Kariakoo: Kiongozi wa Wafanyabiashara azomewa

Kariakoo: Kiongozi wa Wafanyabiashara azomewa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,412
Reaction score
283,617
Akizungumza na Wafanyabiashara wenzake wa Kariakoo, Ndugu Mbwana ambaye anatajwa kama kiongozi wa wafanyabiashara hao amewaasa Wafanyabiashara wote wafungue maduka yao kwa vile Waziri Mkuu alielekeza hivyo na kwamba Jumatano kutakuwa na Kikao kati ya Viongozi wa wafanyabiashara na Waziri Mkuu.

Baada ya kauli yake hiyo Ndugu Mbwana AMEZOMEWA KWA KISHINDO KIKUBWA hadi sauti ya wazomeaji kufika Magomeni na Feri, kuzomewa ni Ishara ya kukataliwa na ni aibu kwa aliyezomewa na kwa uungwana, ukishazomewa namna kama alivyozomewa Mbwana unapaswa kujiuzulu.

Ushauri wangu kwenye sakata hili ni huu hapa, Waliofunga maduka yao kusubiri kauli ya mwisho ya Serikali ambao ni 98.9 % waache wafunge hadi wanachosubiri kitimie lakini hao 1.1% ambao wamefungua maduka yao wasisumbuliwe

Namshauri RPC Murilo asijaribu kuwatisha waliofunga kwa sababu vitisho vyake vitachafua zaidi hali ya hewa na akifanya mchezo tutahakikisha anahamishwa kabla ya asubuhi kama tulivyohakikisha Pedeshee Amos Makalla anatimuliwa kabla ya asubuhi, Mgogoro huu umeishavuka level ya Polisi, aache ngazi za juu ziutatue kwa weledi, Yeye anachopaswa kukifanya ni kuimarisha Ulinzi Baaaaasi.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Akizungumza na Wafanyabiashara wenzake wa Kariakoo , Ndugu Mbwana ambaye anatajwa kama kiongozi wa wafanyabiashara hao , amewaasa Wafanyabiashara wote wafungue maduka yao kwa vile Waziri Mkuu alielekeza hivyo na kwamba Jumatano kutakuwa na Kikao kati ya Viongozi wa wafanyabiashara na Waziri Mkuu .

Baada ya kauli yake hiyo Ndugu Mbwana AMEZOMEWA KWA KISHINDO KIKUBWA hadi sauti ya wazomeaji kufika Magomeni na Feri , kuzomewa ni Ishara ya kukataliwa na ni aibu kwa aliyezomewa , na kwa uungwana , ukishazomewa namna kama alivuozomewa Mbwana unapaswa kujiuzulu .

Ushauri wangu kwenye sakata hili ni huu hapa , Waliofunga maduka yao kusubiri kauli ya mwisho ya serikali ambao ni 98.9 % waache wafunge hadi wanachosubiri kitimie , lakini hao 1.1% ambao wamefungua maduka yao wasisumbuliwe

Namshauri RPC Murilo asijaribu kuwatisha waliofunga kwa sababu vitisho vyake vitachafua zaidi hali ya hewa na akifanya mchezo tutahakikisha anahamishwa kabla ya asubuhi kama tulivyohakikisha Pedeshee Amos Makalla anatimuliwa kabla ya asubuhi , Mgogoro huu umeishavuka level ya Polisi , aache ngazi za juu ziutatue kwa weledi , Yeye anachopaswa kukifanya ni kuimarisha Ulinzi Baaaaasi .



Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
"Baada ya kauli yake hiyo Ndugu Mbwana AMEZOMEWA KWA KISHINDO KIKUBWA hadi sauti ya wazomeaji kufika Magomeni na Feri"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
shauri wangu kwenye sakata hili ni huu hapa , Waliofunga maduka yao kusubiri kauli ya mwisho ya serikali ambao ni 98.9 % waache wafunge hadi wanachosubiri kitimie , lakini hao 1.1% ambao wamefungua maduka yao wasisumbuliwe
Sawa kabisa kabisa
 
Akizungumza na Wafanyabiashara wenzake wa Kariakoo , Ndugu Mbwana ambaye anatajwa kama kiongozi wa wafanyabiashara hao , amewaasa Wafanyabiashara wote wafungue maduka yao kwa vile Waziri Mkuu alielekeza hivyo na kwamba Jumatano kutakuwa na Kikao kati ya Viongozi wa wafanyabiashara na Waziri Mkuu .

