Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jana wakati wa matokeo ya uenyekiti kura ya hapana ilikua ni moja. Ila leo aliposimama Rais Dkt. Shein ambaye alikuwa akisimamia zoezi la uchaguzi alisema alishangazwa na WATATU waliopiga Kura ya...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Kwa kawaida tunasema"Chema hakidumu" Mzee wangu kusema Viongozi wazuri hawafi ni uongo mtupu. Hii ni njia inayotumika sana na WALAMBA ASALI ili kumpumbaza Mama, na hivyo aendelee kuwapa nyadhifa...
2 Reactions
1 Replies
438 Views
Tumeonya mara nyingi sana humu kwamba CCM inao wenyewe, lakini tumekuwa kama tunampigia mbuzi Gitaa, wengi wametuona kama tumechanganyikiwa. Vijana wengi waliamini kwamba wakivaa tu yale manguo...
10 Reactions
17 Replies
1K Views
Leo mnakula Bata, mnatanua mnavyotaka, mnatudharau watoto wa wanyonge wa nchi hii, na wengine mnatupiga, mnatufunga na hata kutuua kama wanyama Kwa sababu ya majina ya wazazi wenu. Viongozi wengi...
2 Reactions
4 Replies
595 Views
Ni aibu kwa taifa na kwa Serikali Rais kutoa maneno ya kijembe hadharani ya kusema kwamba anayekijua chama hawezi kuwa na Nongwanongwa kwa kusema hadharani hii maana yake ni kwamba maovu yote kwa...
2 Reactions
1 Replies
807 Views
MAGUFULI NA UHURU WA TANZANIA, MAADUI WA NCHI NI NANI? Na, Robert Heriel. Leo ni kumbukizi ya sherehe ya uhuru wa nchi yetu ambapo hapo awali ilifahamika kama Tanganyika kabla ya kuungana na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hakuna ubishi kuwa uchaguzi huu wa CCM umetengeneza CCM ambayo inafanana zaidi na Mzee Jakaya na Mzee Yusufu kwa tabia, muonekano na DNA. Nionavyo Mimi CCM hii imetundikwa kwenye mabega ya wazee...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Alipopewa nafasi ya kuzungumza kutoa nasaha zake kuelekea kufungwa kwa mkutano mkuu wa CCM, aliongea mengi ya kuwaasa wanachama kujenga mshikamano, kadhalika alimtia moyo mwenyekiti mpya dhidi ya...
17 Reactions
49 Replies
5K Views
Tozo za kila namna. Mbona huko nyuma hakukuwa na tozo. Mgao wa umeme. Mbona huko nyuma hakukuwa na mgao wa umeme? Mbona hatuoni miradi mikakakati kama huko nyuma? Huu ndio wasaa wa kuchambua...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa mtazamo Wangu CCM wanahitaji kujitafakari pakubwa saaaana. Na kama Wana CCM hawataamka na kutetea Chama Cha Mambuzi, wataendelea kudharaulika. Huwezi kuandaa mkutano wa mabilioni huku ukiacha...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Siamini na nitakuwa wa mwisho kuamini kioja hiki kwamba DC amemnasa kofi mwanafunzi mpk akajeruhiwa. Yaani kofi limejeruhi kiasi kwamba nusu ya uso wa mwanafunzi umebandikwa pamba? Tangu lini...
5 Reactions
97 Replies
6K Views
Yes, 2025 mimi mkuu wa kaya, mke wangu na house girl ambao ndio watu wazima kwenye nyumba hii nimepiga marufuku kwenda kupiga kura, kama ataongezeka mwengine awe tayari kuyakubali haya masharti...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Dkt Bashiru afunguka, ole wao watakaotumia upumbavu wa wapumbavu unaoendelea hivi sasa “Chama kina kazi kubwa ya kuangalia utekelezaji wa Ilani, na kuangalia mapungufu yaliyopo ili kuboresha...
19 Reactions
340 Replies
36K Views
Hivi karibuni tumefahamishwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema ameenda Marekani kuhudhuria Forum ya International Democrat Union (IDU) kinachofanyika Washington. Na hivi karibuni amechaguliwa kuwa...
0 Reactions
0 Replies
577 Views
Chonde chonde rais wangu kuwa makini na wanaotamba kuwa wanakupenda Chonde chonde rais wangu kumbuka asilimia kubwa ya watu wa bara wanawachukia wa visiwani Chonde chonde rais wangu usiridhike...
4 Reactions
12 Replies
722 Views
Kuna habari zinazosemekana kuwa mzee Makamba na Abdulrahman Kinana (makatibu wakuu wa zamani CCM) wanaweza kuhojiwa na kamati ya maadili CCM leo hii jumatatu ya tarehe 10 February, 2020. Hii ni...
11 Reactions
237 Replies
33K Views
Wakati tukiwa na Rais Kikwete ambae yeye ndie aliekuwa mpiganiaji wa jambo hili alipokuwa akisota bungeni, kinachohitajiwa ni kusituliwa tu na kuambiwa ule wakati ndio huu. Tunaitaka Tanganyika...
0 Reactions
202 Replies
27K Views
Dunia nzima, sidhani kama kuna nchi inatumia jina la 'Dkt, Dokta, Dr. Daktari, kama Tanzania! Tena pasi na udhibiti. Hii ni dalili ya 'Educational inferiority complex' (mfundo wa moyoni wa uduni...
29 Reactions
53 Replies
3K Views
Kweli kila masika na mbu wake. Leo hii Bashiru amekuwa ni mtu wa kuumbuliwa hadaharani kiasi hiki? Sasa ndiyo ataijua CCM kuwa ina wenyewe. Msikilize Makamba akimuumbua Bashiru.
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Nijuavyo mimi RPF kimepindua kuingia madarakani, CCM ilishiriki vipi kwenye mapinduzi ya Kagame hadi CCM kuvialika RPF na CNDD-FDD? Chama cha mambuzi bhana!!!!
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom