Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,798
- 218,442
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, yule Mwamba wa siasa za Tanzania na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, leo anapiga mikutano mitatu mfululizo kwenye Jimbo la Buyungu katika ili Operesheni 255 iliyozinduliwa Jana Mwanga Center.
Ratiba Kamili hii hapa :
1.Kata ya Nyabibule , Uwanja wa shule ya msingi Rimashi
2.Kata ya Gwarama , Uwanja wa mpira Gwarama
3.Kata ya Kakonko , Uwanja wa Mpira Kakonko .
Ikumbukwe kwamba Chadema ndio Chama pekee kinachoweza kufanya mikutano ya hadhara kwa sasa nchini Tanzania
Usiondoke JF kwa ajili ya Uhondo mwingi sana unaoambatana na operesheni hii .
========
UPDATES
Akina Thomaso karibuni
View attachment 2626642View attachment 2626643View attachment 2626644
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
View attachment 2626645
Ratiba Kamili hii hapa :
1.Kata ya Nyabibule , Uwanja wa shule ya msingi Rimashi
2.Kata ya Gwarama , Uwanja wa mpira Gwarama
3.Kata ya Kakonko , Uwanja wa Mpira Kakonko .
Ikumbukwe kwamba Chadema ndio Chama pekee kinachoweza kufanya mikutano ya hadhara kwa sasa nchini Tanzania
Usiondoke JF kwa ajili ya Uhondo mwingi sana unaoambatana na operesheni hii .
========
UPDATES
Akina Thomaso karibuni
View attachment 2626642View attachment 2626643View attachment 2626644
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
View attachment 2626645