Baada ya kauli yake hiyo Ndugu Mbwana AMEZOMEWA KWA KISHINDO KIKUBWA hadi sauti ya wazomeaji kufika Magomeni na Feri , kuzomewa ni Ishara ya kukataliwa na ni aibu kwa aliyezomewa , na kwa uungwana , ukishazomewa namna kama alivuozomewa Mbwana unapaswa kujiuzulu .

Ushauri wangu kwenye sakata hili ni huu hapa , Waliofunga maduka yao kusubiri kauli ya mwisho ya serikali ambao ni 98.9 % waache wafunge hadi wanachosubiri kitimie , lakini hao 1.1% ambao wamefungua maduka yao wasisumbuliwe

Namshauri RPC Murilo asijaribu kuwatisha waliofunga kwa sababu vitisho vyake vitachafua zaidi hali ya hewa na akifanya mchezo tutahakikisha anahamishwa kabla ya asubuhi kama tulivyohakikisha Pedeshee Amos Makalla anatimuliwa kabla ya asubuhi , Mgogoro huu umeishavuka level ya Polisi , aache ngazi za juu ziutatue kwa weledi , Yeye anachopaswa kukifanya ni kuimarisha Ulinzi Baaaaasi .



Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Sometimes wanawaendekeza tu

Wangewaacha wafunge, tena wafunge mwaka mzima then tuone Nani atapata hasara

Malalamiko Yao yamesikika, waziri mkuu ameenda, amewaomba, na bado wamegoma, wanataka rais aende kariakoo, kama wanashindwa kumsikiliza alie tumwa na rais watamsikiliza Nani.?

Waachwe wafunge mwaka mzima
 
Akizungumza na Wafanyabiashara wenzake wa Kariakoo , Ndugu Mbwana ambaye anatajwa kama kiongozi wa wafanyabiashara hao , amewaasa Wafanyabiashara wote wafungue maduka yao kwa vile Waziri Mkuu alielekeza hivyo na kwamba Jumatano kutakuwa na Kikao kati ya Viongozi wa wafanyabiashara na Waziri Mkuu .

Baada ya kauli yake hiyo Ndugu Mbwana AMEZOMEWA KWA KISHINDO KIKUBWA hadi sauti ya wazomeaji kufika Magomeni na Feri , kuzomewa ni Ishara ya kukataliwa na ni aibu kwa aliyezomewa , na kwa uungwana , ukishazomewa namna kama alivuozomewa Mbwana unapaswa kujiuzulu .

Ushauri wangu kwenye sakata hili ni huu hapa , Waliofunga maduka yao kusubiri kauli ya mwisho ya serikali ambao ni 98.9 % waache wafunge hadi wanachosubiri kitimie , lakini hao 1.1% ambao wamefungua maduka yao wasisumbuliwe

Namshauri RPC Murilo asijaribu kuwatisha waliofunga kwa sababu vitisho vyake vitachafua zaidi hali ya hewa na akifanya mchezo tutahakikisha anahamishwa kabla ya asubuhi kama tulivyohakikisha Pedeshee Amos Makalla anatimuliwa kabla ya asubuhi , Mgogoro huu umeishavuka level ya Polisi , aache ngazi za juu ziutatue kwa weledi , Yeye anachopaswa kukifanya ni kuimarisha Ulinzi Baaaaasi .



Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hata Dr. ULIMBOKA wakati anahimiza Madaktari kugoma mlikuwa mnampa kichwa hiv hivi na kumremba kwa maneno ya ushujaa na sifa uchwara za Wanamtandao wa Keyboard.

Lkn alipong'olewa kucha hamkupelekea hata Panadol wala kumlipia ada ya watoto wake.
Nampa Hongera Mwenyekiti amefanya vema aepuke janga la mkono wa Dola. Vinginevyo Mchuma janga hulia na nduguze.

Mchana mwema.
 
Back
Top Bottom