Rais Samia ni kazi kwako kuwaacha au kuwaondoa ‘for the sake of the nation and the party’

Ngungenge

JF-Expert Member
Jun 11, 2016
2,863
3,192
Kipekee nakushukuru kwa kuchukua hatua za dhati za kunusuru soko la kariakoo kwa kumtuma Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa. Kwa kweli amefanya kazi kubwa ya kunusuru uchumi wetu.

Pamoja na yote yaliyojadiliwa kuna kiu cha uwajibikaji. Imedhihirika baadhi ya watendaji wako wana uwezo mdogo na wengine ni wazembe na wenye zarau

Ni ombi letu na kama itakupendeza wachukulie hatua au wahamishe au wasimamishe kazi wote walioonekana ni kikwazo kwa wafanyabiashara na uchumi wetu. Na katika hili usiwaache kambare ukaondoa dagaa utakua haujafanya kitu.

Kwa macho yako umeona kiu cha wale ambao wanalalamikiwa ni kazi kwako kuwaondoa au kuendelea kuwafuga.

Nakukumbusha Mh. Jakaya alimuondoa Kalamagi, Nchimbi, Lowasa. Pia Chuma JPM aliwaondoa Kangi Lugola, Mwigulu, Simbachawene nk ili kuleta ustawi na kuonesha uwajibikaji kwa watanzania

Sasa kama hautakuwa na serikali ya uwajibikaji au hata kuhamisha watendaji na mawaziri au hata kuwaondoa basi madhara yatakayotokea ni juu yako na utawala wako.

Chukua hatua
 
Kodi halali ya Serikali lazima tulipe, tusitegemee kuonewa huruma kwenye mapato ya Serikali.
Kama yule mama anadaiwa Kodi ya billioni 3 halafu anataka kukwepa eti alipe milioni 150!!!
hili haliwezekani, Kodi halali lazima ilipwe.

Nasema wakwepa Kodi wa kubwa ni wafanyabiashara wakubwa hawa ndio wanaongoza kukwepa Kodi na kutoa rushwa kwa TRA
 
Kodi halali ya Serikali lazima tulipe, tusitegemee kuonewa huruma kwenye mapato ya Serikali.
Kama yule mama anadaiwa Kodi ya billioni 3 halafu anataka kukwepa eti alipe milioni 150!!!
hili haliwezekani, Kodi halali lazima ilipwe.

Nasema wakwepa Kodi wa kubwa ni wafanyabiashara wakubwa hawa ndio wanaongoza kukwepa Kodi na kutoa rushwa kwa TRA
Kasema mwanzo alikadiliwa kodi 30 billions, baada ya kulalamika wakampungizia ikabaki 10 Billions....!

Akashindwa kulipa akayaacha na Makontena yenyewe...!

Cha ajabu usiku wa jana kuamkia kikao cha leo, wamempigia simu aende kuchukua Mankotena yake.
 
Kodi halali ya Serikali lazima tulipe, tusitegemee kuonewa huruma kwenye mapato ya Serikali.
Kama yule mama anadaiwa Kodi ya billioni 3 halafu anataka kukwepa eti alipe milioni 150!!!
hili haliwezekani, Kodi halali lazima ilipwe.

Nasema wakwepa Kodi wa kubwa ni wafanyabiashara wakubwa hawa ndio wanaongoza kukwepa Kodi na kutoa rushwa kwa TRA
Mkuu sasa si hao walarushwa ndio wanaotakiwa kung'oka??
 
Kodi halali ya Serikali lazima tulipe, tusitegemee kuonewa huruma kwenye mapato ya Serikali.
Kama yule mama anadaiwa Kodi ya billioni 3 halafu anataka kukwepa eti alipe milioni 150!!!
hili haliwezekani, Kodi halali lazima ilipwe.

Nasema wakwepa Kodi wa kubwa ni wafanyabiashara wakubwa hawa ndio wanaongoza kukwepa Kodi na kutoa rushwa kwa TRA
Kana mfanyabiashara kasema hataki kulipa kodi jamani? Wafanyabiashara hatutaki kukadiriwa kodi kubwa kwa lengo la kuobwa rushwa.

