Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi. Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka? 1. Waziri wa Fedha? 2. Waziri wa Biashara? 3. CG wa TRA? 4. Manager...
2 Reactions
83 Replies
7K Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana leo Mei 17, 2023 ameongoza kikao cha Mawaziri wanaohusika na Michezo wa nchi za Tanzania, Kenya na Uganda ambao ni Mhe. Peter...
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Siamini sana katika siasa za nchi. Lakini, ikitokea naambiwa nimpigie Majaliwa kura awe kiongozi mkubwa, Yes nampigia. Kuna namna kafanikiwa kunidanganya kwamba he is capable. Sasa sijui...
11 Reactions
47 Replies
4K Views
Tatizo kubwa la waziri wa f edha dk. mwigulu nchemba na waziri wa viwanda, dk. ashatu kijaji lina sababishwa na rais mwenyewe kwa maoni yangu. Unawezaje kukaa na waziri ambaye alishawakashifu...
3 Reactions
6 Replies
763 Views
Nafikiri usiku wa leo Waziri wa Fedha Dr Mwigulu PhD atalala Kanisani huku akijitafakari sana Wale Wafanyabiashara ni kana kwamba walimpania Bado tuna safari ndefu sana!
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Watu wengi wanazungumza kuhusu sakata la TRA na Wafanyabiashara lakini wanamung'unya maneno na kupata kigugumizi kumtaja Mwigulu ambaye ndio mwanzilishi wa uchafu huu wote. Ili kuleta amani ya...
1 Reactions
14 Replies
876 Views
Shehe mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja amesikika na kuonekana hadharani akipinga vikali chanjo ya malaria kwa watanzania kwa kuhofia kuwa huenda imechanganywa na homoni za...
10 Reactions
183 Replies
9K Views
Habari, Wakuu kama tunafatilia habari na mitandao tunatambua wiki hii nchini wetu imetawaliwa na matukio mengi. Miongoni mwa tukio lililogusa vituo vya habari ni pamoja na Mgombo wa wafanya...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Pamoja na kwamba tuna mifumo mibaya ya uendeshaji wa Nchi bado tatizo kubwa la Tanzania ni Watanzani wenyewe. Yaani Mtanzania mwenye level ya elimu angalau Form Four au Diploma ama tuseme hata...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob. Mmeshaharibu upepo!
5 Reactions
78 Replies
6K Views
Unaongoza watu, unaowaongoza wanakukataa adharani. Unaendelea kubaki ofisini ukisubiri hadi utumbuliwe kwa faida ya nani? Nchi zilizo serious ukilalamikiwa tu unakaa pembeni kwetu unang'ang'ana...
4 Reactions
7 Replies
490 Views
Watu milioni kumi wanapaswa kukabidhiwa viongozi wanaweza kuwa na maono makubwa kuweza kuwasaidia wafikie malengo. Chalamila siyo mtu sahihi katika jiji la DSM, maendeleo kwa ulimwengu wa sasa...
14 Reactions
103 Replies
9K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Misri Mhe. Abdel Fattah El Sisi uliowasilishwa kwake na Mjumbe Maalum ambae pia ni...
1 Reactions
1 Replies
672 Views
Habari za muda huu WanaJukwaa. Najarbu kutafakari hii hamisha hamisha ya Wakuu wa Mikoa.. Inaonyesha udhaifu wa Katiba yetu 1. Hii hamisha hamisha ya hawa Wakuu wa Mikoa ina implications ktk...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Yule Mwamba anayekubaliwa na wengi kwa kupigania Haki za Watu woote bila kujali misingi yao ya kiitikadi ametoa ushauri wake kuhusu sakata la Kariakoo na Wafanya biashara. Huyo Champion wa siasa...
6 Reactions
29 Replies
4K Views
Inafahamika vyema, Dar es salaam ni miongoni mwa miji yenye hekaheka sana hapa Afrika. Kila wakati, watu tunajihisi tupo nyuma ya muda au tunadaiwa kitu, hivyo kutupelejea kila wakati tuwe...
0 Reactions
2 Replies
756 Views
Tujikumbushe "Matumizi ya Helikopta kwetu ni usafiri wa Kawaida." Mwenyekiti
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Wafanyabiashara wa Kariakoo wameonesha weledi mkubwa katika kuelezea kero zao mbele ya waziri mkuu Kassim Majaliwa. Wengi wa wafanyabiashara hawajasoma sana kama waalimu, wahadhiri, madaktari, nk...
1 Reactions
2 Replies
539 Views
Ukusanyaji kodi una Siri kubwa kwa sababu wanaotunga sheria za kodi ni Wanasiasa hao hao wanaojidai kuwatetea leo Nilipenda sana ile kauli ya Shujaa Magufuli ya kupitisha gunia Moja Moja kwa...
1 Reactions
2 Replies
421 Views
Back
Top Bottom