Nongwa si kwa ajiri ya kutafta madaraka bali wanahitaji ujirekebishe pale unapokosea tembelea wananchi angalia matatizo waliyonayo hapo utajuwa kama unaupiga mwingi au hamna
Rais Dkt Samia ajue...
Sisemi mengi.
Hivi inakuingia akilini kuwa CCM ni chama chenye maarifa mengi kama kwa miaka 61 sasa watanzania wanakabiliwa na shida ya maji na umeme wakati nchi imezungukwa na mito, maziwa na...
Mwenyekiti wa Chadema , Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe , Yuko ziarani nchini Marekani , ambako tayari ziara hiyo imeanza kwa kishindo , baada ya moja kwa moja kuanza kufanya mazungumzo na Wazito wa...
Rais Samia ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM alitoa fursa kwa Wajumbe wa kila mkoa kuelezea Changamoto zinazoukabili mkoa wake
Itoshe tu kusema kilichofuatia Ilikuwa ni aibu tupu hadi Mwenyekiti...
Wada nawasabahi.
Wengi tunakumbuka jinsi RAIS MSTAAFU Kikwete alipoamua kuwapatia KATIBA MPYA Watanzania na akasema Mengi ikiwa ni pamoja na KATIBA iliyopo kuwa ni ya Miaka Mingi haiendani na...
Diallo business tycoon wa Mwanza alisema kweli. CcM wanapora chaguzi.
Hawakubaliki. Hili lipo wazi kila kona ya Tanzania.
Kuna familia za wanaCCM wanaona hii nchi ni mali yao ya kuitafuna na...
Mzee Makamba anasema 2025 hakuna mjadala Rais Samia Suluhu atagombea urais tena. "Uchaguzi umekwisha sasa tunajiandaa na ligi ya 2025, na tunashinda kwa sababu wapinzani wetu ajenda zao ni mbili...
Mnec wa Geita Dr Musukuma amesema wao Siyo wapambe ila wataendelea kumsifia Rais Samia kwa sababu ni Kweli anaupiga mwingi.
Musukuma amesema Rais anafanya kazi kubwa na wao hawatasita kumsifia...
Kwa sasa Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni Mwenyekiti mwenza wa Vyama vya Demokrasia Africa na Makamu Mwenyekiti wa IDU
Unadhani kwa misingi ya kujimwambafy mh Mbowe anaweza kukiri chama chake...
Inashangaza sana kuona Hawa wazee ambao walikuwa wameshika nafasi za juu za uongozi wakamaliza vipindi vyao bila kuacha legacy yoyote wanatutisha na kutukemea.
Dunia inabadilika hivyo nasi...
Unjani sabuwona
Mzee msambaa anajimwambafai na kujitapa sana sijui kwanini anajitapa hivi labda unapiga kelele ili mwanae aendelee kulamba asali zaidi au ndiyo anajiona yeye ni wenye chama au...
Watanzania ni lazima tubadilike hatuwezi kusubiri kiongozi mmoja mkali aje abadilishe nchi yetu. Nchi yetu Tanzania inaweza kukuwa na kuendelea kwa kasi kubwa kama tu tutaweka vitu kama vya Kenya...
Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai).
Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa CCM (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake...
Hii ni baada ya Mjumbe mmoja wa Mkutano wao wa Uchaguzi kumpigia kura ya Hapana.
Wapiga kura walikuwa 1915 , kura za ndio ni 1914 na 1 imesema hapana .
Natoa angalizo kwa wanaccm kuacha kumsaka...
WATU wanashangaa behewa moja kwa ajili ya SGR limenunuliwa Sh2.2 bilioni.
Wasichokijua, hiyo ndio michongo ya Magufuli. Alilazimisha kununua vitu kwa cash ili kutupiga matukio. Ndege zote...
Hapa kusema CCM ina maarifa mengi na anauhakika itashinda 2025.
Haya ni maarifa gani? Naomba wataalamu wa kupembua kauli waje kwenye uzi huu tuyajue hayo maarifa mengi waliyonayo wana CCM
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumatano anaweka rekodi ya kipekee katika historia ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa wajumbe wa Mkutano mkuu wa 10 kumchagua kuwa Mwenyekiti wa kwanza mwanamke wa...
Ama kwa kutumwa au kwa tabia ya uchawa, kuna watu walianza kampeni ya kubadili katiba ili Mwendazake aendelee kutawala hata baada ya muda wake kwisha.
Ni bahati mbaya watu hatujifunzi kutokana na...
DC mstaafu mh Richard Kasesela amesema hajahonga hata shilingi 1 kuupata ujumbe wa NEC na kama atajitokeza mjumbe yoyote na kuthibitisha nimempa rushwa nitajiuzulu hapo hapo
Kasesela amesema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.