Kwa ujumla wafanyabiashara hatutaki urasimu kwa sababu tu watu wameruhusiwa KULA KWA UREFU WA KAMBA ZAO kinyume na sheria.
 
Kodi halali ya Serikali lazima tulipe, tusitegemee kuonewa huruma kwenye mapato ya Serikali.
Kama yule mama anadaiwa Kodi ya billioni 3 halafu anataka kukwepa eti alipe milioni 150!!!
hili haliwezekani, Kodi halali lazima ilipwe.

Nasema wakwepa Kodi wa kubwa ni wafanyabiashara wakubwa hawa ndio wanaongoza kukwepa Kodi na kutoa rushwa kwa TRA
TRA wanamdai billion 30
Baadae wakashusha Billion 10

That is un applicable
 
Kana mfanyabiashara kasema hataki kulipa kodi jamani? Wafanyabiashara hatutaki kukadiriwa kodi kubwa kwa lengo la kuobwa rushwa.

Kwa ujumla wafanyabiashara hatutaki urasimu kwa sababu tu watu wameruhusiwa KULA KWA UREFU WA KAMBA ZAO kinyume na sheria.
Nyongeza katika Hilo
Wafanya biashara wanataka uwazi katika kilipa kodi na sio utashi wa afisa wa kodi

Let say content ya 2forty fity ya vitenge ni Tsh kadhaa
Kontena ya aina hio ya TV ni sh kadhaa
Kontena ya aina hiya ya nguo ni tsh kadhaa

Mbona simple tuu
 
Kodi halali ya Serikali lazima tulipe, tusitegemee kuonewa huruma kwenye mapato ya Serikali.
Kama yule mama anadaiwa Kodi ya billioni 3 halafu anataka kukwepa eti alipe milioni 150!!!
hili haliwezekani, Kodi halali lazima ilipwe.

Nasema wakwepa Kodi wa kubwa ni wafanyabiashara wakubwa hawa ndio wanaongoza kukwepa Kodi na kutoa rushwa kwa TRA
Nikuulize unafanya biashara ..?

TRA wanachukua VAT kwenye mtaji sio mapato. Hawaangalii tofauti ya revenue na profit bali annual income

Kama mimi nimefanya biashara ya 100 Million na nikapatq Faida ya 20 M kwa nini nilipe kodi kwenye 120 M badala ya 20 M ambayo ni profit..?
 
Kipekee nakushukuru kwa kuchukua hatua za dhati za kunusuru soko la kariakoo kwa kumtuma Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa. Kwa kweli amefanya kazi kubwa ya kunusuru uchumi wetu.

Pamoja na yote yaliyojadiliwa kuna kiu cha uwajibikaji. Imedhihirika baadhi ya watendaji wako wana uwezo mdogo na wengine ni wazembe na wenye zarau

Ni ombi letu na kama itakupendeza wachukulie hatua au wahamishe au wasimamishe kazi wote walioonekana ni kikwazo kwa wafanyabiashara na uchumi wetu. Na katika hili usiwaache kambare ukaondoa dagaa utakua haujafanya kitu.

Kwa macho yako umeona kiu cha wale ambao wanalalamikiwa ni kazi kwako kuwaondoa au kuendelea kuwafuga.

Nakukumbusha Mh. Jakaya alimuondoa Kalamagi, Nchimbi, Lowasa. Pia Chuma JPM aliwaondoa Kangi Lugola, Mwigulu, Simbachawene nk ili kuleta ustawi na kuonesha uwajibikaji kwa watanzania

Sasa kama hautakuwa na serikali ya uwajibikaji au hata kuhamisha watendaji na mawaziri au hata kuwaondoa basi madhara yatakayotokea ni juu yako na utawala wako.

Chukua hatua
Simtetei mtu ila binafsi sioni kosa so Hakuna wa kuondoa na waondoke Kwa lipi? Kodi zote zimetungwa na Bunge ,hapo ni kubadili mechanism au approach ya kukusanya ila sio ishu ya Waziri hapo.
 
