Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

TRA kamatieni hapo hapo,hao watu sio wa kucheka nao wote tunaishi mtaani ukidai risiti wanakuzungisha mara wasema network inazingua na blaa blaa kama hizo.. Mara kadhaa nimewahi kuwaambia Tumieni...
3 Reactions
61 Replies
6K Views
Siku zote kwenye hii mikutano ya CHADEMA kunakuwa na vijimambo vizuri sana nyuma ya Pazia , hebu fuatilia kisa hiki Mtoto alipewa kuku na Mama yake ili amfuge, mtoto akaendelea kufuga kuku wake...
3 Reactions
4 Replies
632 Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 31 leo Mei 23, 2023. Wabadhirifu wa Dawa na Bidhaa za Afya Kushughulikia Serikali imesema inachukua hatua mbalimbali...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
First Tanzanian gets Certificate of Origin to trade under AfCFTA First Tanzanian gets Certificate of Origin to trade under AfCFTA The first Tanzanian received a certificate of origin yesterday to...
1 Reactions
0 Replies
671 Views
Na Mwl Udadis, Mtwara Makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na kampuni za Equinor & Shell yamekamilika kwaajili ya uwekezaji katika mradi wa gesi asilia, mradi wenye thamani ya Dola Bilioni...
2 Reactions
7 Replies
889 Views
Hizi ndio taarifa Kutoka Mkoani Katavi kwamba sasa Tundu Lisu na J J Mnyika watakuwa Kikosi cha Anga na Mwamba ataongoza Kikosi cha Ardhini Siasa ni Sayansi, Siasa ni Mipango na Siasa ni...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Mungu ibariki Tanzania🇹🇿 Julius Kambarage Nyerere. 1. Kiongozi aliyekuwa mzalendo wa kweli. 2. Kiongozi aliyewapenda Watanzania na kuwalilia siku zake za mwisho. 3. Kiongozi aliyekuwa na...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Watanzania Wengi siyo wabobezi au wafuatiliaji wa Siasa hivyo hawanaga Muda wa kumfagilia Mwanasiasa yoyote Hivyo kinachotokea ni kuunda Vikundi vya kusifu na kuabudu mfano ni hawa Chawa wa CCM...
1 Reactions
11 Replies
708 Views
Habari wadau wa siasa na masuala ya serikali. Mada hapo juu imejidadavua vizuri. Mwaka 2020 madarasa mawili yatahitimu shule za msingi. Yani darasa la sita na saba. 2021 form one zitakuwa mbili...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
"Mahakama kuu masijala ya Moshi (Moshi Registry), imeruhusu shughuli za kilimo kuendelea kwenye shamba la kampuni ya Kilimanjaro Veggies inayomilikiwa na FREEMAN MBOWE Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa...
41 Reactions
261 Replies
38K Views
Tumekwishaandika humu mara kadhaa kwamba wale wote waliosababisha uchafu kwenye nchi hii hawapaswi kuwa Mabalozi, Hii ni kwa sababu Balozi ni Mwakilishi wa Nchi yetu kwenye mataifa mengine, yaani...
6 Reactions
62 Replies
3K Views
Mbunge wa zamani wa Maswa kupitia Chadema, aliyekihama chama hicho na kwenda kujificha ACT Wazalendo Leo Amerejea tena Chadema. Marejeo hayo yamefanyika mbele ya Umati wa Wananchi kwenye Mkutano...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Katika wizara yake ufisadi umeenea kuanzia juu mpaka chini. Waziri anajua hachukui hatua kwa sababu alihusishwa. Bunge linasema, Rais yupo kimya. Nani anamlinda zaidi ya Rais mwenyewe. Kama Rais...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Toka mwaka 2023 uanze hatujasikia lolote toka kwa Mkuu wa shule ya Uongozi. Hivyo basi, wadau tukiwa bado tunasubiri nondo za shule ya uongozi toka kwa Mheshimiwa Balozi H. Polepole. Ni Bora...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA, moyo wa ukarimu, Mtu wa watu, anayesimama kidete kila wakati. Freeman Mbowe, kiongozi hodari, Anapenda na kujali kila mmoja wetu kwa dhati. Anapowatembelea watu, furaha...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Hicho Kijiji CCM ya Waziri Awesu ipo lakini wananchi kwa mapenzi mema wakawaomba CHADEMA wawafungulie mradi wao wa maji walioujenga wao wenyewe basi nawapongeza sana wanakijiji na CHADEMA. Na...
2 Reactions
3 Replies
476 Views
Angalia mradi wa kifisadi alioingia January na Mabinzi Chande kuwapa Mahindra tech mabilioni ya pesa eti kuleta ufanisi Tanesco ni nonsense na wizi wa mali za umma. Pesa hizo zingetumika kuunda...
2 Reactions
7 Replies
613 Views
Wanabodi, Kiongozi siku zote hawezi kutekeleza majukumu yake au ilani yake bila kushirikiana na taasisi mbalimbali serikalini. Hii ina maanisha kwamba mbunge yeyote lazima ashirikiane na madiwani...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Ndugu zangu watanzania, Kwa hakika Rais Samia Anaheshimika Na kukubalika Sana na mamillion ya watanzania,ndio maana kila utakakopita mitaani unaona namna mh Rais anavyozungumzwa kwa mema,kila...
1 Reactions
17 Replies
769 Views
Jana mzee Wetu Malecela amewasili Dar kwa ajili ya msiba wa mwanae Le mutuz Mzee Malecela ni Makamu mwenyekiti wa CCM mstaafu alistahili mapokezi yenye hadhi katika wakati huu mgumu CCM...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom