Kwa kweli TANROADS barabara zenu huku jimbo la kibamba ni mbovu mno tena mno. Mnajua lami jimbo hili ni chini ya asilimia tano. Mbona hamuyaonei huruma ya watu? Mbona hamuonei huruma wananchi wanaosota kweli kweli kwa kukosa usafiri barabara zinapokuwa mbovu? Kwa kweli ni hatari sana.
Ebu cheki barabara za Mbezi-Makabe, Mbezi-Mpigi magoe, Kibamba-Mpigi magoe. Hizi zote ni za TANROADS lkn hali yake ni mbaya kupindukia. Kuna hii yenye magari mengi ya abiria inayotoka mbezi mwisho kupitia machimbo kwenda mpigi magoe, hii ina daladala kubwa ambazo hupotea pindi tu barabara inapoharibika. Mfano sasa hivi iko hoi na hali ni mbaya haswa.
Wizara ya ujenzi kwa mwaka huu wa fedha haijaweka bajeti nzima kwenye mtandao, hata sababu hazijulikani. Labda tunaweza kuandika haya lakn bajeti imeziweka hizi barabara.
All in all hali si nzuri kwa barabara nyingi za Jimbo hili la Kibamba. Magari ya huku yakimaliza miaka miwili yanakuwa tayari ni skrepa.
Ebu cheki barabara za Mbezi-Makabe, Mbezi-Mpigi magoe, Kibamba-Mpigi magoe. Hizi zote ni za TANROADS lkn hali yake ni mbaya kupindukia. Kuna hii yenye magari mengi ya abiria inayotoka mbezi mwisho kupitia machimbo kwenda mpigi magoe, hii ina daladala kubwa ambazo hupotea pindi tu barabara inapoharibika. Mfano sasa hivi iko hoi na hali ni mbaya haswa.
Wizara ya ujenzi kwa mwaka huu wa fedha haijaweka bajeti nzima kwenye mtandao, hata sababu hazijulikani. Labda tunaweza kuandika haya lakn bajeti imeziweka hizi barabara.
All in all hali si nzuri kwa barabara nyingi za Jimbo hili la Kibamba. Magari ya huku yakimaliza miaka miwili yanakuwa tayari ni skrepa.