johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Rais mstaafu mzee Kikwete alikuwa nje ya Nchi na amewasili mchana huu na moja kwa moja ameelekea Karimjee kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Membe
Kikwete amekuta Viongozi wakuu wa Serikali wameshaaga na kuondoka
Source: Ayo tv
Kikwete amekuta Viongozi wakuu wa Serikali wameshaaga na kuondoka
Source: Ayo tv