Jana wakati wa matokeo ya uenyekiti kura ya hapana ilikua ni moja.
Ila leo aliposimama Rais Dkt. Shein ambaye alikuwa akisimamia zoezi la uchaguzi alisema alishangazwa na WATATU waliopiga Kura ya...
Kwa kawaida tunasema"Chema hakidumu"
Mzee wangu kusema Viongozi wazuri hawafi ni uongo mtupu.
Hii ni njia inayotumika sana na WALAMBA ASALI ili kumpumbaza Mama, na hivyo aendelee kuwapa nyadhifa...
Tumeonya mara nyingi sana humu kwamba CCM inao wenyewe, lakini tumekuwa kama tunampigia mbuzi Gitaa, wengi wametuona kama tumechanganyikiwa.
Vijana wengi waliamini kwamba wakivaa tu yale manguo...
Leo mnakula Bata, mnatanua mnavyotaka, mnatudharau watoto wa wanyonge wa nchi hii, na wengine mnatupiga, mnatufunga na hata kutuua kama wanyama Kwa sababu ya majina ya wazazi wenu.
Viongozi wengi...
Ni aibu kwa taifa na kwa Serikali Rais kutoa maneno ya kijembe hadharani ya kusema kwamba anayekijua chama hawezi kuwa na Nongwanongwa kwa kusema hadharani hii maana yake ni kwamba maovu yote kwa...
MAGUFULI NA UHURU WA TANZANIA, MAADUI WA NCHI NI NANI?
Na, Robert Heriel.
Leo ni kumbukizi ya sherehe ya uhuru wa nchi yetu ambapo hapo awali ilifahamika kama Tanganyika kabla ya kuungana na...
Hakuna ubishi kuwa uchaguzi huu wa CCM umetengeneza CCM ambayo inafanana zaidi na Mzee Jakaya na Mzee Yusufu kwa tabia, muonekano na DNA.
Nionavyo Mimi CCM hii imetundikwa kwenye mabega ya wazee...
Alipopewa nafasi ya kuzungumza kutoa nasaha zake kuelekea kufungwa kwa mkutano mkuu wa CCM, aliongea mengi ya kuwaasa wanachama kujenga mshikamano, kadhalika alimtia moyo mwenyekiti mpya dhidi ya...
Tozo za kila namna. Mbona huko nyuma hakukuwa na tozo.
Mgao wa umeme. Mbona huko nyuma hakukuwa na mgao wa umeme?
Mbona hatuoni miradi mikakakati kama huko nyuma? Huu ndio wasaa wa kuchambua...
Kwa mtazamo Wangu CCM wanahitaji kujitafakari pakubwa saaaana. Na kama Wana CCM hawataamka na kutetea Chama Cha Mambuzi, wataendelea kudharaulika.
Huwezi kuandaa mkutano wa mabilioni huku ukiacha...
Siamini na nitakuwa wa mwisho kuamini kioja hiki kwamba DC amemnasa kofi mwanafunzi mpk akajeruhiwa.
Yaani kofi limejeruhi kiasi kwamba nusu ya uso wa mwanafunzi umebandikwa pamba? Tangu lini...
Yes, 2025 mimi mkuu wa kaya, mke wangu na house girl ambao ndio watu wazima kwenye nyumba hii nimepiga marufuku kwenda kupiga kura, kama ataongezeka mwengine awe tayari kuyakubali haya masharti...
Dkt Bashiru afunguka, ole wao watakaotumia upumbavu wa wapumbavu unaoendelea hivi sasa
“Chama kina kazi kubwa ya kuangalia utekelezaji wa Ilani, na kuangalia mapungufu yaliyopo ili kuboresha...
Hivi karibuni tumefahamishwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema ameenda Marekani kuhudhuria Forum ya International Democrat Union (IDU) kinachofanyika Washington.
Na hivi karibuni amechaguliwa kuwa...
Chonde chonde rais wangu kuwa makini na wanaotamba kuwa wanakupenda
Chonde chonde rais wangu kumbuka asilimia kubwa ya watu wa bara wanawachukia wa visiwani
Chonde chonde rais wangu usiridhike...
Kuna habari zinazosemekana kuwa mzee Makamba na Abdulrahman Kinana (makatibu wakuu wa zamani CCM) wanaweza kuhojiwa na kamati ya maadili CCM leo hii jumatatu ya tarehe 10 February, 2020.
Hii ni...
Wakati tukiwa na Rais Kikwete ambae yeye ndie aliekuwa mpiganiaji wa jambo hili alipokuwa akisota bungeni, kinachohitajiwa ni kusituliwa tu na kuambiwa ule wakati ndio huu.
Tunaitaka Tanganyika...
Dunia nzima, sidhani kama kuna nchi inatumia jina la 'Dkt, Dokta, Dr. Daktari, kama Tanzania! Tena pasi na udhibiti. Hii ni dalili ya 'Educational inferiority complex' (mfundo wa moyoni wa uduni...
Kweli kila masika na mbu wake.
Leo hii Bashiru amekuwa ni mtu wa kuumbuliwa hadaharani kiasi hiki?
Sasa ndiyo ataijua CCM kuwa ina wenyewe.
Msikilize Makamba akimuumbua Bashiru.
Nijuavyo mimi RPF kimepindua kuingia madarakani, CCM ilishiriki vipi kwenye mapinduzi ya Kagame hadi CCM kuvialika RPF na CNDD-FDD?
Chama cha mambuzi bhana!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.