Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Siku zote tumesema na kurudia tena na tena, kwamba Wazee ni Hazina, hakuna jambo linaloweza kufanikiwa bila kuchota Busara na Ushauri wa Wazee. Baada ya kukutana na Mbowe , Wazee wa Katavi...
4 Reactions
10 Replies
962 Views
Hapa ndipo waandishi wa habari za uchunguzi wanatakiwa kuingia "chimbo". Wakawasake hao wafanyabiashara wa nchi jirani wawahoji. Lakini, kinachoonekana wafanyabiashara wa kariakoo ndio wameiua...
9 Reactions
29 Replies
6K Views
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kuelekea Kongamano la Uwekezaji katika Sekta ya Madini Mwaka 2023 linalojulikana kwa jina la Tanzania Mining & Investment Forum 2023, Waziri wa Madini, Doto...
0 Reactions
1 Replies
694 Views
Someni kifungu cha 57(1) cha sheriya ya mazingira. Mbowe alivunja sheria nchi wala hakuonewa
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF wenzangu, Kwanza kabla ya yote napenda kutumia nafasi hii kuiombea nchi yangu amani, upendo, mshikamano, ushirikiano, maendeleo ya watu na vitu. Ndugu yetu mh Lisu baada ya...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Uchambuzi wa Bajeti ya Ujenzi na Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2023/24. Utangulizi. Katika mwendelezo wa uwasilishaji, mijadala na upitishwaji wa bajeti Bungeni, Jana tarehe 22 Mei 2024, Prof...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Dunia nzima kwa sasa hakuna serikali inayo weza kutawala nchi bila ushirikiano na wapinzani labda iwe ya kidikteta halisi au kidikteta uchwara. Nchi nyingi zinatumia mfumo wa serikali za mseto...
3 Reactions
7 Replies
984 Views
Akizungumza kutoka katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi), #RaisSamia amesema ongezeko la 23% la Mshahara lililofanyika mwaka 2022 halikuwagusa Wafanyakazi wote akiwemo yeye...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
TRA kamatieni hapo hapo,hao watu sio wa kucheka nao wote tunaishi mtaani ukidai risiti wanakuzungisha mara wasema network inazingua na blaa blaa kama hizo.. Mara kadhaa nimewahi kuwaambia Tumieni...
3 Reactions
61 Replies
6K Views
Siku zote kwenye hii mikutano ya CHADEMA kunakuwa na vijimambo vizuri sana nyuma ya Pazia , hebu fuatilia kisa hiki Mtoto alipewa kuku na Mama yake ili amfuge, mtoto akaendelea kufuga kuku wake...
3 Reactions
4 Replies
632 Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 31 leo Mei 23, 2023. Wabadhirifu wa Dawa na Bidhaa za Afya Kushughulikia Serikali imesema inachukua hatua mbalimbali...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
First Tanzanian gets Certificate of Origin to trade under AfCFTA First Tanzanian gets Certificate of Origin to trade under AfCFTA The first Tanzanian received a certificate of origin yesterday to...
1 Reactions
0 Replies
671 Views
Na Mwl Udadis, Mtwara Makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na kampuni za Equinor & Shell yamekamilika kwaajili ya uwekezaji katika mradi wa gesi asilia, mradi wenye thamani ya Dola Bilioni...
2 Reactions
7 Replies
889 Views
Hizi ndio taarifa Kutoka Mkoani Katavi kwamba sasa Tundu Lisu na J J Mnyika watakuwa Kikosi cha Anga na Mwamba ataongoza Kikosi cha Ardhini Siasa ni Sayansi, Siasa ni Mipango na Siasa ni...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Mungu ibariki Tanzania🇹🇿 Julius Kambarage Nyerere. 1. Kiongozi aliyekuwa mzalendo wa kweli. 2. Kiongozi aliyewapenda Watanzania na kuwalilia siku zake za mwisho. 3. Kiongozi aliyekuwa na...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Watanzania Wengi siyo wabobezi au wafuatiliaji wa Siasa hivyo hawanaga Muda wa kumfagilia Mwanasiasa yoyote Hivyo kinachotokea ni kuunda Vikundi vya kusifu na kuabudu mfano ni hawa Chawa wa CCM...
1 Reactions
11 Replies
708 Views
Habari wadau wa siasa na masuala ya serikali. Mada hapo juu imejidadavua vizuri. Mwaka 2020 madarasa mawili yatahitimu shule za msingi. Yani darasa la sita na saba. 2021 form one zitakuwa mbili...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
"Mahakama kuu masijala ya Moshi (Moshi Registry), imeruhusu shughuli za kilimo kuendelea kwenye shamba la kampuni ya Kilimanjaro Veggies inayomilikiwa na FREEMAN MBOWE Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa...
41 Reactions
261 Replies
38K Views
Tumekwishaandika humu mara kadhaa kwamba wale wote waliosababisha uchafu kwenye nchi hii hawapaswi kuwa Mabalozi, Hii ni kwa sababu Balozi ni Mwakilishi wa Nchi yetu kwenye mataifa mengine, yaani...
6 Reactions
62 Replies
3K Views
Mbunge wa zamani wa Maswa kupitia Chadema, aliyekihama chama hicho na kwenda kujificha ACT Wazalendo Leo Amerejea tena Chadema. Marejeo hayo yamefanyika mbele ya Umati wa Wananchi kwenye Mkutano...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Back
Top Bottom