Mapokezi ya Tundu Lissu yatikisa Buhingwe , Asanteni Polisi kwa kuokoa watu kukanyagana

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,798
218,444
Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu , bado angali Mkoani Kigoma Kwenye ile Operesheni Kabambe ya Chama chake ya 255 , ambako leo amepangiwa kupiga mikutano mitatu mfululizo ya hafhara kwenye Jimbo la Buhingwe .

Kwa mara ya kwanza nachukua nafasi hii kulioongeza Jeshi la Polisi Kigoma kwa kuepusha maafa , baada ya eneo la Mapokezi kuzidiwa na umati wa watu kiasi ambacho bila ulinzi imara wananchi wangeumizana kwa kukanyagana .

Kiukweli kabisa usiondoke JF , Maana kuna mengi mno yanakuja kutoka Kigoma .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu , bado angali Mkoani Kigoma Kwenye ile Operesheni Kabambe ya Chama chake ya 255 , ambako leo amepangiwa kupiga mikutano mitatu mfululizo ya hafhara kwenye Jimbo la Buhingwe .

Kwa mara ya kwanza nachukua nafasi hii kulioongeza Jeshi la Polisi Kigoma kwa kuepusha maafa , baada ya eneo la Mapokezi kuzidiwa na umati wa watu kiasi ambacho bila ulinzi imara wananchi wangeumizana kwa kukanyagana .

Kiukweli kabisa usiondoke JF , Maana kuna mengi mno yanakuja kutoka Kigoma .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Tumekuchoka na Propaganda uchwara zako hizi,pita hivi...
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu , bado angali Mkoani Kigoma Kwenye ile Operesheni Kabambe ya Chama chake ya 255 , ambako leo amepangiwa kupiga mikutano mitatu mfululizo ya hafhara kwenye Jimbo la Buhingwe .

Kwa mara ya kwanza nachukua nafasi hii kulioongeza Jeshi la Polisi Kigoma kwa kuepusha maafa , baada ya eneo la Mapokezi kuzidiwa na umati wa watu kiasi ambacho bila ulinzi imara wananchi wangeumizana kwa kukanyagana .

Kiukweli kabisa usiondoke JF , Maana kuna mengi mno yanakuja kutoka Kigoma .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Bila picha na video clip hii itakuwa hadaa
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu , bado angali Mkoani Kigoma Kwenye ile Operesheni Kabambe ya Chama chake ya 255 , ambako leo amepangiwa kupiga mikutano mitatu mfululizo ya hafhara kwenye Jimbo la Buhingwe .

Kwa mara ya kwanza nachukua nafasi hii kulioongeza Jeshi la Polisi Kigoma kwa kuepusha maafa , baada ya eneo la Mapokezi kuzidiwa na umati wa watu kiasi ambacho bila ulinzi imara wananchi wangeumizana kwa kukanyagana .

Kiukweli kabisa usiondoke JF , Maana kuna mengi mno yanakuja kutoka Kigoma .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Bila shaka amefika na Muyama, Munanila na muhinda huko. Apite na Heru 🤣🤣
 
Back
Top Bottom