Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Pamekuwa na hulka ya viongozi vijana kujibizana bila staha na viongozi wastaafu-mie naliona kama ni mbegu mbaya
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Nongwa si kwa ajiri ya kutafta madaraka bali wanahitaji ujirekebishe pale unapokosea tembelea wananchi angalia matatizo waliyonayo hapo utajuwa kama unaupiga mwingi au hamna Rais Dkt Samia ajue...
2 Reactions
4 Replies
611 Views
Sisemi mengi. Hivi inakuingia akilini kuwa CCM ni chama chenye maarifa mengi kama kwa miaka 61 sasa watanzania wanakabiliwa na shida ya maji na umeme wakati nchi imezungukwa na mito, maziwa na...
2 Reactions
3 Replies
707 Views
Mwenyekiti wa Chadema , Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe , Yuko ziarani nchini Marekani , ambako tayari ziara hiyo imeanza kwa kishindo , baada ya moja kwa moja kuanza kufanya mazungumzo na Wazito wa...
14 Reactions
62 Replies
4K Views
Rais Samia ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM alitoa fursa kwa Wajumbe wa kila mkoa kuelezea Changamoto zinazoukabili mkoa wake Itoshe tu kusema kilichofuatia Ilikuwa ni aibu tupu hadi Mwenyekiti...
4 Reactions
4 Replies
608 Views
Wada nawasabahi. Wengi tunakumbuka jinsi RAIS MSTAAFU Kikwete alipoamua kuwapatia KATIBA MPYA Watanzania na akasema Mengi ikiwa ni pamoja na KATIBA iliyopo kuwa ni ya Miaka Mingi haiendani na...
0 Reactions
3 Replies
531 Views
Diallo business tycoon wa Mwanza alisema kweli. CcM wanapora chaguzi. Hawakubaliki. Hili lipo wazi kila kona ya Tanzania. Kuna familia za wanaCCM wanaona hii nchi ni mali yao ya kuitafuna na...
6 Reactions
6 Replies
627 Views
Mzee Makamba anasema 2025 hakuna mjadala Rais Samia Suluhu atagombea urais tena. "Uchaguzi umekwisha sasa tunajiandaa na ligi ya 2025, na tunashinda kwa sababu wapinzani wetu ajenda zao ni mbili...
2 Reactions
10 Replies
828 Views
Mnec wa Geita Dr Musukuma amesema wao Siyo wapambe ila wataendelea kumsifia Rais Samia kwa sababu ni Kweli anaupiga mwingi. Musukuma amesema Rais anafanya kazi kubwa na wao hawatasita kumsifia...
10 Reactions
39 Replies
2K Views
Kwa sasa Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni Mwenyekiti mwenza wa Vyama vya Demokrasia Africa na Makamu Mwenyekiti wa IDU Unadhani kwa misingi ya kujimwambafy mh Mbowe anaweza kukiri chama chake...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Inashangaza sana kuona Hawa wazee ambao walikuwa wameshika nafasi za juu za uongozi wakamaliza vipindi vyao bila kuacha legacy yoyote wanatutisha na kutukemea. Dunia inabadilika hivyo nasi...
2 Reactions
9 Replies
790 Views
Unjani sabuwona Mzee msambaa anajimwambafai na kujitapa sana sijui kwanini anajitapa hivi labda unapiga kelele ili mwanae aendelee kulamba asali zaidi au ndiyo anajiona yeye ni wenye chama au...
3 Reactions
8 Replies
920 Views
Watanzania ni lazima tubadilike hatuwezi kusubiri kiongozi mmoja mkali aje abadilishe nchi yetu. Nchi yetu Tanzania inaweza kukuwa na kuendelea kwa kasi kubwa kama tu tutaweka vitu kama vya Kenya...
0 Reactions
2 Replies
637 Views
Picha hii hapa chini inaeleza mengi sana (zoom umtazame vema Ndugai). Ndugai yupo kama hayupo kwenye mkutano mkuu wa CCM (7-8 December 2022). Yaelekea kaburuzwa tu. Hajahudhuria kwa ridhaa yake...
26 Reactions
90 Replies
7K Views
Hii ni baada ya Mjumbe mmoja wa Mkutano wao wa Uchaguzi kumpigia kura ya Hapana. Wapiga kura walikuwa 1915 , kura za ndio ni 1914 na 1 imesema hapana . Natoa angalizo kwa wanaccm kuacha kumsaka...
12 Reactions
53 Replies
6K Views
WATU wanashangaa behewa moja kwa ajili ya SGR limenunuliwa Sh2.2 bilioni. Wasichokijua, hiyo ndio michongo ya Magufuli. Alilazimisha kununua vitu kwa cash ili kutupiga matukio. Ndege zote...
9 Reactions
48 Replies
4K Views
Hapa kusema CCM ina maarifa mengi na anauhakika itashinda 2025. Haya ni maarifa gani? Naomba wataalamu wa kupembua kauli waje kwenye uzi huu tuyajue hayo maarifa mengi waliyonayo wana CCM
0 Reactions
16 Replies
763 Views
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumatano anaweka rekodi ya kipekee katika historia ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa wajumbe wa Mkutano mkuu wa 10 kumchagua kuwa Mwenyekiti wa kwanza mwanamke wa...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Ama kwa kutumwa au kwa tabia ya uchawa, kuna watu walianza kampeni ya kubadili katiba ili Mwendazake aendelee kutawala hata baada ya muda wake kwisha. Ni bahati mbaya watu hatujifunzi kutokana na...
1 Reactions
2 Replies
541 Views
DC mstaafu mh Richard Kasesela amesema hajahonga hata shilingi 1 kuupata ujumbe wa NEC na kama atajitokeza mjumbe yoyote na kuthibitisha nimempa rushwa nitajiuzulu hapo hapo Kasesela amesema...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom