Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Mbowe ameyasema hayo kwenye mkutano Kigoma, akisema kuwa mkoa wa Kigoma ni chimbuko la wanamageuzi ambapo imetoa wabunge wengi wa upinzani.
Akaongeza kuwa anatambua Kigoma kuna vyama vingine vya upinzani ikiwemo ACT Wazalendo, na kwamba wao CHADEMA na vyama vingine sio maadui, lazima wasaidiane nguvu ili wajibu wao wa kuing'oa CCM uweze kufika.
Mbowe ameongeza kuwa ACT wasikae kwa maumivu kuona CHADEMA wamefika Kigoma kwani kigoma ni asili yao, wameenda kigoma kuunganisha nguvu ili mmoja avute mguu, mwingine avute shingo, mwingine mkono ili hatimayee waingo'e CCM Kigoma kwasababu wamewafanya Wanakigoma masikini kwa miaka mingi sana.
Akaongeza kuwa anatambua Kigoma kuna vyama vingine vya upinzani ikiwemo ACT Wazalendo, na kwamba wao CHADEMA na vyama vingine sio maadui, lazima wasaidiane nguvu ili wajibu wao wa kuing'oa CCM uweze kufika.
Mbowe ameongeza kuwa ACT wasikae kwa maumivu kuona CHADEMA wamefika Kigoma kwani kigoma ni asili yao, wameenda kigoma kuunganisha nguvu ili mmoja avute mguu, mwingine avute shingo, mwingine mkono ili hatimayee waingo'e CCM Kigoma kwasababu wamewafanya Wanakigoma masikini kwa miaka mingi sana.