Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nani atachukua hatua za kwenda mahakamani kupinga uteuzi wa Bashiru kwamba umekiuka Katiba? Kama kweli Katiba imevunjwa basi ni Mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kutafsiri sheria za nchi hii...
6 Reactions
96 Replies
9K Views
Kwanini nguvu kubwa inatumika kutulazimisha tuvunje kanuni na katiba Kwa kututisha? awamu ya tano inamalizika 2025 ndipo tuanze awamu ya SITA. Kanuni za kawaida za chama ni kuchukua fomu ama...
3 Reactions
2 Replies
565 Views
Waziri wa Uchukuzi Prof Mbarawa amewataka Wananchi kutochanganya Treni hii ya Tanzania na zile za high speed zenye vichwa vilivyochongoka. Prof Mbarawa amesema picha zinazorushwa mitandaoni na...
16 Reactions
268 Replies
26K Views
Sijawahi Kujutia Kukuunga mkono katika Uongozi wako na kila Siku nitasema bila uwoga wala aibu kuwa kama kuna Rais ambaye Watanzania wa wakati huu tulikuwa tunamuhitaji ili ' atunyooshe ' na...
29 Reactions
126 Replies
14K Views
“Kuhusu hoja ya deni la Taifa Nafikiri kama watanzania tuanze kuwaza tofauti juu ya dhana ya mkopo Kwanza tukubaliane mkopo ni maendeleo sio Kwa sababu nyinginezo kama kusema hata nchi tajiri...
1 Reactions
2 Replies
732 Views
Yusuph Makamba aulizwa kuhusu ukosefu wa umeme na maji mchini, amshambulia vikali mwandishi, asema "Kuwa na shukrani".
26 Reactions
288 Replies
22K Views
Kuna hoja huwa inakuja mara kwa mara kwamba "fulani ni mzee sasa anafaa apumzike siasa". hivi kwa Tanzania mtu akifikisha miaka mingapi ndipo ahesabiwe kwamba umri wake haufai kugombea nafasi za...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Tayari serikali imeshatoa taarifa ya uchunguzi wa ajali ya ndege iliyopata ajali wakati inatua uwanja wa Bukoba. Taarifa hiyo ya uchunguzi inakiri wazi uzembe wa kitengo cha dharura na uokozi...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Salam za upendo kwa Watanzania wote wakati tunasheherekea Noel kuadhimishia miaka zaidi ya 200o ya kuzaliwa Yesu Kristo ambae ni Bwana na Mwokozi wa maisha ya wanadamu. Mwaka 1997 Rais Mkapa...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Moja ya majukumu ya bunge ni kuhakikisha Katiba inaheshimiwa na kulindwa Ilikuwaje Bunge lilikaa kimya Katiba ikivunjwa? KUB je? Na Mahakama? Mlale unono
3 Reactions
61 Replies
3K Views
Ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la...
21 Reactions
418 Replies
21K Views
Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema tiketi zitakazotumika wakati wa safari za treni ya kisasa ya umeme SGR zitatumia mfumo wa kielektroniki katika hatua zote za ukaguzi wa...
6 Reactions
71 Replies
7K Views
Niliiona J J Mnyika alipotimba Morogoro shughuli haikuwa ya kitoto. Nimeona John Heche akiwa Kanda ya Ziwa, Kusini na sasa Nyasa anapata nyomi ya kutosha kabisa. Ila jijini Dar es Salaam CHADEMA...
0 Reactions
2 Replies
362 Views
Habari vijana wenzangu, Binafsi Mimi siyajui machungu ya kuwa jobless. Nimemaliza tu kidato cha sita kisha kwenda JKT nikaajiriwa. Niliacha kazi mwenyewe na kupata kazi nyingine soon. Mimi sio...
1 Reactions
0 Replies
477 Views
Kwa kuwa Dkt. Hassan Abbas ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ni ambayo ni nafasi yenye majukumu mengi na mazito ya kiutawala huku akiendelea kuwa Msemaji...
15 Reactions
78 Replies
8K Views
Hiki chama hakijawahi kuwa na shughuli ndogo kwenye chaguzi. Huwa wanaupiga mwingi sana. Na ukweli tu wananchi wengi bado tuna tumaini na hiki chama kama chama pekee cha upinzani Tanzania. Mwaka...
2 Reactions
4 Replies
838 Views
Suleiman Mzee awaaga Watumishi wa Jeshi la Magereza, leo Agosti 4, 2022 katika Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi hilo, awaosia mambo kadhaa ya kuzingatia; Mosi, Pendaneni, Shirikianeni na muwe kitu...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimekuwa ni kijaribu kufanya utafiti juu ya jina la Ndumilakuwili kuwa ni nini. Ndipo nikaamua kutafuta picha yake. Nimevuta hisia zangu sasa mtu akiwa ndumilakuwili ni mtu wa aina...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Askofu Gamanywa amesema Wewe unayeogopa kufa unataka ufe mara ngapi? Kwani hapa duniani unachofaidi ni nini hasa zaidi ya kutenda dhambi na kuandamana na pepo wachafu Askofu amesema hata yeye...
18 Reactions
54 Replies
4K Views
Zamani Mtanzania alikuwa ana ya kujivunia. Tulikuwa tunaona raha tuendapo nje watu wakitusifia jinsi nchi yetu ilivyo na misimamo thabiti, siasa inayoeleweka, viongozi wenye taaluma, amani na...
1 Reactions
3 Replies
460 Views
Back
Top Bottom