Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kipindi cha Magufuli wapinzani waliweweseka sana kwasababu asillimia kubwa ya wananchi walikuwa wanamkubali, ukiachilia mbali hawa wananchi waliopo mitandaoni, walijua kabisa pale mziki ulkuwa...
3 Reactions
8 Replies
681 Views
Wazuri Maliasili mstaafu Dr Kigwangala amewataka viongozi kuwa waangalifu kwani Neno likishatoka mdomoni halirudi Kigwa anasema alipokuwa waziiri wa Maliasili alilipuka mara mbili na...
0 Reactions
5 Replies
651 Views
Habari za Asubuhi wana Jamii! Ni matumaini yangu, Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema katuamsha salama, na kwa wale wenzetu wana changamoto za afya tunawaombea wapone haraka na warudi kwenye majukumu...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Ng'hulima Ilanga na Kitala Kikaja , walikuwa ni miongoni mwa mamia ya viongozi wa CHADEMA waliobambikwa kesi za uongo na kufungwa jela na ile serikali ya kikatili ya awamu ya 5 , baada ya Rufaa...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakili wa CHADEMA, Peter Kibatala safari hii amesababisha kesi ya wabunge 19 wa CHADEMA kuahirishwa hadi mwezi wa 3 mwaka 2023. ===== Mahakama Kuu imeahirisha kesi iliyofunguliwa na wabunge 19...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Naam maneno haya kwa wenye akili wataona jambo. Mbona ni kama kuna mkakati wa kumlundikia safari Rais hata asipate muda wa kutosha kukaa ofisini na kujadili issues deeply na wataalamu au kusikia...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
"...mabadiriko haya yote ni muhimu yatengenezewe katiba mpya ama tukamilishe ile ama tuanze upya lakini katiba mpya ni muhimu sasa." Pius Msekwa.
13 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni kweli kabisa hasa kwa wanasiasa wawapo majukwaani, wakiwa wamepandwa na midadi au mihemko (emotions), ulimi wakati fulani huweza kutereza na kusema mambo ambayo hawakukusudia. Jana Mzee...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Mzee wangu, kuomba radhi unapokuwa umeteleza kidogo ni uungwana. Toka hadharani uombe radhi wewe mwenyewe kwa kinywa chako kabla mambo hayajaharibika kabisa. Kuuambia umma kwamba Viongozi wazuri...
13 Reactions
49 Replies
4K Views
Ni Jambo jema kuona CCM inaamini Katika Mungu mmoja Nafsi Tatu Mungu ni Mwema wakati Wote Basi, Àkubarikini Mungu Mwenyezi Baba na Mwana na Roho Mtakatifu Nawatakia Sabato yenye Baraka
2 Reactions
39 Replies
2K Views
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara. Wanawake 1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770 2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764...
24 Reactions
95 Replies
9K Views
Waziri Mkuu Mizengo Pinda apangua hoja KM wa CCM kuwa yeye ni mzigo!. Upanguzi huo umefanyika bungeni leo asubuhi wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, ambapo aliulizwa...
8 Reactions
93 Replies
10K Views
Mzee Makamba amesema Baada ya Shekifu kustaafu Tanga sasa imepata Nahodha mpya wa kukuingiza chama ambaye ni Mganga wa Kienyeji bwana Rajabu Mzee Makamba amesema Wana Imani na Nahodha mpya wa...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Nilishauri haya mwaka jana lakini naona kama Raisi anachukulia ukarimu wa Mbowe vibaya na kumweka kwenye wakati mgumu kwa kukaa mwaka mzima bila kuanza mchakato wa katiba. Jaji Mutungi hakuna mtu...
20 Reactions
63 Replies
5K Views
Ni Katika mazungumzo kuhusiana na Siku ya Uhuru wa Tanganyika Baadhi ya Watu wanadai CCM ya 2025 itakuwa mpya kabisa na mlango umeshafunguliwa na Bashungwa aliyeshika namba 2 kwenye Nec...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Leo nimeona mahojiano yenye ya mwandishi Livingstone Ruhere na Jenerali Tumaniel Kiwelu kwenye gazeti la Raia Mwema la jana ambae anaweza kuileta hapa naomba afanye hivyo kwa faida ya wana JF na...
39 Reactions
178 Replies
50K Views
Hiki chama unafiki,hira,chuki na Majungu ndio mpango mzima Fikira Ndugai alivyopewa za uso,japo aliomba na msamaha lakini alikutana na mashambulizi makali ya chawa wa rais Samia. Bashiru Ali nae...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mapumziko wana jamvi Mapema wiki hii palitokea wizi wa silaha za moto kwenye ofisi za PCCB Huko Handeni Tanga. Kama kawaida jambo limepita na hakuna kilichotokea. kwa mujibu wa gazeti...
1 Reactions
2 Replies
832 Views
1. Kikwete 2. Kinana 3. Makamba 4. Rostam Aziz 5. Na Mzee wangu naye nashukuru sasa amerudi amekuwa Mnec. Hawa ndio wanaweka Rais wanayeona anafaa. Hawa ndiyo wenye mapenzi na hii nchi na...
9 Reactions
42 Replies
3K Views
Wadau nawasalimu, Pamoja na Rais kusema Mzee Makamba ulimi uliteleza binafsi siamini hivyo, kwani huyu Mzee kabla ya kuyazungumza hayo ndani ya kikao alipokuwa nje ya ukumbi aliropoka mambo mengi...
10 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom