Kipindi cha Magufuli wapinzani waliweweseka sana kwasababu asillimia kubwa ya wananchi walikuwa wanamkubali, ukiachilia mbali hawa wananchi waliopo mitandaoni, walijua kabisa pale mziki ulkuwa...
Wazuri Maliasili mstaafu Dr Kigwangala amewataka viongozi kuwa waangalifu kwani Neno likishatoka mdomoni halirudi
Kigwa anasema alipokuwa waziiri wa Maliasili alilipuka mara mbili na...
Habari za Asubuhi wana Jamii!
Ni matumaini yangu, Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema katuamsha salama, na kwa wale wenzetu wana changamoto za afya tunawaombea wapone haraka na warudi kwenye majukumu...
Ng'hulima Ilanga na Kitala Kikaja , walikuwa ni miongoni mwa mamia ya viongozi wa CHADEMA waliobambikwa kesi za uongo na kufungwa jela na ile serikali ya kikatili ya awamu ya 5 , baada ya Rufaa...
Wakili wa CHADEMA, Peter Kibatala safari hii amesababisha kesi ya wabunge 19 wa CHADEMA kuahirishwa hadi mwezi wa 3 mwaka 2023.
=====
Mahakama Kuu imeahirisha kesi iliyofunguliwa na wabunge 19...
Naam maneno haya kwa wenye akili wataona jambo. Mbona ni kama kuna mkakati wa kumlundikia safari Rais hata asipate muda wa kutosha kukaa ofisini na kujadili issues deeply na wataalamu au kusikia...
Ni kweli kabisa hasa kwa wanasiasa wawapo majukwaani, wakiwa wamepandwa na midadi au mihemko (emotions), ulimi wakati fulani huweza kutereza na kusema mambo ambayo hawakukusudia.
Jana Mzee...
Mzee wangu, kuomba radhi unapokuwa umeteleza kidogo ni uungwana. Toka hadharani uombe radhi wewe mwenyewe kwa kinywa chako kabla mambo hayajaharibika kabisa.
Kuuambia umma kwamba Viongozi wazuri...
Ni Jambo jema kuona CCM inaamini Katika Mungu mmoja Nafsi Tatu
Mungu ni Mwema wakati Wote
Basi, Àkubarikini Mungu Mwenyezi Baba na Mwana na Roho Mtakatifu
Nawatakia Sabato yenye Baraka
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.
Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764...
Waziri Mkuu Mizengo Pinda apangua hoja KM wa CCM kuwa yeye ni mzigo!.
Upanguzi huo umefanyika bungeni leo asubuhi wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, ambapo aliulizwa...
Mzee Makamba amesema Baada ya Shekifu kustaafu Tanga sasa imepata Nahodha mpya wa kukuingiza chama ambaye ni Mganga wa Kienyeji bwana Rajabu
Mzee Makamba amesema Wana Imani na Nahodha mpya wa...
Nilishauri haya mwaka jana lakini naona kama Raisi anachukulia ukarimu wa Mbowe vibaya na kumweka kwenye wakati mgumu kwa kukaa mwaka mzima bila kuanza mchakato wa katiba. Jaji Mutungi hakuna mtu...
Ni Katika mazungumzo kuhusiana na Siku ya Uhuru wa Tanganyika
Baadhi ya Watu wanadai CCM ya 2025 itakuwa mpya kabisa na mlango umeshafunguliwa na Bashungwa aliyeshika namba 2 kwenye Nec...
Leo nimeona mahojiano yenye ya mwandishi Livingstone Ruhere na Jenerali Tumaniel Kiwelu kwenye gazeti la Raia Mwema la jana ambae anaweza kuileta hapa naomba afanye hivyo kwa faida ya wana JF na...
Hiki chama unafiki,hira,chuki na Majungu ndio mpango mzima
Fikira Ndugai alivyopewa za uso,japo aliomba na msamaha lakini alikutana na mashambulizi makali ya chawa wa rais Samia.
Bashiru Ali nae...
Habari za mapumziko wana jamvi
Mapema wiki hii palitokea wizi wa silaha za moto kwenye ofisi za PCCB Huko Handeni Tanga. Kama kawaida jambo limepita na hakuna kilichotokea. kwa mujibu wa gazeti...
1. Kikwete
2. Kinana
3. Makamba
4. Rostam Aziz
5. Na Mzee wangu naye nashukuru sasa amerudi amekuwa Mnec.
Hawa ndio wanaweka Rais wanayeona anafaa. Hawa ndiyo wenye mapenzi na hii nchi na...
Wadau nawasalimu,
Pamoja na Rais kusema Mzee Makamba ulimi uliteleza binafsi siamini hivyo, kwani huyu Mzee kabla ya kuyazungumza hayo ndani ya kikao alipokuwa nje ya ukumbi aliropoka mambo mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.