comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,227
- 5,950
Zitto akosoa wasifu wa Membe kuacha uanachama wake ACT-Wazalendo
Kauli yake inakuja baada ya Mwenyekiti wa ACT – Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad kumuidhinisha Tundu Lissu (Chadema) kuwa mgombea wao wa urais wa Tanzania
Tanzania: Chadema na ACT Wazalendo vyakubali kushirikiana – DW – 23.09.2020
Vyama vikuu vya upinzani nchini Tanzania vya Chadema na ACT-Wazalendo vimesema sasa vimekubaliana kushirikiana pamoja katika uchaguzi mkuu kwa ajili ya kukabiliana na chama tawala cha CCM.
www.dw.com