Nimefika nyumbani kwa Mzee Membe, ni makazi yakawaida sana tofauti na vile tulivyodhani.
Lakini pia hatua kubwa aliyofikia kisiasa tulitegemea watoto wake wawe wanasiasa lakini hakuna...
Ilala inapaswa kupata Mbunge aliyebobea kwenye mambo ya Biashara
Sugu wa Chadema na Vunjabei wa CCM karibuni Ilala
Wakinga ndio wameijenga Makambako na sasa ndio wanaiendesha Kariakoo...
Kumekiwa na hili wimbi la watu fulani kufurahia wale mahasimu wao wanapopatikana na matatizo na kuzionyesha hisia zao mitandaoni ; jambo hili sio geni kabisa , nna hakika wote tuna maadui zetu ama...
Ukisoma ibara ya 84 (1) ya katiba yetu inayotaja sifa za mtu kuwa mbunge na ibara ya 85 (1) ya katiba hiyo inayotaja sifa za mtu kuwa Naibu Spika, ni wazi katiba yetu ya Jamuhuri ya Muungano wa...
MBUNGE SAASHISHA MAFUWE ASISITIZA MTAALA WA ELIMU UZINGATIE TALANTA YA MWANAFUNZI
Mbunge wa Jimbo la Hai, Mhe. Saashisha Elinikyo Mafuwe akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Elimu iliyosomwa...
Akihojiwa leo na kituo cha redio kuhusu changamoto za upinzani amesema kwamba wapinzani nchini wana changamoto nyingi sana zinazowakosesha kuaminika kwa wananchi licha ya wananchi kuichoka ccm...
Usiku huu Vijana wa Kitanzania wenye "Soft skills" najua muda huu wapo bize wakipiga pasi suti zao, wakibrash viatu vyao kwa ajili ya siku ya kesho kwenda kwenye Misa ya kumuaga legendary Bernard...
Unaweza kuta January Makamba anashambuliwa sana analaumiwa sana, au unakuta Mwigulu Nchemba hadi anatukanwa mara hafai, mara imepanda ikashuka.
Kule Kariakoo wanalaumu TRA, wanalaumu sijui...
Salaam,
Habari toka nchini Afrika Kusini, zinasema,
Katibu Mkuu wa Ikulu Mstaafu, Mzee Timothy Apiyo, amelazwa kwenye hospitali ya Milpark nchini Afrika Kusini.
Mzee wetu huyu ambaye ni mjamaa...
Kariakoo ndio kitovu cha Biashara Afrika Mashariki hivyo ukikubalika Kariakoo wewe uko juu sana.
Kuna tetesi Baadhi ya Mawaziri hawajafurahia Waziri mkuu Majaliwa kujizolea sifa lukuki Kariakoo...
Kuna kikundi kama kimepewa kazi ya kumhujumu waziri Makamba kila sehemu na hili bomba linaonekana kupasuliwa makusudi na mafuta ghafi kutililikia mashambani na kuzua taharuki.
Hakuna mamalaka...
Ulishawahi kujiuliza, kwa nini JPM alibaki na Kasesera ambaye ni mwandani lia lia wa Benard Membe?!
Utaamini kwamba pamoja na mbwembwe zote Mchungaji Msigwa alikuwa mlisha habari wa JPM kutoka...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12 Mkutano wa 11, Kikao cha 26 leo Mei 16, 2023.
WAITARA ADAI KUNA WATU WANAPIGWA RISASI HADHARANI TARIME
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Mwikwabe Waitara...
Hii ndio taarifa iliyotufikia hivi punde kwamba baba Mzazi wa Le Mutuz Nation amewasili Dar es salaam kwa ajili ya kushiriki msiba.
Taarifa zinaonesha kwamba Mzee Malecela amewasili akitokea...
Nianze kwa kusema kwamba kama Serikali ingekuwa na umiliki wa moja kwa moja wa eneo la Kariakoo ,hakika tusishuhudia mgomo wenye kuumiza walaji kama inavyoshuhudiwa.
Huu ndio ushauri wangu kwa...
Makamu mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lisu kupitia ukurasa wake wa twitter amewapongeza Wafanyabiashara wa Kariakoo kwa kudai haki zao kwa njia ya Mgomo.
Tundu Lisu amesema anategemea...
kiapo ni ahadi ya mwisho ya uaminifu wako,mala nyingi viapo huwa rahisi kuvitunza hasa pale unapokuwa ni mgeni kuingia katikati ya hicho kiapo, lakini kadri ya siku zinavyokwenda mtu anaweza...
Abdalla Mohamed Tambaza akielezea simulizi kutoka kwa Familia iliyotoa ardhi kujenga Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam.
Simulizi kutoka kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi...
Eneo kama Kariakoo, ilitarajiwa suti nyeusi wawepo kwa Kila namna, wawepo kama wamiliki wa maduka, kama watendaji wa mitaa na Kata, wauza kahawa, machinga, wawe ndani ya mchezo na mbele ya matukio...
Kupitia hizi comments za Wazanzibar nimejifunza kuwa wenzetu wanachuki na sisi kwa kiwango kikubwa sana.
Ukisoma maoni yao kwa umakini mkubwa utakuja kugundua kuna baadhi ya chuki wamepandikizwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.