Hakuna hatua yoyote atakayochukua🙏watu wamepiga billions of dollars ameishia kuwaita stupid🤣🤣Eti watupishe 🤣🤣 mpiga zumari ndo anachagua wimbo,na bado hajaamua ni wimbo upi upigwe sasa🙏
Inafikirisha sana lakini tuone nini atafanya
 
Kasema mwanzo alikadiliwa kodi 30 billions, baada ya kulalamika wakampungizia ikabaki 10 Billions....!

Akashindwa kulipa akayaacha na Makontena yenyewe...!

Cha ajabu usiku wa jana kuamkia kikao cha leo, wamempigia simu aende kuchukua Mankotena yake.
Sasa anajikadiria Kodi mwenyewe eti alipe 150millioni!!!!!

Huyu ni mkwepaji mkubwa wa kulipa Kodi halali na anataka kutumia kichaka Cha mazungumzo haya, alipe anacho daiwa aache janjanjanja
 
Simtetei mtu ila binafsi sioni kosa so Hakuna wa kuondoa na waondoke Kwa lipi? Kodi zote zimetungwa na Bunge ,hapo ni kubadili mechanism au approach ya kukusanya ila sio ishu ya Waziri hapo.
kikao cha leo sio majukumu ya Pm Majaliwa ni majukumu ya mawaziri wa Wizara husika sasa kama hawakuchukua hatua za dhati nani alaumiwe

Bunge linapitishwa miswada kutoka serikalini so nani alipeleka
 
Kasema mwanzo alikadiliwa kodi 30 billions, baada ya kulalamika wakampungizia ikabaki 10 Billions....!

Akashindwa kulipa akayaacha na Makontena yenyewe...!

Cha ajabu usiku wa jana kuamkia kikao cha leo, wamempigia simu aende kuchukua Mankotena yake.
Serikali ile sahani moja na hao wahudika TRA kesi ya uhujumu uchumi wafunguliwe haraka na wawekwe ndani kwa spidi ya mwewe
 
kikao cha leo sio majukumu ya Pm Majaliwa ni majukumu ya mawaziri wa Wizara husika sasa kama hawakuchukua hatua za dhati nani alaumiwe

Bunge linapitishwa miswada kutoka serikalini so nani anapitisha
Hao Wafanyabiashara walimkataa Hadi Mkuu wa Mkoa walidai Rais huu ni utoto wa Nidhamu na kuyumbisha Nchi..

Rais atafanya kazi ngapi? Nini maana ya kuwa na wasaidizi?

Mwisho ndio maana katika mchango Fulani nilisema Kuna madai geguine mfano unaenda Polisi kumshitaki afisa wa TRA ,then wewe unakuja kugeuziwa kibao ,hii inatakiwa kuwa addressed..

Mojawapo ya njia za kutatua Hilo ni Kwa Mkuu wa Mkoa pamoja na maofisa wa TRA walau kuwa na mkutano mara 1 Kila baada ya miezi 3 kujadili kero na utatuzi wake,ikifanyika hivyo hatutafikia Kwa PM au Waziri..

Kama Kuna mambo ya kisera ndio Waziri anaweza kuja kutoa ufafanuzi au kuchukua kuyapeleka huko Baraza la Mawaziri Kwa hatua zaidi..
 
Inatakiwa udondoshwe mbuyu, bila hivyo mambo yatarudi palepale. TRA wanafata wafanyabiashara nyumbani, kama si kwenda kuchukua rusgwa ni nini? Tena wote hao watolewe, ili watakaokuja wajihami.
 
Sasa anajikadiria Kodi mwenyewe eti alipe 150millioni!!!!!

Huyu ni mkwepaji mkubwa wa kulipa Kodi halali na anataka kutumia kichaka Cha mazungumzo haya, alipe anacho daiwa aache janjanjanja
Kwa hiyo kodi ilishuka kutoka 30 bilioni hadi 10 billions? Hakuna uhalisia hapo TRA wahudika wakamatwe wafunguliwe kesi.za uhujumu uchumi
 
Back
Top Bottom