu wengi, pamoja na wateja kutoka nchini Jirani wata-opt kuhamia masoko rafiki zaidi tujifunze namna ya kukusanya mapato bila taharuki ya kusumbua uchumi wetu na kumgombanisha Mhe Rais na Wafanyabiara.
Unaanzaje kulipa kodi kwa ufanisi ikiwa watu wanachezea pesa zetu hovyohovyo ushahidi ripoti ya CAG na hakuna wa kuwajibishwa, hata kama ningekuwa mimi mfanyabiashara ingenichukua muda kulipa kodi kwa uhalali.
Tufike muda tuwe tunaoneana huruma, jitu linaspend kwa vitu vya anasa mfano misafara ya vxR 12 kwenda kusikiliza kero za wananchi na hazitatuliwi blahblah tu
 
Kubwa jinga wewe wakati wa JPM mlitunga uongo mwingi juu ya TRA. Wafanyabiashara halali waliwasilisha kero na zilisikilizwa lakin leo hakuna anayewasikiliza mmebaki nyinyi wafanyabiashara za rushwa, ufisadi, michongo, utapeli eti ndo mnaitetea serikali ujinga ujinga tu. Nyoko kabisa The Boss.

Sasa hiv kutwa unaimba Hate thread jinga wewe. Kipindi unakesha unatuka na kukebehi ulidhan uliokuwa unawafanyia hivyo wana moyo wa chuma? Pumbavu kabisa.
Sasa hivi eti unataka kutuaminisha hii ni serikali ya malaika haikosei? Jinga wewe. Kama malaika mbinguni waliasi sembuse serikali ya Samia ya binadamu isifanye makosa! Pumbavu kabisa wewe
Unakera sana The Boss
The Boss ukitaka umsikie jukwaani iseme Serikali ya Mama Samia negatively. Ni chawa hasa kwa sasa
 
Walianza NEMC sasa ni zamu ya TRA kumgombanisha Rais na wananchi wake anaowapenda.

Ni ukweli usiopingika kuna Taasisi zinamuingiza Mhe. Rais katika mtego na wananchi kadiri siku zinavyokwenda, waliaanza NEMC na sasa ni zamu ya Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA).

Wizara ya fedha na biashara waswahili wanasema mkilikoroga mtalinywa.

Kwa muda mrefu mamlaka ya mapato nchini TRA imekuwa ikilalamikiwa kutokana na kutokuwa na sera rafiki za kibiashara na ukusanyaji wa mapato nchini hali inayopelekea mianya ya rushwa na ukwepaji kodi kwa kiasi kikubwa suala hili Rais Samia amekuwa akichukizwa nalo na kulikemea wakati wote.

Hali si shwari kwa upande wa kitovu chetu cha Biashara kuna tetesi za mgomo wa wafanyabiashara eneo la kariakoo kuanzia siku ya Jumatatu tarehe 15-05-2023.

Sababu za kuitisha mgomo
1. Urasimu bandarini
2. Usajili wa stoo
3. Kamata kamata hovyo ya wateja kwa ukuaguzi wa risiti

Kariakoo ni soko kubwa sana hapa Afrika mashariki na kati, hili suala likuchukuliwa kwa mzaha wowote ule lina athari kubwa kwa uchumi wa nchi yetu.

Katika robo ya kwanza ya mwaka 2023 (Januari - Machi 2023 kasi ya ukuaji wa Pato la Taifa ili ongezeka hadi kufikia 5..6% Kiuchumi, hii inamaanisha kuwa ukuaji wa shughuli za kiuchumi katika kipindi cha miezi 6 uchumi umekuwa kwa kasi.

Hii ilitoka kauli ya Mhe Rais kuhusu TRA kuacha kukusanya kodi kwa mabavu kuliko changia shughuli za uchumi zinazohusu wananchi masikini kupanda na ilionesha kuwa Wananchi wetu wanazidi kutoka kwenye ufukara kwa kasi tangu awamu ya sita ianze utekelezaji na uboreshaji wa sera zake. Je tunataka kurudisha mafukara wengi zaidi kwa kutengeneza urasimu katika mamlaka yetu ya mapato..?

kwa kipindi cha miaka miwili Pato la Taifa lilifikia Sh. trilioni 200 kwa mwaka 2023 kutoka Sh. trilioni 163 ya mwaka 2021 Hizi zote ni juhudi za Rais Samia katika kusimamia Sekta ya Biashara.

Uchumi wa Tanzania umekuwa mkubwa kuliko baadhi ya nchi za Ulaya na ni wa 6 kwa ukubwa kwa nchi zote za Kusini mwa Jangwa la Sahara. Kazi ya kujenga ni ngumu lakini Kibini tunaweza hichi tunachokifanya kupitia TRA na NEMC tutarudi tulipotoka.

Ukuaji huu wa pato la Taifa umetokana na Rais Samia kutekeleza sera rafiki kwa sekta binafsi, ambayo imeongeza kasi ya uwekezaji, biashara na ukuaji wa uchumi nchini. Kama Rais anatekeleza sera rafiki Kwanini mamlaka yetu ya mapato zinakuwa sehemu ya kuharibu mambo haya mazuri.

kama leo TRA ikianza kuwaharass wafanyabiashara wa ndani tunatafuta kuporomoka kwa sekta ya Biashara itaathiri watu wengi, pamoja na wateja kutoka nchini Jirani wata-opt kuhamia masoko rafiki zaidi tujifunze namna ya kukusanya mapato bila taharuki ya kusumbua uchumi wetu na kumgombanisha Mhe Rais na Wafanyabiara.
FB_IMG_1684061756058.jpg


Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Kubwa jinga wewe wakati wa JPM mlitunga uongo mwingi juu ya TRA. Wafanyabiashara halali waliwasilisha kero na zilisikilizwa lakin leo hakuna anayewasikiliza mmebaki nyinyi wafanyabiashara za rushwa, ufisadi, michongo, utapeli eti ndo mnaitetea serikali ujinga ujinga tu. Nyoko kabisa The Boss.

Sasa hiv kutwa unaimba Hate thread jinga wewe. Kipindi unakesha unatuka na kukebehi ulidhan uliokuwa unawafanyia hivyo wana moyo wa chuma? Pumbavu kabisa.
Sasa hivi eti unataka kutuaminisha hii ni serikali ya malaika haikosei? Jinga wewe. Kama malaika mbinguni waliasi sembuse serikali ya Samia ya binadamu isifanye makosa! Pumbavu kabisa wewe
Unakera sana The Boss
Saamia si alisema hataki kodi za dhulma Jamani
 
Kubwa jinga wewe wakati wa JPM mlitunga uongo mwingi juu ya TRA. Wafanyabiashara halali waliwasilisha kero na zilisikilizwa lakin leo hakuna anayewasikiliza mmebaki nyinyi wafanyabiashara za rushwa, ufisadi, michongo, utapeli eti ndo mnaitetea serikali ujinga ujinga tu. Nyoko kabisa The Boss.

Sasa hiv kutwa unaimba Hate thread jinga wewe. Kipindi unakesha unatuka na kukebehi ulidhan uliokuwa unawafanyia hivyo wana moyo wa chuma? Pumbavu kabisa.
Sasa hivi eti unataka kutuaminisha hii ni serikali ya malaika haikosei? Jinga wewe. Kama malaika mbinguni waliasi sembuse serikali ya Samia ya binadamu isifanye makosa! Pumbavu kabisa wewe
Unakera sana The Boss
Wengi wa aina ya huyo jamaa hawajawahi kuuza hata matikiti

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom