Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nijuavyo alikuwa ni mtumishi wa umma huko Zanzibar. Sasa hayo manguo ya kijani vipi tena leo?
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu zangu CCM Ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga Tu,Huwezi ukazikwepa kuzisikia habari za CCM,huwezi ukajipa upofu wa kutokuona ukubwa na mizizi ya cccm hapa nchini,huwezi ukazuia habari za CCM...
2 Reactions
67 Replies
3K Views
Hii ni kweli kabisa wala hakuna haja ya kubishana na mafisadi fulani hivi ambao wanajifanya watetezi wa watu kumbe ndiyo wezi wakubwa wa taifa hili. Anyway lengo langu siyo hilo. Hayati Magufuli...
17 Reactions
36 Replies
2K Views
Siku 16 za Kupinga Ukatili; Tujifunze, Tupambane na Tushikamane Ukatili Bado Upo. Utangulizi. Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ambazo huanzia tarehe 25 Novemba hadi tarehe 10 Disemba 2022...
1 Reactions
0 Replies
568 Views
TANZANIA CHAMA NI KIMOJA TU CCM
17 Reactions
102 Replies
7K Views
"Ikumbukwe kuwa CCM inatakiwa kuwa mfano wa kuigwa na vyama vingine hivyo, katiba sheria na kanuni lazima zifatwe.”-Rais Dkt. Samia Suluhu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
3 Reactions
6 Replies
981 Views
Najiuliza tu maana kama sisi watu wa nje tunaona RAIS WETU anachezewa. Wanamrai rai ilo wanufaike kupitia yeye, sio kwamba ni kweli wanampenda na kwamba yale wanayomsifia ni kweli yupo nayo. Ina...
2 Reactions
11 Replies
860 Views
Kama huna maslahi ya moja kwa moja, kama kupata uongozi au posho za uchawa acha mara moja ushabiki wa siasa na kushabikia wanasiasa zama hizi. Ushabiki wa siasa itakufanya usione mabaya ya chama...
5 Reactions
5 Replies
556 Views
Jibu rahisi ni kwamba balance of payment haijakaa vizuri,tunachopeleka nje kina thamani ndogo kuliko tunachoingiza nchini kutoka nje,hivyo tunatoa dola (foreign currency) nyingi kuliko...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa haraka nimewaona Mzee Wasira, Waziri Bashungwa, Chacha Mwita Wambura, Askofu Gwajima,Dr Musukuma, Dr Mabula nk nk Hakika Mmetisha ila sisi Iringa tumetoa Namba 1 Mzee wa Nguzo na Namba 6...
3 Reactions
50 Replies
5K Views
Salaam Wakuu, Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani. Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado...
6 Reactions
72 Replies
9K Views
Halima Mdee akihojiwa na DW asema tumeamua upinzani kuungana mapema na sio very late kama ilivyokuwa tukiungana hapo awali ili kupambana na nguvu za nje. See Video
4 Reactions
36 Replies
5K Views
Baba Mwita ameandika kupitia mtandao wa Twitter kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akistaafu hupatiwa mafao kwa kiwango hiki. Rais wetu anapostaafu atapata mafao yafuatayo: 1. Fedha...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Mbunge wa Mtama Nape Nnauye amefika Ikulu jijini Dar Es Salaam kwa ajili ya kuomba msamaha. Ameomba msamaha na kusamehewa kosa aliliofanya miezi michache iliyopita. Akizungumza akiwa nje ya...
28 Reactions
836 Replies
87K Views
Mwenyekiti wa CCM mh Rais Samia amesema ili kuongeza wigo wamependekeza Idadi ya Wajumbe wa Halmashauri kuu wanaopigiwa kura na mkutano mkuu iongezeke Kutoka 15 Bara na 15 Zanzibar na sasa wawe 20...
1 Reactions
71 Replies
5K Views
Kwa common sense ya kawaida kabisa ukitazama hii picha unapata jibu. watu milion 2 wanawakilishwa na watu 20 na watu milioni 58 nao wanawakilishwa na watu 20.
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Hivyo ndivyo yanavyopaswa kujibiwa maswali ya kipashkuna, Hivyo ndivyo anavyopaswa kujibiwa mwandishi anayesukumwa na wambea wa mitandaoni, a.k.a haters badala ya utaalamu wa taaluma yake. Hivyo...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi ameshindwa kuhudhuria mkutano wa 10 wa CCM baada ya kuugua mafua makali akiwa tayari yuko jijini Dodoma. Taarifa hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa CCM, Rais...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
CHADEMA mnadanganywa Sana. Na hakika mnadanganywa. Mnawaachaje wabunge makini kama Bulaya na Mdee. Hivi ni mtanzania gani asiyeiona kazi wanayofanya hawa wabunge tangu wamekua wabunge. Poleni...
3 Reactions
51 Replies
4K Views
Kwa katiba iliopo Jeshi la Polisi hawana uwezo wa kumkamata mkuu wa wilaya, hii ndio katiba tulio nayo, na ndio maana hawa CCM wanaitetetea sana. Kwa utawala wa sheria huyo mkuu wa wilaya...
9 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom